Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,883
- 67,312
Nimeitafuta iyo mechi siioniWanangu wa bayern leo lazima tuue mtu
Nimeitafuta iyo mechi siioniWanangu wa bayern leo lazima tuue mtu
Ipo uwanjani muda huu 😎Nimeitafuta iyo mechi siioni
Sana. Labda kama kimoyomoyo ananiita andunje mtu mfupiHivi shemeji anakuheshimu kweli?
Mkuu sijawahi kumiliki dstvMimi natumia DSTV siioni na nalipiaga chanell zote
Boy madueke [emoji91]Waliemtuma nae kafa, aje mwingine
View attachment 3508036
Ona tume waharibu vibaya sana, noni madueke ana wasubiri jumapili awa jaze tena 😂 😂Wanangu wa bayern leo lazima tuue mtu
😄😄😄😆😆😆😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ushindi wao ni draw si zaidi ya hapo
Nili kwambia naanza kumkanda Bayern, una kuja wewe dada unaye penda kono la nyani 😂🔥Wanangu wa bayern wanazingua sasa, anyway ngoja mabingwa wa dunia tutakuja kulipa kisasi