Chelsea wananikumbusha ukiwa unacheza drafti halafu mtu anakufunga moja bila kwenye michezo 3 au 2 kwa 1 unakua unahisi kwamba ni ulikosea padogo tu ndiyo sababu unafungwa.
So unajipa moyo kwamba safari hii nafia arena.
Tatizo ni kwamba haufungwi kwa bahati mbaya unafungwa kwakua watu wana patterns, plan na executions. Kwakua unakua umezibwa na ego unakua hauoni gaps zako, unakua unaona potential ya gaps za mpinzani.
Hilo kosa walifanya Madrid, wakalifanya Bayern na sisi tumelifanya kwa second leg ya Manchester United.
Shabiki mmoja wa Arsenal anasema kama tungeshinda 3 - 1 Chelsea wasingekua na hii imani. Shabiki mwingine akamuambia tatizo la mashabiki wachache wa Arsenal ni kutokua na imani. Chelsea anahitaji ashinde, Arsenal anahitaji kushinda?
Na hata kama ni kweli unaamini Arsenal ataenda kutafuta suluhu?
Nafikiri namna tumefika pale ndiyo changamoto, late goal dhidi ya Palace kisha late equalizer na Kepa akatubeba kwenye matuta. So mashabiki na wapinzani wote hawaamini.
Observe