Ile jamaa asilaumiwe sabab alikuwa anajaribu kuokoa mpira ambao uko on target kabisa. Wakulaumiwa na Raya na Gabriel walishindwa kuwasiriana.CALAFIORI aka SHOGA, bonge la straiker. Kaingia tu mpira wa kwanza kugusa goli
Bado mnaongoza ligi, ubingwa wenu huuIle jamaa asilaumiwe sabab alikuwa anajaribu kuokoa mpira ambao uko on target kabisa. Wakulaumiwa na Raya na Gabriel walishindwa kuwasiriana.
Arsenal hatuna chetu hapa.