Arsenal akipata kocha wa PSG ubingwa EPL ataupata au hata akirudishwa Unai.ππππ kumbe akishalewa ndo huwa anakuja kutuambia mambo ya standard za shot on targets huwa ananifurahisha mpaka nawaza hivi hawa arsenal fans huwa wanaishi dunia ipi?
Kuna mmoja huyo ile game ya kwanza na PSG ilivyoisha kesho yake ananiambia ameota wamempiga PSG goli 2 halafu anaongea kwa uhakika sana
πππ
πππππArsenal haina tatizo kabisa , tatizo lipo kwa mashabiki wa arsenal kuwa chukulia arsenal serious.
πππ
Misimu huu mnabeba ndoo trust me broWanaotuita "false hope" wasipuuzwe
Hakuna sehemu tu π pin haya maelezo false hopes wasome kwa kurudiarudia huenda wataelewa.Ushindi wa leo ni pure false hope. Hivi game ya leo na Nottingham ipi ni game ushindi wake ulikua wa muhimu zaidi? Ukipata jibu sahihi utajua kwanini tunawaita false hopers. Tukutane May.
Nashukuru sana naona atleast akili zinaanza kukukaa sawa japo najua tu ushindi wa carabao utakurudisha zaidi ndani ya false hopes kama kawaida ila japo kwa akili hii ya masaa machache kukurudia nalo nilakushukuru.Wanaotuita "false hope" wasipuuzwe
Vipi hapo ? Maelezo mengi yamejaa false hopes haya man utd kaja hapo emirates ambapo hamjapoteza game na kachukua points 3Ambacho watu hawajui au wanajua ila wanajitia uchizi ni kwamba timu inahitaji consistency. Kama leo umeshinda utaweza kufanya hivyo mara tano baadaye?
Katika points 15, Arsenal kadrop points 4, City kadrop points 9 na Villa kadrop 5. Villa mechi yake ya leo ndiyo ya points 15 so hizo points 5 ni kabla ya hii mechi.
Ila utasikia Arsenal hawezi kubeba kombe. Yaani anadrop points balaa. Ila hajui wanaomkaribia wamezidrop hizo points zaidi ya Arsenal.
City wameliona hilo wamejizatiti wamenunua beki na forward. Villa ni timu ambayo priority ni kubaki ligi kuu, ndiyo sababu watu hawaihesabu so haina mpango wa kujizatiti.
Watu wanakuambia Arsenal atadrop point kwa United. United ambayo haijapata ushindi tangu lini? Ikiwa inaenda kwa Arsenal ambayo hajapoteza game nyumbani, ila mtu yupo kijiweni anatema nyongo nonstop.
Nimependa confidence ya Dorgu yeye anasema wanakuja Emirates kuchukua points 3. I hope tutawakabidhi kama anavyofikiria, even better wana mechi moja tu wiki nzima so wana chance ya kupiga zoezi haswa.
Wakupe heshima Yako mkuu...umechagua kuwa mkweli kuliko uongo wa artetaTupo hapa man utd hamtamfunga naona kesho zinabaki points4 lawama zitakuwa nyingi humu ndani.
Mlikua na chance ya points 12 lakini kama kawaida yenu false hopers.
Man utd kwenye game kama hizi ndo huwa anaonyesha ukubwa ni ukubwa tu ww utaona kesho arsenal players watakavyokua wanatetemeka wakati utd wakija kama nyuki.
Nina uhakika kesho man utd hamtamfunga .
Mshaanza kuvimba Au Sio, ngoja mcheze na Burnley mlambwe πNyumbu tupo mwendo mdundo tunajitafunia tu mizoga , jipangeni kwa mstari ni nginja nginja tu mwendo wa ngiri mkia juu
πππππView attachment 3534482
Kuna paka pori huko juu zimekatwa ngebeπ
πππππ
Huyo jamaa huwa anacheza? Ameingilia vipi matokeo ya leo ya Man u kwa mfano?! Vipi matokeo ya kwanza Arsenal aliposhinda dhidi ya Manchester ndani ya OT, vipi huyo Kroenke aliathiri vipi hayo matokeo?Tusaidie mkuuNimeanza kuishabikia Arsenal Mwaka 1996,Huwa naamini sidhani kama kuna mwanadamu hapa Tanzania anayeijua na kuhifahamu vizuri timu ya Arsenal kushinda mimi UMUGHAKA
Itoshe kusema Arsenal hawezi kuwa Bingwa hadi siku ambayo itaachana na Tapeli Kroenke na kampuni yake!,Tofauti na Hapo mashabiki hoya hoya endeleeni kujifariji !
Kumbukeni Mara ya mwisho Arsenal anakuwa bingwa bila kupoteza mechi msimu mzima 2003 - 2004 Haikuwa inamilikiwa na Kroenke!,Baada ya Kroenke tu kuichukua hii timu,Hapa ndipo alipotufikisha!
Siku Kroenke atakapoiachia hii timu basi Arsenal atakuwa Bingwa wa Epl mara nyingi kuliko Liverpool na Man Utd!
Nyie watoto wa Juzi msiyoielewa Arsenal Najua lawama mnampa Arteta na Wachezaji but tambueni Tatizo haliko kwa Arteta na Wachezaji bali tatizo ni Stan Kroenke kupitia kampuni yake Tanzu ya KSE!
Siku mtakapolitambua hili wala hamtampa kocha na wachezaji lawama !
Tukutane Msimu Ujao!
Daaah π , nafasi mnayo lkn ndogoA bad day in office.Heads up onto next.
We will surely bounce back