Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Humu tuu 😂

Screenshot_20260412-212456.jpg
 
Arteta hamna kitu, huyu jamaa atupishe tu timu imekwama kabisa. Ni stubborn sana, analazimisha mfumo ambao haufanyi kazi. Kang'ng'ania kusajili Chelsea rejects kama Havertz na Madueke hamna walicholeta.

Arteta must go, na UCL tusahau kabisa tukikutana na barca au atlético nusu fainali hatupiti
 
Kwahiyo unajifariji kwa matokeo ya Newcastle?? Sisi hata tungeshinda au kufungwa Haina msaada hatuna tunachogombania .
Kama kugombania msimu uliopita tuligombania kombe na tukashinda carabao cup! Tuligombania kitu tunagombania kweli .

Sio nyinyi takataka
Kawaida ukishabikia timu ndogo kama Nyukeso unakuwa na low expectations
 
Kawaida ukishabikia timu ndogo kama Nyukeso unakuwa na low expectations
Nimeanza kushabikia Newcastle tayari Nina carabao cup .
Ukubwa wa arsenal ni upi?? Nembu kwa unyenyekevu nielezee hata kidogo tu ukubwa wa arsenal?
Kuna high expectations na false hopes nyinyi hamna expectations zozote mna false hopes.
 
Ubingwa tutakaochukua mwaka huu utakuwa mzuri sana kwetu...

Maana mpaka siku ya mwisho
Haters watakuwa wanajipa moyo.
Watu kama nyie hata mpira Huwa hamuangaliii kabisa . Yaani mpaka saivi unawaza ubingwa😂

Man city anakufunga, game na westham utadondosha point na game na Fulham vile vile unadondosha point ,sasa siku ya mwisho ipi ?
Hivi mpira unaangalia kweli au ni ushabiki tu? Arsenal inavyocheza unaona na unakubali kabisa kwamba mnagombea ubingwa .
 
Arteta mpaka sasa mafanikio yake ni haya :
Kung'oa Ile saa ya Highbury
Kununua lile li mbwa nakuliita "win"
Kufunga maspeaker training ground
Kununua bulb nakuanza kuwasha 😂😂 na hii ya juzi ya pens .

Huyu kocha au tapeli wazee Mambo ya pen ,bulb, speaker mpaka mbwa hayajasaidiwa kitu na pesa zote za usajiliii. Hakuna kocha aliyepewa hela nyingi arsenal za usajili ama arteta
 
Tukamzuie City tuu pale Etihad maana ndio mpira Arteta anaouweza yeye kujilinda tuu!
Sasa kama mmeshindwa tu kumzuia Bournemouth nyumbani kwenu, kweli mtaweza kuwazuia kina O'Reilly nyumbani kwao?
Tetea Kiwigi jana baada ya kipigo alijitetea kua vita ya Marekani na Iran imepunguza sana molari ya wachezaji wake, hivyo msimu huu hata asipotwaa ubingwa asilaumiwe.
 
Watu wapo training ground wako busy kuangalia video za TikTok, halafu wanawaza ubingwa.
Hivi nyinyi kenge ubingwa mnauchukuliaje?

Sporting tupo nao jumatano walete raha kabisa makenge wachanganyikiwe .
Team kuanzia dakika ya kwanza inawaza kuzuia tu
 
Kwa mujibu wa shabiki wao mmoja aliyepotea humu jukwaani, King Kai ni mtaalamu wa INVERTED PRESSING haijawahi kutokea duniani. Yaani anajiweka kwenye nafasi ambayo anazuia wachezaji zaidi ya wawili wa timu pinzani wasionekane na kupasiwa mipira kwa wakati mmoja
Nimeona niwakilishe hili ninalolijua ila mengine narudishe mic kwa wenye timu yao
Na uwezo mkubwa wa kuwin mipira ya juu.
 
Watu wapo training ground wako busy kuangalia video za TikTok, halafu wanawaza ubingwa.
Hivi nyinyi kenge ubingwa mnauchukuliaje?

Sporting tupo nao jumatano walete raha kabisa makenge wachanganyikiwe .
Team kuanzia dakika ya kwanza inawaza kuzuia tu
Manena, sporting ya kimara labda, ana kufa kifo kikatili huyo sporting
 
Manena, sporting ya kimara labda, ana kufa kifo kikatili huyo sporting
Tutakuwepo j5 sio mbaliii, kuna jamaa arsenal tv alikua na Imani kama yako anaitwa Dan mpaka wengine wakampa jina la Dan positive ila jana kavua shati ***** anasema kachoka false hopes.

Analalamika mpaka mtoto wake amemuona father muongo maana Kila mwaka anampa ahadi atampeleka Emirates kwenye parades la ubingwa lakini mpaka sasa mwaka wa 4 huu dogo hajaenda.

Nikakumbuka hamiss 77 alimuahidi mwaka juzi mtoto wake atamnunulia jezi ya arsenal endapo itachukua ubingwa mpaka Leo hollla😂
 
Back
Top Bottom