makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,754
- 103,692
Sahihi mkuu naunga mkono hoja.. wakati mwingine unaona kama ni chuki za wapinzani, ila ukweli ni kwamba arsenal tunachangamoto game za pressure zinatushinda, ukweli mchungu, ukimaliza na midfielders, huku mbele wingers zote 2, namba 10 na namba 9 ni sawa na hatuna kitu..Ikitokea bahati mbaya mmechukua ubingwa msimu huu, basi ni bahati au form mbaya ya city ila sio kwa uwezo wa mwalimu.
Saka mchezaji wa kawaida tu, martineli upepo, trossard kidoogo dhamana, madueke yale yale, gyokeres hamna kitu, odegaard nae mashuzi tu, jesus kidoogo dhamana, eze kwa mbaaali, kai nae mashuzi tu