The Anfield
Senior Member
- Dec 15, 2025
- 159
- 164
Ongezea na Bournemouth japo na ushindi juuKama masihara ila mpaka sasa hivi timu pekee iliyoziona nyavu za Arsenal mara mbili kwenye mechi moja ni Sunderland na Aston Villa
Ongezea na Bournemouth japo na ushindi juuKama masihara ila mpaka sasa hivi timu pekee iliyoziona nyavu za Arsenal mara mbili kwenye mechi moja ni Sunderland na Aston Villa
Duuh tunatamani mchukue ubingwa lakini sio kirahisi hivyo mdomoni tu, msimu wa 2022/23 if not mistaken, mlikuwa mnaongoza Ligi Kwa kipindi kirefu km Liverpool msimu Jana, Hadi kufika mwanzoni mwa Aprili gepu na mshindi2 Mancity ilikuwa ni zaidi pointi8/9 ivi bwana bwanaa kilichokuja kutoka, Yale ya klopp na guadiola kufukuzana Kwa gepu la pointi1 kuanzia Januari mpk May na Kukosa ubingwa.....Arsenal Bado mechi 17 tutangaze ubingwa
Ukitoa kenge, nyumbu, spurs, bournemouth, hizo ni must win games technically tutakua tumebakisha michezo 13 kutangazwa ubingwa
Happy new year
Uliyo suggest yote yatafanyiwa kazi ila lazima tuanze sherehe za mdomoni mapema coz tumetukanwa sana, tumedhalilishwa sana, tumekashifiwa sana. Kiukweli mwaka huu mtatusamehe tuDuuh tunatamani mchukue ubingwa lakini sio kirahisi hivyo mdomoni tu, msimu wa 2022/23 if not mistaken, mlikuwa mnaongoza Ligi Kwa kipindi kirefu km Liverpool msimu Jana, Hadi kufika mwanzoni mwa Aprili gepu na mshindi2 Mancity ilikuwa ni zaidi pointi8/9 ivi bwana bwanaa kilichokuja kutoka, Yale ya klopp na guadiola kufukuzana Kwa gepu la pointi1 kuanzia Januari mpk May na Kukosa ubingwa.....
Sembuse nyie arsenal gepu la pt4 hili na hii Januari nusu msimu, mshaanza maandalizi ya sherehe za Ubingwa badala sherehe za kupambana na kuvuja jasho, hard work,mentality,spirit nk Kwa Ajili ubingwa
No! Mimi Liverpool nataka Arsenal achukue Ubingwa, ila apambane na awe na high mentality na spiritIt's Arsenal against the world.
View attachment 3524899
Tushacheza sana pira biriani na hatukufika popote. Cha msingi ushindi KakaMpaka saa hii Arsenal, Aston villa na City zimejihakikishia kutoshuka daraja. Hakuna ambaye kajihakikikishia kuchukua kombe bado.
Game ya jana imetuonyesha kwanini Gyokeres ni muhimu kuwepo na kwanini tunatakiwa kufanya high pressing. Gyokeres anasababisha wachezaji wengine kua free kupokea mipira haswa wingers.
Jana alijitahidi kua involved. Lakini involvement yake haikumpa matunda ikawapa wengine. Martinelli offensively hakua sharp.
Odegaard katoa assist lakini sielewi kwanini first instinct kwake ni "play it safe" no risk in trying to tear apart defense kwa pasi na one two ila ni sideway passes na back passes ndiyo option namba moja.
Midfield ilikua haikabi. Ikambariki Bournemouth goli la pili..
Huu ushindi hauhalalishi hii performance. Bournemouth ni ya 15 kabla ya mechi ya jana walikua wamecheza mechi kumi mfululizo ambazo wamesuluhu tano na kufungwa tano. Kama unahisi matokeo ya msimu uliopita yanahalalisha hii performance notice kwamba kwenye game nao msimu uliopita we were better in everything, walitufunga kwao huku Saliba akila red, na kocha akamuanzisha Sterling na hatukua na option kwenye benchi.
Na bado tulikua tunacheza kwa nguvu zote. So hii performance ni ya hovyo.
Next game Liverpool anakuja Emirates Alhamis
Ninarudia tena.
Chelsea wakipigwa chini ya goli tano ninampa vocha ya buku Olashoga mama la mama
Ubingwa ni ndogo ya abujuasiGyokeres effect
View attachment 3524906
Abujuasi ndio nin andika vizuri bnaUbingwa ni ndogo ya abujuasi
Unaelewa maana ya ndogo au tunatamanishana tu hapaUbingwa ni ndogo ya abujuasi
Kuelekea safari ya ubingwa msimu ule tulipata majeruhi mengi na hatukuwa na kikosi kipana kama wakati huu.Duuh tunatamani mchukue ubingwa lakini sio kirahisi hivyo mdomoni tu, msimu wa 2022/23 if not mistaken, mlikuwa mnaongoza Ligi Kwa kipindi kirefu km Liverpool msimu Jana, Hadi kufika mwanzoni mwa Aprili gepu na mshindi2 Mancity ilikuwa ni zaidi pointi8/9 ivi bwana bwanaa kilichokuja kutoka, Yale ya klopp na guadiola kufukuzana Kwa gepu la pointi1 kuanzia Januari mpk May na Kukosa ubingwa.....
Sembuse nyie arsenal gepu la pt4 hili na hii Januari nusu msimu, mshaanza maandalizi ya sherehe za Ubingwa badala sherehe za kupambana na kuvuja jasho, hard work,mentality,spirit nk Kwa Ajili ubingwa
Kuna tatizo kubwa sana pale unyumbuni, game nyingi nyumbu wanacheza oya oya au kama vipi vipiKuadhibu beliefs.
Timu inayoamini inapata matokeo ukiwa unaadhibu hicho kiherehere ndiyo kila unayekutana naye anajihami.
Hajiachii.
United anacheza na timu inaamini itapata chochote angalia wanavyojiachia
Sisi chelkenge hatutaki win wala draw, msitulazimisheNaam chelkenge win or draw ni muhimu.
Labda Maisha PlusMaressa pamoja na mafanikio yake ndani ya miezi 18 pale Chelsea na amefukuzwa, Ila kuna vitimu makocha wao n wanasesere ila bado wapo tuu 😂
Maressa akifika man U na arsenal anaweza kuwa kocha wa maisha 😂