Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🤣🤣🤣 Dunia nzima imefurahi.
Kwa hizi mechi zilizobaki hakuna shabiki wa timu yoyote zaidi ya Arsenyau atakae sikitika timu yake ikifungwa na Mancity.
Eeehhh Mungu tunakuomba uendelee kumimina baraka zako kwa hawa vijana wa Pep Guardiola.
 

Attachments

  • 20260213_125243.jpg
    20260213_125243.jpg
    65.2 KB · Views: 5
Tukubali tukatae ndugu zangu wa Arsenal timu yetu ina hali ngumu sana kwa sasa. Presha ni kubwa sana nje na ndani ya uwanja. Mpaka sasa timu yetu imetupa kila sababu ya kuikatia tamaa.

Game ya leo ni ngumu mno, kwanza ni Derby, pili mpinzani anapambana kubaki ligi kuu. Arteta asipotuliza kichwa yake kwenye kupanga kikosi ndio atazidisha ugumu zaidi.

Endapo tutapata point 3 basi game ya kuturudisha kwenye matumaini ni ya Man city.
 
Tukubali tukatae ndugu zangu wa Arsenal timu yetu ina hali ngumu sana kwa sasa. Presha ni kubwa sana nje na ndani ya uwanja. Mpaka sasa timu yetu imetupa kila sababu ya kuikatia tamaa.

Game ya leo ni ngumu mno, kwanza ni Derby, pili mpinzani anapambana kubaki ligi kuu. Arteta asipotuliza kichwa yake kwenye kupanga kikosi ndio atazidisha ugumu zaidi.

Endapo tutapata point 3 basi game ya kuturudisha kwenye matumaini ni ya Man city.
Uhuni wa kufosi Arsenal acheze Jumatano ili City awe na game mkononi ndiyo alifanyiwa Liverpool na ndiyo Arsenal tunafanyiwa mara ya pili
 
Uhuni wa kufosi Arsenal acheze Jumatano ili City awe na game mkononi ndiyo alifanyiwa Liverpool na ndiyo Arsenal tunafanyiwa mara ya pili
Sidhani kama hiyo ndio sababu ya kujitetea timu ikifanya vibaya.
Ratiba ya EPL huwa inatoka mapema sana na hakuna namna nyingine zaidi ya kufuatisha ratiba. Wale wachezaji kazi yao ni kucheza na wanalipwa kwa ajili hiyo wacheze, kuwa timu kubwa sio jambo jepesi ni muhimu sana management kuwekeza kwenye kikosi kuendana na michuano inayoshiriki.
 
Miezi miwili iliyopita City ilikua imeachwa points 2 na Arsenal. Watu wakatabiri muda umefika.

Yaliyotokea yakatokea.

Sasa hivi city kaachwa tena points 2.

Mashabiki? Hasira zimetushika.

Wapinzani? Wanaongea nonstop. Kama walivyoongea mwanzo.

Observe
 
Sidhani kama hiyo ndio sababu ya kujitetea timu ikifanya vibaya.
Ratiba ya EPL huwa inatoka mapema sana na hakuna namna nyingine zaidi ya kufuatisha ratiba. Wale wachezaji kazi yao ni kucheza na wanalipwa kwa ajili hiyo wacheze, kuwa timu kubwa sio jambo jepesi ni muhimu sana management kuwekeza kwenye kikosi kuendana na michuano inayoshiriki.
Correct insight.

Let's see
 
🤣🤣🤣Wachezaji wa Man City ligi inapoelekea ukingoni hua kama vile wamepaka mkongo, wakati wachezaji wa Arsenyau muda huo wanakua kama wale wadada wanaocheza baikoko, yaani ni mwendo wa kuimwaga miuno tu huku wanamwagiwa ndoo za maji.
Ndio maana wadau humu wanatumia ile code ya "Arsenyo ndoo" kumbe wanamaanisha wacheza baikoko lazima wamwagiwe ndoo za maji.

#Arsenyo ndoo
 

Attachments

  • 1710748027241.jpg
    1710748027241.jpg
    105.4 KB · Views: 4
🤣🤣🤣 Dunia nzima imefurahi.
Kwa hizi mechi zilizobaki hakuna shabiki wa timu yoyote zaidi ya Arsenyau atakae sikitika timu yake ikifungwa na Mancity.
Eeehhh Mungu tunakuomba uendelee kumimina baraka zako kwa hawa vijana wa Pep Guardiola.
Bwashee mbona manjesta kama tunalitaka kombe🥲
 
Back
Top Bottom