Bagabeach
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 1,351
- 2,786
Ligi gani inaanza February.
Binafsi naona mna nafasi ya kuchukua lkn lazima kuanzia leo Kila mechi mcheze kama final.
La muhimu, arteta mwambieni achague nini anakitaka zaidi kati ya EPL au UCL.
Hamna kikosi cha kuchukua yote UCL na EPL.
Chagueni Moja afu Kila mechi yake muicheze kama final.
Mtaka yote Kwa pupa hukosa yote.
Chagueni EPL, then UCL mfanye sacrifice ya EPL.
Mkifanya hivi nyie mwaka huu lzm mbebe

