Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Muda huuu (13:00), Fabby na Ornstein, wametulia tuuu wakicheki adrenaline rush kwa mashabiki wa Arsenal [emoji3][emoji16]
David Ornstein, saa 20:00: Sandro Tonali offered to Arsenal by agent so #AFC explored but no contact with Newcastle United; nothing will happen this window. 25yo’s camp put idea to Andrea Berta so looked into as per any player of interest. #NUFC exit now impossible
 
Wewe endelea kubwabwaja wakati Saka anaelekea kubeba taji
Labda hilo taji la maua.
image.jpg
 
Chelsea wananikumbusha ukiwa unacheza drafti halafu mtu anakufunga moja bila kwenye michezo 3 au 2 kwa 1 unakua unahisi kwamba ni ulikosea padogo tu ndiyo sababu unafungwa.

So unajipa moyo kwamba safari hii nafia arena.

Tatizo ni kwamba haufungwi kwa bahati mbaya unafungwa kwakua watu wana patterns, plan na executions. Kwakua unakua umezibwa na ego unakua hauoni gaps zako, unakua unaona potential ya gaps za mpinzani.

Hilo kosa walifanya Madrid, wakalifanya Bayern na sisi tumelifanya kwa second leg ya Manchester United.

Shabiki mmoja wa Arsenal anasema kama tungeshinda 3 - 1 Chelsea wasingekua na hii imani. Shabiki mwingine akamuambia tatizo la mashabiki wachache wa Arsenal ni kutokua na imani. Chelsea anahitaji ashinde, Arsenal anahitaji kushinda?

Na hata kama ni kweli unaamini Arsenal ataenda kutafuta suluhu?

Nafikiri namna tumefika pale ndiyo changamoto, late goal dhidi ya Palace kisha late equalizer na Kepa akatubeba kwenye matuta. So mashabiki na wapinzani wote hawaamini.

Observe
 
Chelsea wananikumbusha ukiwa unacheza drafti halafu mtu anakufunga moja bila kwenye michezo 3 au 2 kwa 1 unakua unahisi kwamba ni ulikosea padogo tu ndiyo sababu unafungwa.

So unajipa moyo kwamba safari hii nafia arena.

Tatizo ni kwamba haufungwi kwa bahati mbaya unafungwa kwakua watu wana patterns, plan na executions. Kwakua unakua umezibwa na ego unakua hauoni gaps zako, unakua unaona potential ya gaps za mpinzani.

Hilo kosa walifanya Madrid, wakalifanya Bayern na sisi tumelifanya kwa second leg ya Manchester United.

Shabiki mmoja wa Arsenal anasema kama tungeshinda 3 - 1 Chelsea wasingekua na hii imani. Shabiki mwingine akamuambia tatizo la mashabiki wachache wa Arsenal ni kutokua na imani. Chelsea anahitaji ashinde, Arsenal anahitaji kushinda?

Na hata kama ni kweli unaamini Arsenal ataenda kutafuta suluhu?

Nafikiri namna tumefika pale ndiyo changamoto, late goal dhidi ya Palace kisha late equalizer na Kepa akatubeba kwenye matuta. So mashabiki na wapinzani wote hawaamini.

Observe
Hii mechi Chelsea anakufa 3-1
 
Garnacho anasema ni kweli Emirates pagumu ila kama Man United kaenda kachukua points zake kwanini wao washindwe?
 
Bukayo Saka atakosa mechi zifuatazo kutokana na jeraha

Chelsea
Sunderland
Brentford
Wigan
 
Chelsea walicheza na sisi wakawa wanacheza mpira direct ambao hautaki stori ni kuflick mpira aupate mwenzake na kupambana waendw mbele.

Nikanotice pia wakawa hawataki kushindana possession, wanakuachia mpira kisha wanasubiri uteleze.

Formation ya leo ni baba la wapenda huo mchezo. Mid imekaliwa na watu 5 forward ina watu 2 rely on long balls, counter na transition.

Na kwakua ni fair kucheza na Arsenal kwa kupaki basi naona hii ni set up fair kwao.

Let's see jinsi gani Arsenal itajaribu kudismantle beliefs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom