Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunarudi leo tena kwa Wolves.

Naona Arteta ameamua kuadopt kwa kubadili formation na kucheza 4 2 3 1

But hii 2 angemuweka Eze. Jamaa anatoa pasi nzuri akiwa mbali na forwards na inamsaidia hazunguki sana kukimbia kukaba

Ngoja tuona hii second leg itakuaje
 
20260219_005936.jpg
 
CALAFIORI aka SHOGA, bonge la straiker. Kaingia tu mpira wa kwanza kugusa goli
Ile jamaa asilaumiwe sabab alikuwa anajaribu kuokoa mpira ambao uko on target kabisa. Wakulaumiwa na Raya na Gabriel walishindwa kuwasiriana.
Arsenal hatuna chetu hapa.
 
Back
Top Bottom