Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Our first XI, big cala is back.
FB_IMG_17704734439010595.jpg
 
Leo tunaingia na 4 2 3 1 na Sunderland kaona hataki utani anatupiga na 5 4 1 no prisoners held.

Anyways, Arteta kamuanzisha Jesus ili ahold mipira but we all know the reason Gyokeres anahofiwa. Let's see
 
Wana wanapiga 5 4 1 wamesusuwa possession imebidi wawe wanachambuka sasa shida ni kwamba Saliba anatembelea chaki na ile yellow.

Wings bado hazijaanza shooting
 
Hakuna mchezaji wa maana atakaa Newcastle kwa sasa chini ya vision ya mtu kama Howe. Wengi wanaenda pale kutafuta platform ya kuonekana.

Muone Isak, ona Gordon. Notice kwamba agent waTonali alimleta kwetu tumsajili dirisha hili la January.

Wengine wanafuata pesa. Wissa na Bruno na Woltemade.

Hakuna mchezaji wa maana ataiangalia Newcastle halafu atasema mimi nitamaliza maisha yangu hapa
Huyu Tonali tupite nae kiangazi.
 
Back
Top Bottom