ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Sure...next seasonA bad day in office.Heads up onto next.
We will surely bounce back
Sure...next seasonA bad day in office.Heads up onto next.
We will surely bounce back
Mnaweza mkapigwa na leo kutokana na matokeo ya nyuma😃Arteta leo kamuweka Kai kama AM.
Hii mechi inahitaji suluhu tu ili kubaki wa kwanza.
Haina haja hata ya kuiongelea
Na bado hayatakua matokeo mabaya. Hata kipa wa leo ni KepaMnaweza mkapigwa na leo kutokana na matokeo ya nyuma😃
Mnaweza mkapigwa na leo kutokana na matokeo ya nyuma😃
Mna eze kai kalud pigen bench injuries zilishammaliza huyoFormation ya 4 1 2 3 imemfavour jana Gyokeres.
1 = DM
2 = AM
Ambapo Kai na Eze walikua AM halafu Norgaard alikua DM.
Nafikiri ni formation ambayo imempelekea mipira Gyokeres mara nyingi kuliko formation yoyote tangu nianze kuangalia mechi.
Odegaard as usual. Alivyoingia akaanza same routine ya sideway passes na back passes na kusita sehemu za kushoot. Jamaa alipata majeraha mara tatu msimu huu inakua ngumu kumjudge ila hahitaji kucheza 90 minutes kwa maoni yangu.
Sasa yaweza kua ishu si formation ila watu walio nyuma ya Gyokeres inawezekana kabisa hata formation ya 4 4 1 1 ikawa favourable kwakua inampa wigo Kai kua kama SS na Gyokeres ST so defense ya mpinzani inakua torn.
Ngoja tuone dhidi ya Leeds nini kitakua.
3:2😃Doh its bad goli la kwanza in a minute
Kai hakai na mpira tofauti na Martin.Formation ya 4 1 2 3 imemfavour jana Gyokeres.
1 = DM
2 = AM
Ambapo Kai na Eze walikua AM halafu Norgaard alikua DM.
Nafikiri ni formation ambayo imempelekea mipira Gyokeres mara nyingi kuliko formation yoyote tangu nianze kuangalia mechi.
Odegaard as usual. Alivyoingia akaanza same routine ya sideway passes na back passes na kusita sehemu za kushoot. Jamaa alipata majeraha mara tatu msimu huu inakua ngumu kumjudge ila hahitaji kucheza 90 minutes kwa maoni yangu.
Sasa yaweza kua ishu si formation ila watu walio nyuma ya Gyokeres inawezekana kabisa hata formation ya 4 4 1 1 ikawa favourable kwakua inampa wigo Kai kua kama SS na Gyokeres ST so defense ya mpinzani inakua torn.
Ngoja tuone dhidi ya Leeds nini kitakua.
Unafurahia ?3:2😃
Amna just close callUnadurahia ?
Manchester United mlishaaga mashindano yote kilichobaki ni kuheshimu tu calendar ya premier League🤣🤣🤣 Uefa management wanasifa sana.
Ndugu zetu ndio tayari tena wameshaaga mashindano.
🤣🤣🤣 Usiempenda kaja, kwa heri Uefa kwa heri Epl, Arsenyau Best timu of season anamaliza msimu mikono mitupu😂😂😂Manchester United mlishaaga mashindano yote kilichobaki ni kuheshimu tu calendar ya premier League