Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 43,954
- 95,351
Leo siku mbaya kwa wakubwa, inter kafa 3-1, atletico Madrid kasawazishiwa 2-2, arsenal ndio huyo.Wakati timu inaongoza 2, na tunacheza boli halieleweki, nikamwambia mtu usishangae watoto wakachomoa zote.akabisha, nikamwambia punguza mapenzi, utakosa hata hamu ya kula daku..
Watoto walivyochomoa kaachia mtusi, kasonya na kuondoka 😂🤣