When the team gets positive results, everyone is amazing. 😅😅Ile save ya kepa kabla ya kupiga mpira ulio enda kuzalisha goli ni 🔥 .
Hincapie ana jua kinyama, what a superb performance.
kepa is amazing.
View attachment 3538987
It's not about the positive results but the energy behind it.When the team gets positive results, everyone is amazing. 😅😅
Na yule Ndugu Emie, kama hakuondoka vizuri vile.Villa katoa matokeo mazuri kwa arsenal, huwa namuhofia Unai, ni kama ana grudges na Arsenal na anataka kuonyesha kitu.
Yeah, Martinez nae ni kama anacho moyoni!!Na yule Ndugu Emie, kama hakuondoka vizuri vile.
Tusipo badilika na magoli yetu ya kihuni huni, open play iwe ndio plan ANaiangalia Sunderland hapa itoshe kusema tusipobadilika hawa watatusumbua
Kenge fc mwenyeweYale mauzauza ya kukosa vikombe yanaanza leo rasmi, tukutane saa saba [emoji41]
Ngoja tukushangaze sasa.Siku moja kabla ya game nilisema kabisa nina uhakika man utd hatafungwa na false hopers na nikasema tena kitakachotokea kwa arsenal players ni kutetemeka ovyo ndicho kilichotokea vile vile , arsenal anongoza mmoja lakini unaona players kupiga pasi hawawezi wanatetemeka na bado wanaongoza what if man utd ndo angekuwa anaongoza si ndo goli 8 zingejirudia 😆.
Nasema tena huwezi kushinda ligi kwa kumzonga kipa kwenye mipira ya kona ili ufunge.
NARUDIA TENA ARSENAL HABEBI KOMBE LOLOTE MSIMU HUU!
kwa hii man city ama nyingine??Kitu ambacho tuna uhakika nacho ni assanal hachukui Hiki kikombe 😂