Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Paul Scoles, juzi kati alinukuliwa akisema kama Arsenal watatwaa ubingwa Epl this season itakuwa the worst team ever kufanya hivo
Hapa alikuwa na maana kwamba sio kwamba nyie ni wazuri sana (master class) ni vile tu wenzenu wamejichokea ... the likes of city, liver, Chelsea, utd , spurs , Newcastle n k......

Soton tu wako championship huko wamewalomba, wachezaji wenu muhimu walikuwepo/walicheza .... saliba, Gabriel M, Ode, Victor, kai kiazi, Jesus, calafior, skelly , Zubimendi n.k !

Quadruple? Mtaisikilizia kwenye bomba
 
Arteta na SDs wenu walivyo viande, wakafanya ujanja ujanja wachezaji wote wakajitoa kwenye national team zako eti wameumia... wanarudi London for more checkups......

Kilichotokea ? Mpepakiwa mkongo .........watu wamejilombea tu ......

Ucl tena hata mkifika final , hamuwezi kushinda ....... Mark this comment!!!!!!!!!
 
Hakuna kitu Chelsea haijafanya ili Arsenal wapate makombe. Tumewalea mpaka tukachoka — lakini bado wanarudi nyumbani mikono mitupu kama watoto wa mtaani huku wakiturudishia matusi juu badala ya shukurani 📚

▪️ Chelsea ilishinda Champions League na Petr Čech… Arsenal wakamchukua wakidhani atawaletea UCL kama delivery ya Pizza 📦

▪️ Chelsea ilishinda Europa League na Willian… Arsenal wakamchukua, akawasha moto wa backpasses tu 🔥

▪️ Chelsea ilishinda Premier League na David Luiz… Arsenal wakamchukua, akawapa mabao ya kujifunga kama binti mkaidi anayezalishwa kila mwaka 🤣

▪️ Chelsea ilishinda Champions League na Jorginho… Arsenal wakamchukua, wakafikiri “mfumo umeiva” kumbe ni penalty hop tu 🦗

▪️ Chelsea ilishinda Super Cup na Kepa… Arsenal wakamchukua, sasa wanamuita “backup ya backup” mbona kacheza hadi robo fainal ya FA akaizamisha boti nzima?🧤

▪️ Chelsea ilishinda Club World Cup na Noni Madueke… Arsenal wakamchukua, lakini bado hawajui wamweke wapi 📍

▪️ Chelsea ilishinda Intercontinental Cup na Kai Havertz… Arsenal wakamchukua, wakamgeuza kuwa target man wa maombi 🙏

Kwa kweli tumefanya kila kitu kwa ajili ya jirani yetu, lakini Arsenal bado ni timu ya kuumiza kichwa — kama WiFi ya bure ya stendi ya mabasi 🤦‍♂️💀😂
 
Yap Arsenal kazingua kutolewa na timu championship FA ila acheni upotoshaji baadhi wachezaji walicheza international break mzee , japo wengi hawakumaliza dk90 lbd hancapie na taifa lake na Gyokyeres na Sweden Yao, Zubimendi alicheza pia,Raya Spain mechi na Egypt,Calfiori na Italy sikumbuki Ben white na Martineli na Brazil yao,
So hao akina Saka na rice huenda ni kweli ni Majeruhi hawajaforge
 
Hii kubwa sana mkuu 😂 waonee huruma
 
Kombe tutashinda.

Lakini Arteta sio kocha sahihi kwa Arsenal hili kwa upande wangu huwa naamini.

Yule Odegaard ndio mtu anaeweza kumkosesha makombe Arteta ukijumlisha na kutaka kumuweka kai nyuma ya striker.

Kama Eze atakuwa mzima huyu ndio roho ya timu pale.

Jesus hapaswi kabsa kucheza kwasasa.Pale mbele ni Joker na Kai ndio panawafaa.

Joker sweden anafunga hadi magoli ya AI akiwa Arsenal anaonekana wakawaida kwasababu ya mfumo wa Arteta.

Arsenal ukiiangalia ikiwa inacheza unaona ni timu inayopambana zaidi isifungwe goli kuliko yenyewe kufunga magoli.

Huu ndio mfumo aliokuja nao Arteta msimu huu.

Msimu juzi na ule wa nyuma yake tulikuwa tunaweza kumsearch mtu hadi akaelewa.Nyumbu,Liverpunga,Chelsea ni mashahidi wa hilo.

Kuna msimu nyumbu tulimla pale Emirates tulimpiga msako hadi akatoa.

All in all tubebe kombe tu vinginevyo ni majanga.

Haters vipi kombe la FA akabeba Soton.

Msisahau hv vikombe vidogo vya uingereza timu zinazoshuka daraja zimewahi kubeba.
 
Mtatoa milio yote humu ndani ....
Huyu Arteta sio mtu sahihi hapo, kwanza hana mfumo sahihi (playing style), anaotea otea tu magoli ya set pieces ama tu individual brilliance za wachezaji zinamsaidia kumpa points...... .

Patamu hapo, tunaelekea mwisho wa msimu, mtaliwa viboga mpaka muache khanga kitandani.... pia wachezaji wenu muhimu ni spana mkononi, wakipelekewa moto wanaachia khanga wanarudi wodini
 
Kama unakumbuka Liverpool msimu Jana walitolewa na timu gani kwenye FA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…