Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bukayo Saka atakosa mechi zifuatazo kutokana na jeraha

Chelsea
Sunderland
Brentford
Wigan
 
Kikosi Chetu usiku wa Leo. Safi ordegard hata benchi hayupo
FB_IMG_17701448083734496.jpg
 
Chelsea walicheza na sisi wakawa wanacheza mpira direct ambao hautaki stori ni kuflick mpira aupate mwenzake na kupambana waendw mbele.

Nikanotice pia wakawa hawataki kushindana possession, wanakuachia mpira kisha wanasubiri uteleze.

Formation ya leo ni baba la wapenda huo mchezo. Mid imekaliwa na watu 5 forward ina watu 2 rely on long balls, counter na transition.

Na kwakua ni fair kucheza na Arsenal kwa kupaki basi naona hii ni set up fair kwao.

Let's see jinsi gani Arsenal itajaribu kudismantle beliefs
 
Back
Top Bottom