Tupo second leg kwenye EFL dhidi ya Chelsea hatua ya nusu fainali, first leg Chelsea alikufa 3 kwa 2.
Second leg itachezwa Fly Emirates tarehe 3 mwezi wa 2 saa 5 usiku.
Tupo FA dhidi ya Wigan na mechi yetu inayofuata ni tarehe 14 mwezi wa 2 saa 11 jioni.
Tupo CL, mechi ya J4 ni kutafuta bragging rights kwakua tayari tulishafuzu hatua inayofuata hata kabla hatujacheza na Bayern.
Sijui kama mnaelewa ni kazi kiasi gani hii timu imefanya.
Upo kote huko halafu kiazi kimoja kipo Kerema kinaongea upuuzi nonstop.
Tupo second leg kwenye EFL dhidi ya Chelsea hatua ya nusu fainali, first leg Chelsea alikufa 3 kwa 2.
Second leg itachezwa Fly Emirates tarehe 3 mwezi wa 2 saa 5 usiku.
Tupo FA dhidi ya Wigan na mechi yetu inayofuata ni tarehe 14 mwezi wa 2 saa 11 jioni.
Tupo CL, mechi ya J4 ni kutafuta bragging rights kwakua tayari tulishafuzu hatua inayofuata hata kabla hatujacheza na Bayern.
Sijui kama mnaelewa ni kazi kiasi gani hii timu imefanya.
Upo kote huko halafu kiazi kimoja kipo Kerema kinaongea upuuzi nonstop.
YAP! LAKINI END PRODUCT IWE MAKOMBE