Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 43,981
- 95,420
History often repeats itself.
United alishinda ila leo tukimaliza kucheza na Sunderland na kesho tukaambiwa tunacheza na United bado hata wewe utaamini Arsenal atashindaUsiseme hivyo mzee, Man Utd nayo mlisema hivyohivyo,Arsenal akafa pale pale nyumbani kwake, na Chelsea hamjamalizana nae kwenye Epl 2nd Leg mtacheza nae Tena Machi 1 Emirates.
Mtapiga sana hesabu safari hii, ishi nayo hiiNasema hivii Arsenal kimahesabu mna % kubwa sana kutoka mikono mitupu.
Ishini nayo hiyo
Haters mnaihofia Arsenal kuliko hata mnavyopenda timu zenu.Nasema hivii Arsenal kimahesabu mna % kubwa sana kutoka mikono mitupu.
Ishini nayo hiyo
Yanaitwa matamanio. Ungeweza kusema "Natamani Arsenal watoke mikono mitupu...".Nasema hivii Arsenal kimahesabu mna % kubwa sana kutoka mikono mitupu.
Ishini nayo hiyo