Cherecheche
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 4,771
- 9,131
😂😂😂Worst performance.
Haiingii akilini kwamba Arsenal ili ashinde mechi ya FA dhidi ya Soton aliyeshuka daraja inabidi awe na kikosi kinachotarajiwa kushindana UCL.
Wachezaji kama vile wamekutana leo wazenge kabisa. Mi sijanunua TV ili nije kuangalia usenge kama huu
Na FA?Kwanza hili carabao cup halikua kwenye plan zetu.
Kule EPL bado una mechi na Kipara. Na nyingine moja ukifungwa na Nottingham Forest biashara imeisha.Tusijifariji, tungejilegeza tukatolewa na chelsea nusu fainali.
Ni kweli kama tungewekewa hapa epl hapa carabao sote tungechagua epl, ila hakuna mwanadamu asietaka zaidi, epl tunaitaka lakini carabao pia tuliitaka ni vile arteta kaleta upimbi
🤣🤣🤣 Na Soton mechi aliyowafunga leo ndio mechi yake ya mwisho kuwafunga kwa msimu huu au sio mzee wa mbege?Yule city mechi aliyotufunga ndio mechi yake ya mwisho kutofunga kwa msimu huu.
Huko mbeleni mechi zozote tutakazokutana nae atafute suluhu tu.
Sema tena na leo wewe mzee makaveli10Bahati mbaya, mie siwezi zungumzia mpira na wewe mzee,
Soma tena ulichoandika.. kabla ya game hii kuna game ngapi city hajapata ushindi kwa arsenal?
Mie nazungumzia kuwekwa benchi wachezaji wazuri na ww unazungumzia nini sasa 😂
Pole. Ujinga wote ni wa kocha wako. Hajawahi kushinda chochote cha maana toka alivyokuwa mchezaji. Tafuteni kocha anayejua kucheza mechi za fainali. Mechi ya fainali unaweka kikosi cha pili!Worst performance.
Haiingii akilini kwamba Arsenal ili ashinde mechi ya FA dhidi ya Soton aliyeshuka daraja inabidi awe na kikosi kinachotarajiwa kushindana UCL.
Wachezaji kama vile wamekutana leo wazenge kabisa. Mi sijanunua TV ili nije kuangalia usenge kama huu
Hizo "last three seasons" mlishinda kombe gani? Raymanu KETangu Saka acute hiki chombo siku hizi amekuwa uchoro Sana uwanjani.
Sijui amepagawishwa kwa mauno ama vipi bt honestly jamaa viwango vyake vimepungua uwanjani.
He's not the Saka we used to know in the last 3 seasons
View attachment 3564236
🤣🤣🤣 Tetea kiwigi anawachukulia mashabiki wote wa Arsenyau kama matako yake.Dah hivi arteta una tuchukuliaje
Vumilia 😂Majanga huko, ehh
Epl lazima tubebeVumilia 😂
Makombe yetu n EPL na UEFA tuu
And then there are two titles to fight !! 😂Gunner to Gunner
Be hurt, Don't Be Stupid
Three titles to fight for!