Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 47,173
- 113,030
Ya zamani sana hiyoHiv hii interview ni ya kweli ?Hazard , John Terry na Ivanovic wanaulizwa club gani kubwa duniani. Terry akajibu Barcelona or Real madrid.
Ivanovic akasema ARSENAL , Terry na Harzad wakaanguka kicheko kikali sanaa.