Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ikitokea bahati mbaya mmechukua ubingwa msimu huu, basi ni bahati au form mbaya ya city ila sio kwa uwezo wa mwalimu.
Sahihi mkuu naunga mkono hoja.. wakati mwingine unaona kama ni chuki za wapinzani, ila ukweli ni kwamba arsenal tunachangamoto game za pressure zinatushinda, ukweli mchungu, ukimaliza na midfielders, huku mbele wingers zote 2, namba 10 na namba 9 ni sawa na hatuna kitu..
Saka mchezaji wa kawaida tu, martineli upepo, trossard kidoogo dhamana, madueke yale yale, gyokeres hamna kitu, odegaard nae mashuzi tu, jesus kidoogo dhamana, eze kwa mbaaali, kai nae mashuzi tu
 
Sahihi mkuu naunga mkono hoja.. wakati mwingine unaona kama ni chuki za wapinzani, ila ukweli ni kwamba arsenal tunachangamoto game za pressure zinatushinda, ukweli mchungu, ukimaliza na midfielders, huku mbele wingers zote 2, namba 10 na namba 9 ni sawa na hatuna kitu..
Saka mchezaji wa kawaida tu, martineli upepo, trossard kidoogo dhamana, madueke yale yale, gyokeres hamna kitu, odegaard nae mashuzi tu, jesus kidoogo dhamana, eze kwa mbaaali, kai nae mashuzi tu
Hatuwezi pressure za kuelekea mwisho wa msimu. Hatuna big mentality kuhandle pressure, angalia blunder ya Raya na Gabriel, unaona kabisa ni pressure wala sio issue nyingine.
 
Kocha ndio anawaambia wakabe wasitoke sana!! Dakika kama 20 hivi tulikua tunapoteza muda bila sababu badala ya kutafuta goli la 3!!

Kocha bado ni underdog tulipaswa tuwe na kocha ruthless mwenye mentality kama ya Conte/simeone ila tactical kama Luis Enrique/Fabregas.
Kwa nini haikuwa hivyo mwanzoni kabisa iwe hivi kipindi hiki? Arsenal wanashindwa kuhimili pressure kuelekea mwishoni mwa msimu miaka mingi sasa.
 
Hatuwezi pressure za kuelekea mwisho wa msimu. Hatuna big mentality kuhandle pressure, angalia blunder ya Raya na Gabriel, unaona kabisa ni pressure wala sio issue nyingine.
Fikiria unapata presha ya ubingwa zikiwa zimebaki mechi 12, unaongoza ligi kwa tofauti ya alama 4 halafu unacheza na timu ya mwisho isiyo na matumaini ya kuepuka relegation! Tuangalie na suala la laana kama Man UTD maana inafikirisha sana ujinga walioufanya RAYA na mpenda sifa Gabriel. Hakukuwa na presha ya kugombea mpira vile.
 
Fikiria unapata presha ya ubingwa zikiwa zimebaki mechi 12, unaongoza ligi kwa tofauti ya alama 4 halafu unacheza na timu ya mwisho isiyo na matumaini ya kuepuka relegation! Tuangalie na suala la laana kama Man UTD maana inafikirisha sana ujinga walioufanya RAYA na mpenda sifa Gabriel. Hakukuwa na presha ya kugombea mpira vile.
Hiyo ni pressure within the squad, yaani wanaitengeneza wenyewe. Na hiyo ndio itatumaliza, wala sio pressure ya nje.

Nimesoma maoni ya pundits, kila mmoja anaongelea NERVES, PRESSURE, LACK OF MATURITY, NAMNA YA KUMALIZA MSIMU. Hatuna uzoefu kama City, kocha nae hana huo uzoefu wa kupambana mwisho wa msimu ili tubebe makombe. In the end tumeongoza almost msimu wote na wanabeba ndoo mwishoni kabisa.
 
Chama letu linacheza kiquomer sana siku hizi. Me ndo mana hata game zetu siangalii. Wanatutia hasira tu
 
Ee Mungu Baba naiombea timu hii msimu huu isichukue kombe lolote timu ambayo haina malengo timu ambayo kila mwaka vilio, na ukiangalia utagundua Mwenyezi Mungu ameijalia hii timu inapata nafasi ya kuchukua kombe rakini nafasi inaichezea

Mungu baba hata mwaka jana nihawa hawa ambao uliwapa nafasi wakaichezea sasa inatosha

Hachukui kombe sio la ligi tu yaani lolote
Acha kumsumbua Sir God kwa mambo ya kipuuzi
 
Hiv hii interview ni ya kweli ?Hazard , John Terry na Ivanovic wanaulizwa club gani kubwa duniani. Terry akajibu Barcelona or Real madrid.
Ivanovic akasema ARSENAL , Terry na Harzad wakaanguka kicheko kikali sanaa.
 
Inasemekana kuna kamgogoro ka ubaguz warangi so wachezaji wameamua kufanya yao kimtindo ila wameshazungumza next shuhudien kipigo kwa tottenham
 
Back
Top Bottom