Wabaki na nafasi yao ya runner up tu,Kuliko Arsenyembo achukue ubingwa, bora parapanda la kiama lipigwe tuu
Ya zamani sana hiyoHiv hii interview ni ya kweli ?Hazard , John Terry na Ivanovic wanaulizwa club gani kubwa duniani. Terry akajibu Barcelona or Real madrid.
Ivanovic akasema ARSENAL , Terry na Harzad wakaanguka kicheko kikali sanaa.
Halafu wabadilishe jina rasmi waitwe Runnerup FCWabaki na nafasi yao ya runner up tu,
Na Saka kaongeza mkataba miaka5 na mshahara mnono Kuliko wachezaji wote ndani Arsenal na huenda kuwa ht top5 ya top earners kny Epl, Haaland na Salah ndo wanaongoza saivi.Sahihi mkuu naunga mkono hoja.. wakati mwingine unaona kama ni chuki za wapinzani, ila ukweli ni kwamba arsenal tunachangamoto game za pressure zinatushinda, ukweli mchungu, ukimaliza na midfielders, huku mbele wingers zote 2, namba 10 na namba 9 ni sawa na hatuna kitu..
Saka mchezaji wa kawaida tu, martineli upepo, trossard kidoogo dhamana, madueke yale yale, gyokeres hamna kitu, odegaard nae mashuzi tu, jesus kidoogo dhamana, eze kwa mbaaali, kai nae mashuzi tu
Mie huyu saka na martinelli nishawqkqtqq toka msimu uke wana moto.. ukweli mchungu ni average players, saka ni wa everton huko, spurs kidogo, Aston villa na wenginewe..Na Saka kaongeza mkataba miaka5 na mshahara mnono Kuliko wachezaji wote ndani Arsenal na huenda kuwa ht top5 ya top earners kny Epl, Haaland na Salah ndo wanaongoza saivi.
Lakini hizo takwimu zake za msimu huu za Epl Mmmh!! hata kama tutasingizia Majeruhi, yaani goli 5 assist 3, ngoja tuone baada mechi hii Wolves kwenda March, April mpk mwisho msimu May ataleta mchango Gani na consistency au lah!! Maana Saka alikaa zaidi mechi 10 Epl hajafunga goli mpk kuja kufunga dhidi Wolves J5 hapo.
Endelea kugawa energy drinks, bado anapumua..Hii ni timu kubwa sana.
Matatizo yaliyojitokeza dhidi ya Brentford yamejitokeza dhidi ya Wolves.
Cheki mechi dhidi ya Wigan. Dakika ya 28 mnaongoza nne ila mnashindwa ongeza chochote kwa dakika 62. Haikua dalili nzuri na nikaisema.
Kocha anakubali makosa. Lakini haitakua mara ya kwanza. Hata game na Brentford alikubali makosa pia.
Wachezaji walibadili attitude? No.
What's funny? Brentford na Wolves hawakupaki basi. Wamefunguka. Zamani ilikua timu zinapaki basi, zinatusumbua. Ila kwa hawa walicheza.
How did the team respond? Media campaigns na interviews non stop to try and recapture the hearts of the fans.
Opponent wa karibu kabisa kwa sasa ana mchezo mkononi. Kama tungefanya kazi yetu ipasavyo that wouldn't matter
Tulia uwepo hapa hapaEndelea kugawa energy drinks, bado anapumua..
Spurz anapambana kubaki ligi kuu, halafu kabadilisha kocha. Makocha wapya wanaanzaga na mzuka. Kesho spurz anapiga mtu kwenye mshono.Bado spurs aje agonge Msumari Wa mwisho 😂