Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kikosi Chetu usiku wa Leo. Safi ordegard hata benchi hayupo
FB_IMG_17701448083734496.jpg
 
Chelsea walicheza na sisi wakawa wanacheza mpira direct ambao hautaki stori ni kuflick mpira aupate mwenzake na kupambana waendw mbele.

Nikanotice pia wakawa hawataki kushindana possession, wanakuachia mpira kisha wanasubiri uteleze.

Formation ya leo ni baba la wapenda huo mchezo. Mid imekaliwa na watu 5 forward ina watu 2 rely on long balls, counter na transition.

Na kwakua ni fair kucheza na Arsenal kwa kupaki basi naona hii ni set up fair kwao.

Let's see jinsi gani Arsenal itajaribu kudismantle beliefs
 
Chelsea inaongozwa.

Wamekaa wiki nzima wakisema wanakuja kuchukua ushindi.

Siku ya mechi kocha anaanzisha mabeki watano, DMs wawili.

Idea? Arsenal asiscore. Okay sawa.

So tuwafrustrate Arsenal, akili ichoke dakika ya 65 tubadilike.

Kwamba usipate goli in 65 minutes ila upate kwenye hizi dakika 25 za mwisho dhidi ya defense strong kabisa duniani kwa sasa?

Huyu kocha wa Chelsea ana akili?

Nilikua online muda mechi inaendelea nikawa naona mashabiki wa Chelsea wanasifu jinsi gani wanadefend. Nikawa najiuliza hawa wanajua kua wanahitaji kuscore?

Sasa mnaelewa wanaoamua mechi iwe ya moto au isiwe ni nani? Na haina haja ya kulaumu blueprint ni long balls, counter na transition huku unabana kende. Ukija una hamu ya ushindi unapata yaliyompata Bayern, Madrid na wenzake.

Liam atafukuzwa
 
Back
Top Bottom