Hata wiki tatu hazijaisha vizuri tangu watu waanze kupoint kwamba Doku ni unstoppable, Foden hashikiki.
Leo tupo wapi? Bernado Silva? Savinho? Katik kila timu unaweza kupata orodha ya wachezaji ambao kwao kuscore imekua changamoto.
Isipokua inategemea muda huo agenda imeegamia kwa nani.
Niliku naangalia mashabiki wanalalamika kwanini Nwaneri ameenda Marseille kwa mkopo. Wanasahau Saliba pia alitolewa kwa mkopo misimu miwili mfululizo. By that time hoja ilikua kama Fofana (huyu aliyepo Chelsea) walicheza wote na wote wameletwa Uingereza na Leicester inamtumia Fofana kwanini sisi hadi tumtoe Saliba kwa mkopo? Na Saliba alikua kapteni wa Fofana.
Majibu tunayo mpaka saa hii.
Now ni sahihi kuhofia kwakua siyo kila mkopo utarudi na matunda yanayotarajiwa. Vieira, Mari, Marquinhos, Tavares, Denis hawa hawakudevelop zaidi. Lakini Nwaneri ana shida ya kutrack back same problem kwa Eze, sasa Nwaneri ni academy so kumtoa kwa mkopo ni rahisi.
How about Eze? Utamtoa kwa mkopo akajifunze kutrack back? No, atakomaa hapo hapo msimu wote kisha umuone msimu ujao. City walifanya hivyo kwa Grealish, if all turns to shit ama ni hivyo au kumuuza.