Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1000657689.jpg
 
Baada ya game ya leo ya Villa na Everton sasa Villa kadrop points 8, City 9 na Arsenal 4.

Kiazi kimoja kilipiga hesabu ya Villa kuifunga Everton ili akae mkiani kwa Arsenal.

Nikisema hawajui mpira wanakasirika
 
Zimebaki mechi 16.

Mfano Villa na City wakachafukwa kila mmoja akashinda games zote zilizobaki Villa na City watapata points 91.

Arsenal akishind mechi 14 atakua na points 92 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote. Start the countdown
 
Mechi ya Kesho na Inter haina muhimu Sana kwetu.Arteta achezeshe kikosi cha pili apumzishe wachezaji muhimu maana jumapili tunahitaji point 3 kwa lazima.

Mechi na Inter tukipoteza hakuna tatizo
 
Hivi arsenal nyinyi nan kawaloga mazee mbona mnafurahisha sana sio timu mpaka mashabiki wanafurahisha, yaani shot on target unaona ni standard 😂😂 vipi na team zilizobeba UCL, EPL, world cup.

Chelsea hakushangilia draw ila alifurahi kuona jinsi timu ilivyopambana watu wapo pungufu lakini wanawapelekea moto.
Kama shot on target unaona ni standard basii mnasafari ndefu sana za kuitwa mabingwa labda 2075 huko.

Tunaiongelea arsenal kwasababu inafurahisha na kuchekesha kitu ambacho ni burudani kwetu, ni kama vile mandoga kwenye ngumi .

Liverpool mwaka jana muda kama huu alikua kawaacha points almost 8 huko na kachukua ubingwa mapema sana, kama unaona points 7 ni nyingi subiri utasimulia vizuri.
Man city utaacha points, man utd utaacha points hapo beki za man city zitakua zisharudiii
labyrinth nilikwambia Haaland asipofunga Man city huwa wanastruggle Sana kupata matokeo bt ukakaza fuvu nadhani mwenyewe umeona kinachowakuta huko.

Kuhusu beki za Man City Josko Guvardiol msimu wake ndo umeisha hivo mpaka next season ndo arudi uwanjani.
Stones sio wa kumtegemea kbsa kwa sababu huyu ni trip moja uwanjani trip nyingine wodini.
Dias atakuwa nje kwa zaidi ya week sita na kabla anarudi nadhani tutakuwa tushacheza na City
 
Hili kombe linatutaka ni ujinga tu wa kocha wetu.

Angetuliza akili au akituliza akili kombe atabeba mapema sana ili awekeze Uefa na makombe mengine.

Mwisho wa msimu ni ngumu sana kupambania makombe yote kama kocha mbinu kisoda.Inahitaji kocha haswaa kuweza kufanya hilo.

Viwango vya wachezaji wa Arsenal eneo la ushambuliaji ni takataka sana hawana muendelezo.

Lingine odegaard sijui kampa nini yule kocha wetu.Kiukweli ni mchezaji wa kawaida hana uhatari huo.

Kama Arsenal tungekuwa na yule njino au sura ya kizezeta Bruno Fernandez lile eneo la Odegaard basi tungewapima vizuri sana kina Gyokeres kama wanajua kupasia au vipi.

Ukiangalia city Halaand anapata nafasi nyingi sana jambo ambalo hauwezi kuliona kwa Gyokeres.Nshaona zaidi ya mara moja jamaa akikaa kwenye eneo zuri lakupiga pasi hawampi.

Sasa sijui ndio maelekezo ya mwalimu hata sijui.

Ule upande wa Trosard na Martinel ndio upande unaotukwamisha zaidi katika kikosi bila kusahau yule captain asiestahili.

Rice ndio mtu anaestahili kuwa captain kikosini na ni aibu Rice kuongozwa uwanjani na kiande aina ya Odegaard.

Kama atabadilika basi na mimi tabadili maoni yangu ila Ode ni miongoni mwa wachezaji waliotukosesha furaha hii misimu iliyopita.
 
Hili kombe linatutaka ni ujinga tu wa kocha wetu.

Angetuliza akili au akituliza akili kombe atabeba mapema sana ili awekeze Uefa na makombe mengine.

Mwisho wa msimu ni ngumu sana kupambania makombe yote kama kocha mbinu kisoda.Inahitaji kocha haswaa kuweza kufanya hilo.

Viwango vya wachezaji wa Arsenal eneo la ushambuliaji ni takataka sana hawana muendelezo.

Lingine odegaard sijui kampa nini yule kocha wetu.Kiukweli ni mchezaji wa kawaida hana uhatari huo.

Kama Arsenal tungekuwa na yule njino au sura ya kizezeta Bruno Fernandez lile eneo la Odegaard basi tungewapima vizuri sana kina Gyokeres kama wanajua kupasia au vipi.

Ukiangalia city Halaand anapata nafasi nyingi sana jambo ambalo hauwezi kuliona kwa Gyokeres.Nshaona zaidi ya mara moja jamaa akikaa kwenye eneo zuri lakupiga pasi hawampi.

Sasa sijui ndio maelekezo ya mwalimu hata sijui.

Ule upande wa Trosard na Martinel ndio upande unaotukwamisha zaidi katika kikosi bila kusahau yule captain asiestahili.

Rice ndio mtu anaestahili kuwa captain kikosini na ni aibu Rice kuongozwa uwanjani na kiande aina ya Odegaard.

Kama atabadilika basi na mimi tabadili maoni yangu ila Ode ni miongoni mwa wachezaji waliotukosesha furaha hii misimu iliyopita.
Style ya uchezaji wa Arsenal ndio inamkwamisha Gyokeres.
Gyokeres akienda Manchester United atashine Sana kwa sababu ya Ile mipasi hatari ya Bruno.Jamaa sio mbaya vile watu wanafikiria
 
Unazungumza kuhusu kombe 😆😆 nadhani tukihesabu kwa miaka 21 hii makombe ya arsenal na arsenal fans walioujiua sababu ya false hopes unahisi idadi itakua vipi?
Narudia Tena....tukishanyanyua kwapa May....binafsi ntakutumia barua ya mualiko uje ule ubwabwa ikibidi nyumbani kwangu tufurahie ubingwa.....maana nahisi mara ya mwisho tunabeba hii EPL itakuwa ulikuwa hujazaliwa bwana mdgo🤠🤠
 
Narudia Tena....tukishanyanyua kwapa May....binafsi ntakutumia barua ya mualiko uje ule ubwabwa ikibidi nyumbani kwangu tufurahie ubingwa.....maana nahisi mara ya mwisho tunabeba hii EPL itakuwa ulikuwa hujazaliwa bwana mdgo🤠🤠
Kwapa gani mnanyanyua nyie maandazi. Kimahesabu mna nafasi kubwa sana ya kutoka mikono mitupu. Lower your expectations usije ukapata magonjwa. Ni ushauri tu.
 
Tupo second leg kwenye EFL dhidi ya Chelsea hatua ya nusu fainali, first leg Chelsea alikufa 3 kwa 2.

Second leg itachezwa Fly Emirates tarehe 3 mwezi wa 2 saa 5 usiku.

Tupo FA dhidi ya Wigan na mechi yetu inayofuata ni tarehe 14 mwezi wa 2 saa 11 jioni.

Tupo CL, mechi ya J4 ni kutafuta bragging rights kwakua tayari tulishafuzu hatua inayofuata hata kabla hatujacheza na Bayern.
Sijui kama mnaelewa ni kazi kiasi gani hii timu imefanya.

Upo kote huko halafu kiazi kimoja kipo Kerema kinaongea upuuzi nonstop.
Tupo second leg kwenye EFL dhidi ya Chelsea hatua ya nusu fainali, first leg Chelsea alikufa 3 kwa 2.

Second leg itachezwa Fly Emirates tarehe 3 mwezi wa 2 saa 5 usiku.

Tupo FA dhidi ya Wigan na mechi yetu inayofuata ni tarehe 14 mwezi wa 2 saa 11 jioni.

Tupo CL, mechi ya J4 ni kutafuta bragging rights kwakua tayari tulishafuzu hatua inayofuata hata kabla hatujacheza na Bayern.
Sijui kama mnaelewa ni kazi kiasi gani hii timu imefanya.

Upo kote huko halafu kiazi kimoja kipo Kerema kinaongea upuuzi nonstop.
YAP! LAKINI END PRODUCT IWE MAKOMBE
 
Zimebaki mechi 16.

Mfano Villa na City wakachafukwa kila mmoja akashinda games zote zilizobaki Villa na City watapata points 91.

Arsenal akishind mechi 14 atakua na points 92 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote. Start the countdown
Kuna mpwa kasema huko juu Arsenal kama timu na mashabiki mna comedy sana, hakika nimeamini.
Kila la kheri mabingwa 25/26 😁😁
 
Kuna kipindi tulifululiza kucheza na kuzuia timu zisipate shot on target mpaka ikawa ni standard. Ilivyofika hatua wapinzani wanapata shot on target ikawa ni hoja ya kujadili.

Kwanini Arsenal ameruhusu shot on target?

Siyo kufungwa. No, ni shot on target.

Chelsea kushangilia suluhu ya moja moja na mashabiki wa Arsenal tukakubali kwamba wameshinda ile mechi.

Chelsea kushangilia kufungwa 3 ila Estevao kadribble na Garnacho kapata magoli mawili.

Ni hizo standards tulizozifikia ndiyo zinasababisha hata tukiconcede mashabiki roho zituume.

Kwa wanaowania kombe matokeo ni Arsenal kasuluhu ana points 50, City kafungwa ana points 43, Liverpool kasuluhu ana points 36.

Lakini ona watu wote wanaiongelea mechi gani? Kuna mmoja kasema tunaiongelea hii mechi kwakua tuna uhakika nyinyi hamchukui kitu.
Mwingine akasema wanaiongelea kwakua hii ndiyo inapata attention online.

Hawa wanasahau ni standards ndiyo zimetufikisha hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom