BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
KaribuYale mauzauza ya kukosa vikombe yanaanza leo rasmi, tukutane saa saba![]()
KaribuYale mauzauza ya kukosa vikombe yanaanza leo rasmi, tukutane saa saba![]()
Huyo Liam hakuna kitu pale sidhani kama atakuwa na muda mrefu pale darajaniChelsea inaongozwa.
Wamekaa wiki nzima wakisema wanakuja kuchukua ushindi.
Siku ya mechi kocha anaanzisha mabeki watano, DMs wawili.
Idea? Arsenal asiscore. Okay sawa.
So tuwafrustrate Arsenal, akili ichoke dakika ya 65 tubadilike.
Kwamba usipate goli in 65 minutes ila upate kwenye hizi dakika 25 za mwisho dhidi ya defense strong kabisa duniani kwa sasa?
Huyu kocha wa Chelsea ana akili?
Nilikua online muda mechi inaendelea nikawa naona mashabiki wa Chelsea wanasifu jinsi gani wanadefend. Nikawa najiuliza hawa wanajua kua wanahitaji kuscore?
Sasa mnaelewa wanaoamua mechi iwe ya moto au isiwe ni nani? Na haina haja ya kulaumu blueprint ni long balls, counter na transition huku unabana kende. Ukija una hamu ya ushindi unapata yaliyompata Bayern, Madrid na wenzake.
Liam atafukuzwa
When the team gets positive results, everyone is amazing. 😅😅Ile save ya kepa kabla ya kupiga mpira ulio enda kuzalisha goli ni 🔥 .
Hincapie ana jua kinyama, what a superb performance.
kepa is amazing.
View attachment 3538987
It's not about the positive results but the energy behind it.When the team gets positive results, everyone is amazing. 😅😅
Na yule Ndugu Emie, kama hakuondoka vizuri vile.Villa katoa matokeo mazuri kwa arsenal, huwa namuhofia Unai, ni kama ana grudges na Arsenal na anataka kuonyesha kitu.
Yeah, Martinez nae ni kama anacho moyoni!!Na yule Ndugu Emie, kama hakuondoka vizuri vile.
Tusipo badilika na magoli yetu ya kihuni huni, open play iwe ndio plan ANaiangalia Sunderland hapa itoshe kusema tusipobadilika hawa watatusumbua
Kenge fc mwenyeweYale mauzauza ya kukosa vikombe yanaanza leo rasmi, tukutane saa saba![]()