Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 45,996
- 100,885
Kikosi Chetu usiku wa Leo. Safi ordegard hata benchi hayupo
leo lazima gyokeres, madueke wawa pige machineYale mauzauza ya kukosa vikombe yanaanza leo rasmi, tukutane saa saba 😎
Ushaanza uoga, ng'ombe wa mayai wewe.Kila mtu atambe pande zake, arsenal tambeni kumfunga Chelsea, Na Chelsea tunatamba mafanikio baada ya kufungwa na Arsenal 😂
Sasa mkiambiwa mlete mafanikio yenu baada ya kuifunga Chelsea mtaleta nn? 😂Ushaanza uoga, ng'ombe wa mayai wewe.
VumiliaNimetukana mara nyingi sana kwenye hii mechi kwasababu ya Martinelli na Eze
Halafu kocha kamtoa gyokeres kudadadeki, nili tegemea ange mpuuzisha martineli ili havertz au trossard aingie mmoja wao.Nimetukana mara nyingi sana kwenye hii mechi kwasababu ya Martinelli na Eze
Usijali endelea kuwa hai, utaona mawenge Sana.Sasa mkiambiwa mlete mafanikio yenu baada ya kuifunga Chelsea mtaleta nn? 😂
KaribuYale mauzauza ya kukosa vikombe yanaanza leo rasmi, tukutane saa saba![]()