Game ilikua shit.Lilipigwa boli, au mateke tu?
Ukiwa na smart tv kwa elfu 20 unaangalia mechi zote unazozijua.Hapa ndo utaelewa why DSTV, Compact package, 68,000 tzs, unawaona Madrid vs Munich
Ila, Arsenal na Sporting, Compact Plus, 118,000 tzsView attachment 3569228View attachment 3569230
GAme za mwisho za arsenal niliona tunashinda sababu ya mabeki zetu na kipa... labda na declan ruce ukitoa hao, kwenda mbele huko timu haieleweki, wakati mwingine bora eze, siku trossard akiamka vizur anasaidia.. yaani kuna ile rythm tumeipoteza kabida.Game ilikua shit.
Odegaard hayuko sawa, sense ya kupasi vizuri kaipoteza siku hizi.
Goli dhidi ya Soton lilitokana na pasi yake kwa adui.
Jana Sporting CP waligongesha mtambaa panya ulitokana na pasi yake kwa adui.
Yaani unamuona uwanja mzima ila hana impact. Timu haina fluidity kwenye movement, tupo slow, hakuna shot takers.
Ukiangalia takwimu za mechi na matokeo utaweza sema ilikua fresh ila hapana na ninaamini imetokana na sisi kucheza na ile attitude ya kusema tupo ugenini. Shida ni kwamba hata Emirates hua tunakua kama tulivyokua jana.
Tukaze game ijayo tushinde, kuingia nusu ni bora zaidi.. ila kwa mchezo huo barca atatuacha salama kweli, au ndio kwakuwa nae haeleweki eleweki?50/50 game, hapa class ya wachezaji ndio ili amua mechi.
Si unajua sporting alikuwa haja fungwa kwake kitambo!
Linafahamika hilo.Ukiwa na smart tv kwa elfu 20 unaangalia mechi zote unazozijua.
DSTV itakufa
Bro sijawahi kumiliki dstv so nashindwa figure out kama hilo ni jambo jema ama laLinafahamika hilo.
Post ni kwa nini Super sport mechi wameiweka S Football Plus badala ya S EPL. The reason wanajua wateja wa hiyo mechi (still wapo pamoja na streaming + canal) ni Arsenal fans + Chelsea + Man U + Liver + Most Football fans.
They have to check game yetu, ili wapate ya kuandika mitandaoni.
Unastream live mkuu au ipoje?Ukiwa na smart tv kwa elfu 20 unaangalia mechi zote unazozijua.
DSTV itakufa
Mimi nimedownload Cricfy App. So nastream kwa hiyo app. Elfu 20 ni 20GB kwa mwezi so nacheki mechi zote tu.Unastream live mkuu au ipoje?
Hiz tv za hisense na hii vidaa yao n useng3 mtupu.Mimi nimedownload Cricfy App. So nastream kwa hiyo app. Elfu 20 ni 20GB kwa mwezi so nacheki mechi zote tu.
Yeah nilizikimbia tv za operating system ya vidaa kwaajili hiyoHiz tv za hisense na hii vidaa yao n useng3 mtupu.
Hawaeleweki hao usishangae wakapigwaBarca wana nyekundu alafu wapo home, kipindi cha kwanza tayari wameshatanguliwa goli moja
Atletico madrid anahitaji goli mbili ili kujihakikishia kwenda kutolewa na Arsenal katika hatua ya sunu fainali
Mtu akitokea nai-push niingie kwenye google tv. Au nitawapa nyumbu waifanye ndio kombe lao maana wanatia hurumaYeah nilizikimbia tv za operating system ya vidaa kwaajili hiyo
Hawa inabidi washinde ata kimiujiza ili wapite tuje kuwafunga sisi tuingie fainaliHawaeleweki hao usishangae wakapigwa
Ziko very limited. Ila kama ina nchi kuanzia 50 weka sokoni hukosi mtejaMtu akitokea nai-push niingie kwenye google tv. Au nitawapa nyumbu waifanye ndio kombe lao maana wanatia huruma
Yeah hii nikiweka sokon sikosi mteja, haina kipengele na huo upuuzi wa vidaa tuZiko very limited. Ila kama ina nchi kuanzia 50 weka sokoni hukosi mteja
FlanoYeah hii nikiweka sokon sikosi mteja, haina kipengele na huo upuuzi wa vidaa tu
Ni 43 inch ikitokea nakosa mteja nitawapa nyumbu wafanye kama kombe lao msimu huu