Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelsea inaongozwa.

Wamekaa wiki nzima wakisema wanakuja kuchukua ushindi.

Siku ya mechi kocha anaanzisha mabeki watano, DMs wawili.

Idea? Arsenal asiscore. Okay sawa.

So tuwafrustrate Arsenal, akili ichoke dakika ya 65 tubadilike.

Kwamba usipate goli in 65 minutes ila upate kwenye hizi dakika 25 za mwisho dhidi ya defense strong kabisa duniani kwa sasa?

Huyu kocha wa Chelsea ana akili?

Nilikua online muda mechi inaendelea nikawa naona mashabiki wa Chelsea wanasifu jinsi gani wanadefend. Nikawa najiuliza hawa wanajua kua wanahitaji kuscore?

Sasa mnaelewa wanaoamua mechi iwe ya moto au isiwe ni nani? Na haina haja ya kulaumu blueprint ni long balls, counter na transition huku unabana kende. Ukija una hamu ya ushindi unapata yaliyompata Bayern, Madrid na wenzake.

Liam atafukuzwa
 
Chelsea inaongozwa.

Wamekaa wiki nzima wakisema wanakuja kuchukua ushindi.

Siku ya mechi kocha anaanzisha mabeki watano, DMs wawili.

Idea? Arsenal asiscore. Okay sawa.

So tuwafrustrate Arsenal, akili ichoke dakika ya 65 tubadilike.

Kwamba usipate goli in 65 minutes ila upate kwenye hizi dakika 25 za mwisho dhidi ya defense strong kabisa duniani kwa sasa?

Huyu kocha wa Chelsea ana akili?

Nilikua online muda mechi inaendelea nikawa naona mashabiki wa Chelsea wanasifu jinsi gani wanadefend. Nikawa najiuliza hawa wanajua kua wanahitaji kuscore?

Sasa mnaelewa wanaoamua mechi iwe ya moto au isiwe ni nani? Na haina haja ya kulaumu blueprint ni long balls, counter na transition huku unabana kende. Ukija una hamu ya ushindi unapata yaliyompata Bayern, Madrid na wenzake.

Liam atafukuzwa
Huyo Liam hakuna kitu pale sidhani kama atakuwa na muda mrefu pale darajani

Team selection yake ni very poor
 
Arsenal inaongoza kutoka first leg.

Second leg Chelsea anaamua kupaki basi.

Wachambuzi wanakuambia Liam kamuweza Arteta.

Unagundua sasa hivi siyo uchizi ni chuki pia inachangia watu kuongea utumbo bila kuona aibu.
 
Wenyewe walikua wameridhika game ibaki suluhu. Ili waonekane wamepambana.

Punda kadhaa walikua wamejiandaa kuja kupiga kelele kwenye huu uzi.

Sasa hivi huwaoni wakikatiza.

Wanasubiri waje kushangilia suluhu.

Ukisema hii timu ina standards za juu kiasi kwamba hata kutoa suluhu ni dhambi wanakasirika.

Wazenge
 
Game ya kwanza ya Liam ilikua dhidi ya Arsenal kwenye Carabao akapanga kikosi cha kutaka kubishana akapasuka.

Mashabiki wakawa hawahesabu hii mechi wakidai alikua hajasettle vizuri so wao wanahesabu Liam hajapoteza kechi tangu afike.

Jana Liam akaamua apaki basi ili aendelee kusemwa hajapoteza kechi tangu afike.

Amepasuka. In less than three weeks Liam kafa mara mbili
 
Ile save ya kepa kabla ya kupiga mpira ulio enda kuzalisha goli ni 🔥 .

Hincapie ana jua kinyama, what a superb performance.

kepa is amazing.
FB_IMG_17701973253288476.jpg
 
Naiangalia Sunderland hapa itoshe kusema tusipobadilika hawa watatusumbua
Tusipo badilika na magoli yetu ya kihuni huni, open play iwe ndio plan A
Set pieces just incase plan A imekua ngumu

Nilikuambia mzee
 
Kinachowakumba Newcastle ni ambacho kingewakuta Chelsea mapema asubuhi kama wangejifanya wanataka kurudisha magoli.

Wakaamua kuchelewesha adhabu
 
Back
Top Bottom