Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,341
- 5,121
Ngoja tukushangaze sasa.Siku moja kabla ya game nilisema kabisa nina uhakika man utd hatafungwa na false hopers na nikasema tena kitakachotokea kwa arsenal players ni kutetemeka ovyo ndicho kilichotokea vile vile , arsenal anongoza mmoja lakini unaona players kupiga pasi hawawezi wanatetemeka na bado wanaongoza what if man utd ndo angekuwa anaongoza si ndo goli 8 zingejirudia 😆.
Nasema tena huwezi kushinda ligi kwa kumzonga kipa kwenye mipira ya kona ili ufunge.
NARUDIA TENA ARSENAL HABEBI KOMBE LOLOTE MSIMU HUU!