Bazenga01
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 964
- 1,689
Bado mnaongoza ligi, ubingwa wenu huuIle jamaa asilaumiwe sabab alikuwa anajaribu kuokoa mpira ambao uko on target kabisa. Wakulaumiwa na Raya na Gabriel walishindwa kuwasiriana.
Arsenal hatuna chetu hapa.