Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ladies and gentlemen
Nyumbuz and kenge

Leo ndio tunaanza ligi rasmi

View attachment 3547223
Ligi gani inaanza February.
Binafsi naona mna nafasi ya kuchukua lkn lazima kuanzia leo Kila mechi mcheze kama final.
La muhimu, arteta mwambieni achague nini anakitaka zaidi kati ya EPL au UCL.
Hamna kikosi cha kuchukua yote UCL na EPL.
Chagueni Moja afu Kila mechi yake muicheze kama final.
Mtaka yote Kwa pupa hukosa yote.

Chagueni EPL, then UCL mfanye sacrifice ya EPL.
Mkifanya hivi nyie mwaka huu lzm mbebe
 
Ligi gani inaanza February.
Binafsi naona mna nafasi ya kuchukua lkn lazima kuanzia leo Kila mechi mcheze kama final.
La muhimu, arteta mwambieni achague nini anakitaka zaidi kati ya EPL au UCL.
Hamna kikosi cha kuchukua yote UCL na EPL.
Chagueni Moja afu Kila mechi yake muicheze kama final.
Mtaka yote Kwa pupa hukosa yote.

Chagueni EPL, then UCL mfanye sacrifice ya EPL.
Mkifanya hivi nyie mwaka huu lzm mbebe
🤣🤣🤣 Hakuna timu ya kuchukua kombe hapa, nakumbuka misimu mitatu nyuma kipindi hicho Masingeli bado hajakimbia jukwaa mimi nilikua nawaambia tatizo la arsenyau ni mentality, kuanzia mashabiki, wachezaji mpaka kocha wao wana mentality za mid table team, hawa hata leo hii uwape points 20 za ziada na bado ubingwa wanaweza wasichukue.
 

Attachments

  • 1713703836843.jpg
    1713703836843.jpg
    120.6 KB · Views: 7
Ligi gani inaanza February.
Binafsi naona mna nafasi ya kuchukua lkn lazima kuanzia leo Kila mechi mcheze kama final.
La muhimu, arteta mwambieni achague nini anakitaka zaidi kati ya EPL au UCL.
Hamna kikosi cha kuchukua yote UCL na EPL.
Chagueni Moja afu Kila mechi yake muicheze kama final.
Mtaka yote Kwa pupa hukosa yote.

Chagueni EPL, then UCL mfanye sacrifice ya EPL.
Mkifanya hivi nyie mwaka huu lzm mbebe
Kuanzia leo kila timu tutakayo kukutana nayo itakua imeingia miziki ya kibwengo

Kupoteza kawaida lakini consistency yetu hakuna mtu asiyeijua
Usipo fungwa kwenye open play utafungwa goli za kihuni (set pieces)

Mark my words
 
Kuanzia leo kila timu tutakayo kukutana nayo itakua imeingia miziki ya kibwengo

Kupoteza kawaida lakini consistency yetu hakuna mtu asiyeijua
Usipo fungwa kwenye open play utafungwa goli za kihuni (set pieces)

Mark my words
🤣🤣🤣 Arsenyau ni kama tu mgonjwa wa kifafa na huu ndio muda wake wa kuanza kuanguka anguka.
 
Kuanzia leo kila timu tutakayo kukutana nayo itakua imeingia miziki ya kibwengo

Kupoteza kawaida lakini consistency yetu hakuna mtu asiyeijua
Usipo fungwa kwenye open play utafungwa goli za kihuni (set pieces)

Mark my words
Wapi inverted full back ya Zinchenko, wapi Haram footbal ya TetaBoy, wapi inverted pressing ya King Kai, wapi overloading football, wapi Saka Nyoka asiyekabika na neki mmoja. Kuna kauli moja ya masingeli alikuwa anapenda kuitumia kuwa it's scary but not for us... anasindikizia na mazoezi yao kule Dubai
 
🤣🤣🤣 Yule Vasco Dagama ndio alitutoa kwenye mbio za ubingwa, laiti Carrick angepewa timu mzunguko wa pili tu ulivyoanza sasa hivi Manjesta tungekua ndio tunaongoza ligi.
Kabisa kumbe hapo juu wapo viazi tu , yule mzururaji katuchelewesha sana😁
 
Wapi inverted full back ya Zinchenko, wapi Haram footbal ya TetaBoy, wapi inverted pressing ya King Kai, wapi overloading football, wapi Saka Nyoka asiyekabika na neki mmoja. Kuna kauli moja ya masingeli alikuwa anapenda kuitumia kuwa it's scary but not for us... anasindikizia na mazoezi yao kule Dubai
Siku masingeli akirudi watu kutokea nyumbu camp mjipange aisee
 
Back
Top Bottom