Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa wachezaji wote ilibidi wale fimbo huko mapumziko, hadi dakika hii ya 45 tunatoka vipi na nyumbu 1-1

Alafu huyu zubimend ilitakiwa asirudi iliajue makosa ya kingese huwa hatu-entertain
 
Hawa wachezaji wote ilibidi wale fimbo huko mapumziko, hadi dakika hii ya 45 tunatoka vipi na nyumbu 1-1

Alafu huyu zubimend ilitakiwa asirudi iliajue makosa ya kingese huwa hatu-entertain
Mwingine ni Saliba, maamuzi yake sio uhakika
 
Nyumbu hawana cha kupoteza kwasababu wao walishapotea kitambo tu
Nyumbu atatembea na upepo wa Mungu hamtupi mja wake.

Tuimalize game mapema au watuotee tuanze kutukanana wenyewe kwa wenyewe
 
Mwingine ni Saliba, maamuzi yake sio uhakika
Kabisa, ile aloacha mpira bila kujua nyuma yupo nani.

Hawa amapro kuna muda huwaelewi kabisa.

Mambo ya beki kusifiwa huwa yanagharama.

Beki kuhakikisha mpira haukai golini kwako.

Hii mifumo ya pasi eneo la goli huwa hatari sana. Build up zianzie kati huko.
 
Back pass mara nyingi huwa zina maboko. Bora upoteza mpira mbele, ama uamue kuutoa ru kama huoni wa kumpasia.
Arsenal inamakosa mengi sana kuanzia eneo la katikati kuja nyuma.Wanatoa maboko sana sema timu nyingi huwa hazitumii makosa yao.Game na Inter tulifanya makosa mengi tu ni Vile Inter hawakuweza kuyatumia. Back pass hizi zimeshatugharimu sana. Saliba si back mwenye utulivu akitiwa presha tu kufanya makosa ni rahisi sana.Acha tuone!
 
Back
Top Bottom