Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenyembo n baiskeli ya barafu jangwani
Ni baiskeli ya matope kwenye mvua ya masika. Hawa jamaa ni zaidi ya wanawake machangudoa wanaowakatia viuno waume za watu lakini wakirudi kwa waume zao halisi wanakuwa wamechoka vibaya sana na kushindwa kuperform🤣😂🤣
 
Ee Mungu Baba naiombea timu hii msimu huu isichukue kombe lolote timu ambayo haina malengo timu ambayo kila mwaka vilio, na ukiangalia utagundua Mwenyezi Mungu ameijalia hii timu inapata nafasi ya kuchukua kombe rakini nafasi inaichezea

Mungu baba hata mwaka jana nihawa hawa ambao uliwapa nafasi wakaichezea sasa inatosha

Hachukui kombe sio la ligi tu yaani lolote
 
Kuna kiazi kitakuja huko kinakuambia wapo wanampa mwizi energy drink , ili azinduke waendelee ku
piga, kwa sasa hutakiona humu jukwaani !

Ukikiuliza ni games ngapi mmecheza hovyo na mmeshinda tu kimazabe, mara set pc, sijui kona za kumgassi kolikipa ndo mnaotea...... Hakina majibu ama hakitokei tena ...
 
Arsenal: 58% possession, mashuti 10, yaliyolenga 5.
Wolves: shuti 1 lililolenga, magoli 2.
Hawa jamaa wanaita “title charge” kumbe ni kuongeza presha ya mashabiki bure.

Mwisho wa ligi, Arsenal atasalia kuwa Arsenal — mabingwa wa “next season” na maumivu ya moyo.

-Netflix FC! 😂

View attachment 3545881
Mechi ya mzunguko wa kwanza, Wolves walifunga magoli 3 lakini arsenal ndiye alishinda mechi 2-1
 
Hivi kwa mafanikio ya pochettino spurs kuwa UCL regulars ulitegemea angefukuzwa? Au mafanikio ya Lampard msimu wake wa kwanza Chelsea maana wali over perform ila misimu iliofuata walikutana na reality. And that's exactly kitamkuta Arteta maana kikosi kina fatigue na hakuna depth.

Ni kweli hatuwezi pata kama yeye lakini washabiki wakianza Zile Wenger-Out au Emery-Out unadhani timu itamtoa nani kafara kama sio Arteta. Yes msimu ujao atapewa mamilion ila ndio hivo luck, consistency, na afya za wachezaji msimu huu haziwezi jirudia msimu ujao.

Mungu atupe uhai tu tutarudi kukumbushana how 2023 was our golden chance kama Liverpool ya 2019/20 kubeba ligi it was a now or never situation.
toobiter hamis77 Will Jr niliwaambia tuweke akiba ya maneno kuwa kwenye competition ukichezea chance hazijirudii mara mbili. Imepita miaka mitatu sasa na yale yale.

Tatizo ni Arteta ni failure hawezi kuleta mafanikio yoyote yale maana tunacheza bila creativity pasi kibao na formula ni ile ile bila kuwa ruthless.
 
toobiter hamis77 Will Jr niliwaambia tuweke akiba ya maneno kuwa kwenye competition ukichezea chance hazijirudii mara mbili. Imepita miaka mitatu sasa na yale yale.

Tatizo ni Arteta ni failure hawezi kuleta mafanikio yoyote yale maana tunacheza bila creativity pasi kibao na formula ni ile ile bila kuwa ruthless.
Tatizo ni mentality, wala hakuna kingine...unaongoza magoli mawili na ghafla kwa makosa ya kijinga unashindwa kulinda magoli, it's mentality, we can't handle pressure hasa kuelekea mwisho wa msimu.
 
Tatizo ni mentality, wala hakuna kingine...unaongoza magoli mawili na ghafla kwa makosa ya kijinga unashindwa kulinda magoli, it's mentality, we can't handle pressure hasa kuelekea mwisho wa msimu.
Kocha ndio anawaambia wakabe wasitoke sana!! Dakika kama 20 hivi tulikua tunapoteza muda bila sababu badala ya kutafuta goli la 3!!

Kocha bado ni underdog tulipaswa tuwe na kocha ruthless mwenye mentality kama ya Conte/simeone ila tactical kama Luis Enrique/Fabregas.
 
Picha za mwisho wa msimu zimeanza kuvuja.
20260208_225541.jpg
 
Back
Top Bottom