Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siku moja kabla ya game nilisema kabisa nina uhakika man utd hatafungwa na false hopers na nikasema tena kitakachotokea kwa arsenal players ni kutetemeka ovyo ndicho kilichotokea vile vile , arsenal anongoza mmoja lakini unaona players kupiga pasi hawawezi wanatetemeka na bado wanaongoza what if man utd ndo angekuwa anaongoza si ndo goli 8 zingejirudia 😆.

Nasema tena huwezi kushinda ligi kwa kumzonga kipa kwenye mipira ya kona ili ufunge.
NARUDIA TENA ARSENAL HABEBI KOMBE LOLOTE MSIMU HUU!
Ngoja tukushangaze sasa.
 
Yule jamaa wa Nyukesto huwezi kumuona humu baada ya kitimu chake kutimuliwa.
Anasubiri tufungwe kisha aje na paragraph zake zizizo na mashiko.

Kenge kabisa.
 
🤣🤣🤣 Waazee wa nafasi ya pili, hata kwenye Karagabaho cup wataishia kwenye nafasi ya pili.
Hii timu ni Laana Fc.
Nyumbu naona mmeanza kunenepa kwa kushinda vimechi vitatu tu.
Tunachukua muda sio mrefu mtarudi kwenye default settings za kupokea vipigo.

Ni suala la muda tu
 
Nyumbu naona mmeanza kunenepa kwa kushinda vimechi vitatu tu.
Tunachukua muda sio mrefu mtarudi kwenye default settings za kupokea vipigo.

Ni suala la muda tu
🤣🤣🤣 Premier league bottling of all time, na Karagabaho mnaenda kuchukua nafasi yenu ya pili.
Nyie ni Wasindikizaji Fc.
 

Attachments

  • images-24.jpg
    images-24.jpg
    50.6 KB · Views: 5
Nyumbu naona mmeanza kunenepa kwa kushinda vimechi vitatu tu.
Tunachukua muda sio mrefu mtarudi kwenye default settings za kupokea vipigo.

Ni suala la muda tu
Anha tulia msimu huu tumefungwa mech 5 tu
Na wawili kati ya hao watano tumerudisha kichapo, bado hawa watatu tu
 
Ukute hata Labyrinth 84 alikuwa hajui kama walikuwa na mechi na wakala kipondo
Waarabu walipochukua team akakimbilia huko akadhani watakuwa wanashinda mataji kila msimu kumbe napo patupu Tu😂

Juzi nilimuona akilalamika eti sheria za financial play ndo zimewabana kwenye kusajali wachezaji wa maana
 
Liam Rosemary anadai staff wa Arsenal waliingilia upande wa timu yake ikiwa inafanya mazoezi. Lakini video inaonyesha staff wa Arsenal akienda upande huo kuufuata mpira na hakukua na mchezaji wala staff wa Chelsea.

Upande mwingine Pep na wenzake wakaandika barua kuomba usajili mpya uliokuja baada ya first leg uruhusiwe kucheza fainali. Ingawa kanuni zinasema hairuhusiwi.

Leo jumamosi zinachezwa mechi saba mtu ana options za kuangalia mechi zaidi ya moja ila atasema mechi ya Arsenal inaboa. Na timu ndiyo zinakuja kama Chelsea.

Pundit mmoja akasema anaamini Newcastle anatakiwa kutafuta ushindi na aende akiwa hot. Ndani ya dakika 30 tie ikawa imeisha, dakika ya 32 wakaanza kulia.

Dakika ya 45 mi nikalala.

John Terry anapost video anasema haina haja ya kushangilia sana kombe lenyewe ni Carabao tu. Kama ulikua mdogo utakua hujawahi kumuona akiwa anashangilia Carabao mpaka Mourinho akagalagala chini, au kama huna mb utakua hukuona akiwa anafanya live streaming ya dk za mwisho akihisi Chelsea inapata goli kumbe ni goli la Arsenal.

And that fool had no shame and called that goal offside.
 
Waarabu walipochukua team akakimbilia huko akadhani watakuwa wanashinda mataji kila msimu kumbe napo patupu Tu😂

Juzi nilimuona akilalamika eti sheria za financial play ndo zimewabana kwenye kusajali wachezaji wa maana
Hakuna mchezaji wa maana atakaa Newcastle kwa sasa chini ya vision ya mtu kama Howe. Wengi wanaenda pale kutafuta platform ya kuonekana.

Muone Isak, ona Gordon. Notice kwamba agent waTonali alimleta kwetu tumsajili dirisha hili la January.

Wengine wanafuata pesa. Wissa na Bruno na Woltemade.

Hakuna mchezaji wa maana ataiangalia Newcastle halafu atasema mimi nitamaliza maisha yangu hapa
 
Sasa hawa Chelsea, inabidi tukatae kucheza nao, hawana ushindani. Michezo kumi hamjashinda hata moja!!!!!
Usiseme hivyo mzee, Man Utd nayo mlisema hivyohivyo,Arsenal akafa pale pale nyumbani kwake, na Chelsea hamjamalizana nae kwenye Epl 2nd Leg mtacheza nae Tena Machi 1 Emirates.
 
Rodri speaking at the PFA Awards last year: “It’s all about your mentality, you have to play every game to win, not draw.”

William Saliba and Gabriel: “👀👀”
Our boys took it personal.

Cha mdomo, hana tofauti na opponents wetu waimba taarab
FB_IMG_17704122674298553.jpg
 
Back
Top Bottom