Ngoja tukushangaze sasa.Siku moja kabla ya game nilisema kabisa nina uhakika man utd hatafungwa na false hopers na nikasema tena kitakachotokea kwa arsenal players ni kutetemeka ovyo ndicho kilichotokea vile vile , arsenal anongoza mmoja lakini unaona players kupiga pasi hawawezi wanatetemeka na bado wanaongoza what if man utd ndo angekuwa anaongoza si ndo goli 8 zingejirudia 😆.
Nasema tena huwezi kushinda ligi kwa kumzonga kipa kwenye mipira ya kona ili ufunge.
NARUDIA TENA ARSENAL HABEBI KOMBE LOLOTE MSIMU HUU!
kwa hii man city ama nyingine??Kitu ambacho tuna uhakika nacho ni assanal hachukui Hiki kikombe 😂
Nyumbu naona mmeanza kunenepa kwa kushinda vimechi vitatu tu.🤣🤣🤣 Waazee wa nafasi ya pili, hata kwenye Karagabaho cup wataishia kwenye nafasi ya pili.
Hii timu ni Laana Fc.
Utajua tuukwa hii man city ama nyingine??
🤣🤣🤣 Premier league bottling of all time, na Karagabaho mnaenda kuchukua nafasi yenu ya pili.Nyumbu naona mmeanza kunenepa kwa kushinda vimechi vitatu tu.
Tunachukua muda sio mrefu mtarudi kwenye default settings za kupokea vipigo.
Ni suala la muda tu
Anha tulia msimu huu tumefungwa mech 5 tuNyumbu naona mmeanza kunenepa kwa kushinda vimechi vitatu tu.
Tunachukua muda sio mrefu mtarudi kwenye default settings za kupokea vipigo.
Ni suala la muda tu
Sie kupigwa labda tupigwe picha😂Nyumbu naona mmeanza kunenepa kwa kushinda vimechi vitatu tu.
Tunachukua muda sio mrefu mtarudi kwenye default settings za kupokea vipigo.
Ni suala la muda tu
Tottenham will humble you guysSie kupigwa labda tupigwe picha😂
Ukute hata Labyrinth 84 alikuwa hajui kama walikuwa na mechi na wakala kipondoWho cares kwamba Newcastle ametolewa jana?
Waarabu walipochukua team akakimbilia huko akadhani watakuwa wanashinda mataji kila msimu kumbe napo patupu Tu😂Ukute hata Labyrinth 84 alikuwa hajui kama walikuwa na mechi na wakala kipondo
Hakuna mchezaji wa maana atakaa Newcastle kwa sasa chini ya vision ya mtu kama Howe. Wengi wanaenda pale kutafuta platform ya kuonekana.Waarabu walipochukua team akakimbilia huko akadhani watakuwa wanashinda mataji kila msimu kumbe napo patupu Tu😂
Juzi nilimuona akilalamika eti sheria za financial play ndo zimewabana kwenye kusajali wachezaji wa maana
Usiseme hivyo mzee, Man Utd nayo mlisema hivyohivyo,Arsenal akafa pale pale nyumbani kwake, na Chelsea hamjamalizana nae kwenye Epl 2nd Leg mtacheza nae Tena Machi 1 Emirates.Sasa hawa Chelsea, inabidi tukatae kucheza nao, hawana ushindani. Michezo kumi hamjashinda hata moja!!!!!