Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,310
- 105,038
Dah Hii ingekuwa kwenye mechi dhidi ya Arsenyembo ingekaa poa sana ila naamini lazima ije tamu zaidi hasa Arsenyembo akinyooshwa 😂Na wakifungwa next week itakuwa ni hatati
Dah Hii ingekuwa kwenye mechi dhidi ya Arsenyembo ingekaa poa sana ila naamini lazima ije tamu zaidi hasa Arsenyembo akinyooshwa 😂Na wakifungwa next week itakuwa ni hatati
Nipo naandaa pesa ya bia nishekee ubingwaHilo neno tunapanua gap ,next week litakukosti jomba 🤔
Hizo bia utazinywa kwa machungu bwasheeNipo naandaa pesa ya bia nishekee ubingwa
Nipo naandaa pesa ya bia nishekee ubingwaHilo neno tunapanua gap ,next week litakukosti jomba 🤔
Ladha itakuwa ya sumu ya panya 😂Hizo bia utazinywa kwa machungu bwashee
Kama ni juzi tu hapo 2021 unaita uchizi, vipi kuhisi team ambayo haijabeba ubingwa toka 2004 utabeba Leo huo nao ni Nini?Chelsea haijawahi kua na uwezo wa kumfunga City tangu 2021.
Uchizi ni kuhisi angepata huo uwezo leo
Kawaida ukishabikia timu ndogo kama Nyukeso unakuwa na low expectationsKwahiyo unajifariji kwa matokeo ya Newcastle?? Sisi hata tungeshinda au kufungwa Haina msaada hatuna tunachogombania .
Kama kugombania msimu uliopita tuligombania kombe na tukashinda carabao cup! Tuligombania kitu tunagombania kweli .
Sio nyinyi takataka
Huwa unaangalia mpira kweli??Tukamzuie City tuu pale Etihad maana ndio mpira Arteta anaouweza yeye kujilinda tuu!
Nimeanza kushabikia Newcastle tayari Nina carabao cup .Kawaida ukishabikia timu ndogo kama Nyukeso unakuwa na low expectations
Watu kama nyie hata mpira Huwa hamuangaliii kabisa . Yaani mpaka saivi unawaza ubingwa😂Ubingwa tutakaochukua mwaka huu utakuwa mzuri sana kwetu...
Maana mpaka siku ya mwisho
Haters watakuwa wanajipa moyo.
Tukamzuie City tuu pale Etihad maana ndio mpira Arteta anaouweza yeye kujilinda tuu!


Sasa kama mmeshindwa tu kumzuia Bournemouth nyumbani kwenu, kweli mtaweza kuwazuia kina O'Reilly nyumbani kwao? Mchele ana bonge la taco 🤣Kama mnaangalia mechi ya man city kwa macho ya uchawi mkitegemea atapoteza mechi mnapoteza muda wenu bure mara mia muende kimboka
View attachment 3571562
Dah we fala kweli, arsenal bingwa wa eplMchele ana bonge la taco 🤣
Intelligent businessman umemuona kijana wako unayemtegemea akupe raha za dunia?
Labla bingwa wa ligi ya wanawakeDah we fala kweli, arsenal bingwa wa epl