ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 53,204
- 122,114
Kwa nini haikuwa hivyo mwanzoni kabisa iwe hivi kipindi hiki? Arsenal wanashindwa kuhimili pressure kuelekea mwishoni mwa msimu miaka mingi sasa.Kocha ndio anawaambia wakabe wasitoke sana!! Dakika kama 20 hivi tulikua tunapoteza muda bila sababu badala ya kutafuta goli la 3!!
Kocha bado ni underdog tulipaswa tuwe na kocha ruthless mwenye mentality kama ya Conte/simeone ila tactical kama Luis Enrique/Fabregas.