Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sahihi mkuu naunga mkono hoja.. wakati mwingine unaona kama ni chuki za wapinzani, ila ukweli ni kwamba arsenal tunachangamoto game za pressure zinatushinda, ukweli mchungu, ukimaliza na midfielders, huku mbele wingers zote 2, namba 10 na namba 9 ni sawa na hatuna kitu..
Saka mchezaji wa kawaida tu, martineli upepo, trossard kidoogo dhamana, madueke yale yale, gyokeres hamna kitu, odegaard nae mashuzi tu, jesus kidoogo dhamana, eze kwa mbaaali, kai nae mashuzi tu
Na Saka kaongeza mkataba miaka5 na mshahara mnono Kuliko wachezaji wote ndani Arsenal na huenda kuwa ht top5 ya top earners kny Epl, Haaland na Salah ndo wanaongoza saivi.
Lakini hizo takwimu zake za msimu huu za Epl Mmmh!! hata kama tutasingizia Majeruhi, yaani goli 5 assist 3, ngoja tuone baada mechi hii Wolves kwenda March, April mpk mwisho msimu May ataleta mchango Gani na consistency au lah!! Maana Saka alikaa zaidi mechi 10 Epl hajafunga goli mpk kuja kufunga dhidi Wolves J5 hapo.
 
Na Saka kaongeza mkataba miaka5 na mshahara mnono Kuliko wachezaji wote ndani Arsenal na huenda kuwa ht top5 ya top earners kny Epl, Haaland na Salah ndo wanaongoza saivi.
Lakini hizo takwimu zake za msimu huu za Epl Mmmh!! hata kama tutasingizia Majeruhi, yaani goli 5 assist 3, ngoja tuone baada mechi hii Wolves kwenda March, April mpk mwisho msimu May ataleta mchango Gani na consistency au lah!! Maana Saka alikaa zaidi mechi 10 Epl hajafunga goli mpk kuja kufunga dhidi Wolves J5 hapo.
Mie huyu saka na martinelli nishawqkqtqq toka msimu uke wana moto.. ukweli mchungu ni average players, saka ni wa everton huko, spurs kidogo, Aston villa na wenginewe..
Unapotaka makombe unahitaji wachezaji bira wengi.. ni raya, timber, saliba, gabriel, kidoogo na rice(huyu naweza safiri nae) waliobaki kwa kweli ni ngumu kusafiri nao
 
"Tatizo si Arteta, si wamiliki, si wachezaji, ni mashabiki wa Arsenal. Mnadanganyika."
- Patrice Evra

1771659208188.png
 
Hii ni timu kubwa sana.

Matatizo yaliyojitokeza dhidi ya Brentford yamejitokeza dhidi ya Wolves.

Cheki mechi dhidi ya Wigan. Dakika ya 28 mnaongoza nne ila mnashindwa ongeza chochote kwa dakika 62. Haikua dalili nzuri na nikaisema.

Kocha anakubali makosa. Lakini haitakua mara ya kwanza. Hata game na Brentford alikubali makosa pia.

Wachezaji walibadili attitude? No.

What's funny? Brentford na Wolves hawakupaki basi. Wamefunguka. Zamani ilikua timu zinapaki basi, zinatusumbua. Ila kwa hawa walicheza.

How did the team respond? Media campaigns na interviews non stop to try and recapture the hearts of the fans.

Opponent wa karibu kabisa kwa sasa ana mchezo mkononi. Kama tungefanya kazi yetu ipasavyo that wouldn't matter
 
Hii ni timu kubwa sana.

Matatizo yaliyojitokeza dhidi ya Brentford yamejitokeza dhidi ya Wolves.

Cheki mechi dhidi ya Wigan. Dakika ya 28 mnaongoza nne ila mnashindwa ongeza chochote kwa dakika 62. Haikua dalili nzuri na nikaisema.

Kocha anakubali makosa. Lakini haitakua mara ya kwanza. Hata game na Brentford alikubali makosa pia.

Wachezaji walibadili attitude? No.

What's funny? Brentford na Wolves hawakupaki basi. Wamefunguka. Zamani ilikua timu zinapaki basi, zinatusumbua. Ila kwa hawa walicheza.

How did the team respond? Media campaigns na interviews non stop to try and recapture the hearts of the fans.

Opponent wa karibu kabisa kwa sasa ana mchezo mkononi. Kama tungefanya kazi yetu ipasavyo that wouldn't matter
Endelea kugawa energy drinks, bado anapumua..
 
🤣🤣🤣 Dunia nzima imefurahi.
Kwa hizi mechi zilizobaki hakuna shabiki wa timu yoyote zaidi ya Arsenyau atakae sikitika timu yake ikifungwa na Mancity.
Eeehhh Mungu tunakuomba uendelee kumimina baraka zako kwa hawa vijana wa Pep Guardiola.
 

Attachments

  • 20260213_125243.jpg
    20260213_125243.jpg
    65.2 KB · Views: 12

Similar Discussions

Back
Top Bottom