Uhuni wa kufosi Arsenal acheze Jumatano ili City awe na game mkononi ndiyo alifanyiwa Liverpool na ndiyo Arsenal tunafanyiwa mara ya piliTukubali tukatae ndugu zangu wa Arsenal timu yetu ina hali ngumu sana kwa sasa. Presha ni kubwa sana nje na ndani ya uwanja. Mpaka sasa timu yetu imetupa kila sababu ya kuikatia tamaa.
Game ya leo ni ngumu mno, kwanza ni Derby, pili mpinzani anapambana kubaki ligi kuu. Arteta asipotuliza kichwa yake kwenye kupanga kikosi ndio atazidisha ugumu zaidi.
Endapo tutapata point 3 basi game ya kuturudisha kwenye matumaini ni ya Man city.
Sidhani kama hiyo ndio sababu ya kujitetea timu ikifanya vibaya.Uhuni wa kufosi Arsenal acheze Jumatano ili City awe na game mkononi ndiyo alifanyiwa Liverpool na ndiyo Arsenal tunafanyiwa mara ya pili
Correct insight.Sidhani kama hiyo ndio sababu ya kujitetea timu ikifanya vibaya.
Ratiba ya EPL huwa inatoka mapema sana na hakuna namna nyingine zaidi ya kufuatisha ratiba. Wale wachezaji kazi yao ni kucheza na wanalipwa kwa ajili hiyo wacheze, kuwa timu kubwa sio jambo jepesi ni muhimu sana management kuwekeza kwenye kikosi kuendana na michuano inayoshiriki.
Mshaanza kutafuta sababu 😂Uhuni wa kufosi Arsenal acheze Jumatano ili City awe na game mkononi ndiyo alifanyiwa Liverpool na ndiyo Arsenal tunafanyiwa mara ya pili
"I'M EXTREEEEEEMELY HAPPY"Nilipoona mnaongoza bao 2 nikaacha kuangalia
Nashangaa nacheki saizi livescore nakuta ngoma sare
Nimefurahi kwakweli.
Kumbe 'aseno' nae mkubwa!!!!!!!...Hao unaowalinganisha nae hapo woye wana makombe ya Ulaya.Leo siku mbaya kwa wakubwa, inter kafa 3-1, atletico Madrid kasawazishiwa 2-2, arsenal ndio huyo.
hatuko vibaya kivile, form ya timu zote 2 ni ya kuunga unga.Of four cups, lazima tuondoke na makombe mawili walau.
Inasikitisha kuruhusu 8-point-gap ifikie mbili, ila kinachotuua ni mentality!
Bwashee mbona manjesta kama tunalitaka kombe🥲🤣🤣🤣 Dunia nzima imefurahi.
Kwa hizi mechi zilizobaki hakuna shabiki wa timu yoyote zaidi ya Arsenyau atakae sikitika timu yake ikifungwa na Mancity.
Eeehhh Mungu tunakuomba uendelee kumimina baraka zako kwa hawa vijana wa Pep Guardiola.