Hizi ni ndoto nyevu.Arsenal anaenda kubeba UCL na EPL
Hizi ni ndoto nyevu.Arsenal anaenda kubeba UCL na EPL
Leo niko upande wa Gunners kwa ajili ya mdogo wangu maana anazidi kudhoofu sababu ya hii timuKwa kawaida hua naangalia mechi zote kama nina nafasi bila kujali ni ya nani. Unless kama umeona jana
Amejileta mdomoni mwa simba mwenye njaaAtletico katoboa
Don't you know that records are there to be broken?Last time arsenal kushinda Etihad ni 2015 infacto tunakumbushana tu.
Arsenal kutokuwa kubwa ni maoni yako binafsi na kumbuka maoni sio FACTSMkuu ungepiga tu kimya, arsenal haina ukubwa wowote haina hata kikombe chochote kikubwa, Nottingham tu imewapga gepu kubwa sana.
Your Newcastle is playing sexy football every week bt it's trailing at number 15 in the premier League...What an irony 😅!!!Toka Ile game ya forest mtoe draw mlikuja mkalalamika mpira mnaocheza , mpaka Leo sioni tofauti yoyote ya mpira mnaocheza kabisa style ni Ile Ile katika last 15 games zenu approach ni Ile Ile match pekee ambayo mlicheza mpira ni against spurs ambayo ni mbovu kupindukia .
Game nyingine mnashinda sio kwamba mmecheza vizuri Bali ni imetokea tu kama game na everton na nyingine nyingi tu midfielders wenu ni zero creative huyu zubimendi hamna kitu Kai ndio hama kitu kabisa.
100% nina uhakika hambebi kombe sababu hamtengenezi chances kabisa na hakuna kilichobadilika zaidi ya maneno ya arteta.
We will be thereLeo mkijichanganya mkavaa bikini wahuni wataisogeza pembeni na kusokomeza mzigo. !!!!
Msisahau Leo Hojlmund yupo , last game alikuwa na suspension kama sijakosea
Majamaa sijui Nani amewakamulia ndimu wamechachuka kweli kweliHao Madrid wana uchungu
Halafu City kapumzika wiki nzima anapaka mkongo tu.Last time arsenal kushinda Etihad ni 2015 infacto tunakumbushana tu.