Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 1,902
- 3,096
Kwenye kumbi za kucheki mpira hivi vishabiki vina mzuka😄😄Bado spurs aje agonge Msumari Wa mwisho 😂
Kwenye kumbi za kucheki mpira hivi vishabiki vina mzuka😄😄Bado spurs aje agonge Msumari Wa mwisho 😂
Chelkenge tunawasubiri watuambie nani kawapa ruhusa ya kutuita hiviBado spurs aje agonge Msumari Wa mwisho 😂
Arsenyembo n baiskeli ya barafu jangwaniChelkenge tunawasubiri watuambie nani kawapa ruhusa ya kutuita hivi
Ni baiskeli ya matope kwenye mvua ya masika. Hawa jamaa ni zaidi ya wanawake machangudoa wanaowakatia viuno waume za watu lakini wakirudi kwa waume zao halisi wanakuwa wamechoka vibaya sana na kushindwa kuperform🤣😂🤣Arsenyembo n baiskeli ya barafu jangwani
Mistake tena! Si ulisema unapenda mkiwa mnampa mwizi energy drink ili muendelee kupiga?Mechi 7 tumeacha points kwenye games tano.
Mistakes za game na Brentford ndiyo zimejirudia zilezile.
Hakuna cha kusema hapa
Mechi ya mzunguko wa kwanza, Wolves walifunga magoli 3 lakini arsenal ndiye alishinda mechi 2-1Arsenal: 58% possession, mashuti 10, yaliyolenga 5.
Wolves: shuti 1 lililolenga, magoli 2.
Hawa jamaa wanaita “title charge” kumbe ni kuongeza presha ya mashabiki bure.
Mwisho wa ligi, Arsenal atasalia kuwa Arsenal — mabingwa wa “next season” na maumivu ya moyo.
-Netflix FC! 😂
View attachment 3545881
Ikitokea bahati mbaya mmechukua ubingwa msimu huu, basi ni bahati au form mbaya ya city ila sio kwa uwezo wa mwalimu.Ukweli mchungu, hili chama sio la kuchukua kombe
😃😃 wanaweza chukua lakiniIkitokea bahati mbaya mmechukua ubingwa msimu huu, basi ni bahati au form mbaya ya city ila sio kwa uwezo wa mwalimu.
Sipo mkuu 😂😅Tupe matokeo ya arsenyembo
Mkuu chance ni 1/10. Hawa jamaa ligi huwa wanaanza january na kuendelea huku kwingine huwa ni madoido ya mashabiki tu. Halafu EPL ni marathon sio sprinting kama arsenal wanavyofanya.😃😃 wanaweza chukua lakini
toobiter hamis77 Will Jr niliwaambia tuweke akiba ya maneno kuwa kwenye competition ukichezea chance hazijirudii mara mbili. Imepita miaka mitatu sasa na yale yale.Hivi kwa mafanikio ya pochettino spurs kuwa UCL regulars ulitegemea angefukuzwa? Au mafanikio ya Lampard msimu wake wa kwanza Chelsea maana wali over perform ila misimu iliofuata walikutana na reality. And that's exactly kitamkuta Arteta maana kikosi kina fatigue na hakuna depth.
Ni kweli hatuwezi pata kama yeye lakini washabiki wakianza Zile Wenger-Out au Emery-Out unadhani timu itamtoa nani kafara kama sio Arteta. Yes msimu ujao atapewa mamilion ila ndio hivo luck, consistency, na afya za wachezaji msimu huu haziwezi jirudia msimu ujao.
Mungu atupe uhai tu tutarudi kukumbushana how 2023 was our golden chance kama Liverpool ya 2019/20 kubeba ligi it was a now or never situation.
Tatizo ni mentality, wala hakuna kingine...unaongoza magoli mawili na ghafla kwa makosa ya kijinga unashindwa kulinda magoli, it's mentality, we can't handle pressure hasa kuelekea mwisho wa msimu.toobiter hamis77 Will Jr niliwaambia tuweke akiba ya maneno kuwa kwenye competition ukichezea chance hazijirudii mara mbili. Imepita miaka mitatu sasa na yale yale.
Tatizo ni Arteta ni failure hawezi kuleta mafanikio yoyote yale maana tunacheza bila creativity pasi kibao na formula ni ile ile bila kuwa ruthless.
Kocha ndio anawaambia wakabe wasitoke sana!! Dakika kama 20 hivi tulikua tunapoteza muda bila sababu badala ya kutafuta goli la 3!!Tatizo ni mentality, wala hakuna kingine...unaongoza magoli mawili na ghafla kwa makosa ya kijinga unashindwa kulinda magoli, it's mentality, we can't handle pressure hasa kuelekea mwisho wa msimu.