Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 2,707
- 4,433
Mimi natumia DSTV siioni na nalipiaga chanell zoteKama unatumia simu download app inaitaa cricfy kama computer ingia koralive
Nimeitafuta iyo mechi siioniWanangu wa bayern leo lazima tuue mtu
Ipo uwanjani muda huu 😎Nimeitafuta iyo mechi siioni
Sana. Labda kama kimoyomoyo ananiita andunje mtu mfupiHivi shemeji anakuheshimu kweli?
Mkuu sijawahi kumiliki dstvMimi natumia DSTV siioni na nalipiaga chanell zote
Boy maduekeWaliemtuma nae kafa, aje mwingine
View attachment 3508036

Ona tume waharibu vibaya sana, noni madueke ana wasubiri jumapili awa jaze tena 😂 😂Wanangu wa bayern leo lazima tuue mtu
😄😄😄😆😆😆😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ushindi wao ni draw si zaidi ya hapo
Nili kwambia naanza kumkanda Bayern, una kuja wewe dada unaye penda kono la nyani 😂🔥Wanangu wa bayern wanazingua sasa, anyway ngoja mabingwa wa dunia tutakuja kulipa kisasi