Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

History often repeats itself.
FB_IMG_17704644273187035.jpg
 
Usiseme hivyo mzee, Man Utd nayo mlisema hivyohivyo,Arsenal akafa pale pale nyumbani kwake, na Chelsea hamjamalizana nae kwenye Epl 2nd Leg mtacheza nae Tena Machi 1 Emirates.
United alishinda ila leo tukimaliza kucheza na Sunderland na kesho tukaambiwa tunacheza na United bado hata wewe utaamini Arsenal atashinda
 
Wana wanapiga 5 4 1 wamesusuwa possession imebidi wawe wanachambuka sasa shida ni kwamba Saliba anatembelea chaki na ile yellow.

Wings bado hazijaanza shooting
 
Back
Top Bottom