leo lazima gyokeres, madueke wawa pige machineYale mauzauza ya kukosa vikombe yanaanza leo rasmi, tukutane saa saba 😎
Ushaanza uoga, ng'ombe wa mayai wewe.Kila mtu atambe pande zake, arsenal tambeni kumfunga Chelsea, Na Chelsea tunatamba mafanikio baada ya kufungwa na Arsenal 😂
Sasa mkiambiwa mlete mafanikio yenu baada ya kuifunga Chelsea mtaleta nn? 😂Ushaanza uoga, ng'ombe wa mayai wewe.
VumiliaNimetukana mara nyingi sana kwenye hii mechi kwasababu ya Martinelli na Eze
Halafu kocha kamtoa gyokeres kudadadeki, nili tegemea ange mpuuzisha martineli ili havertz au trossard aingie mmoja wao.Nimetukana mara nyingi sana kwenye hii mechi kwasababu ya Martinelli na Eze
Usijali endelea kuwa hai, utaona mawenge Sana.Sasa mkiambiwa mlete mafanikio yenu baada ya kuifunga Chelsea mtaleta nn? 😂
KaribuYale mauzauza ya kukosa vikombe yanaanza leo rasmi, tukutane saa saba [emoji41]
Huyo Liam hakuna kitu pale sidhani kama atakuwa na muda mrefu pale darajaniChelsea inaongozwa.
Wamekaa wiki nzima wakisema wanakuja kuchukua ushindi.
Siku ya mechi kocha anaanzisha mabeki watano, DMs wawili.
Idea? Arsenal asiscore. Okay sawa.
So tuwafrustrate Arsenal, akili ichoke dakika ya 65 tubadilike.
Kwamba usipate goli in 65 minutes ila upate kwenye hizi dakika 25 za mwisho dhidi ya defense strong kabisa duniani kwa sasa?
Huyu kocha wa Chelsea ana akili?
Nilikua online muda mechi inaendelea nikawa naona mashabiki wa Chelsea wanasifu jinsi gani wanadefend. Nikawa najiuliza hawa wanajua kua wanahitaji kuscore?
Sasa mnaelewa wanaoamua mechi iwe ya moto au isiwe ni nani? Na haina haja ya kulaumu blueprint ni long balls, counter na transition huku unabana kende. Ukija una hamu ya ushindi unapata yaliyompata Bayern, Madrid na wenzake.
Liam atafukuzwa