Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Victor Gyokeres pia sio type ya mchezaji nayempenda, Sesko? this is material, tuliwahi kuwaongelea kipindi cha usajili ila watu wakasema tunahitaji mtu wa kutikisa nyavu tu, haya sasa magoli hamna na general play hamna, Sesko ni mazingira tu lkn nachoamini ndani ya timu yetu huyu mtu angekuwa hatari sana
 
Screenshot_20260118_155059_Chrome.jpg
Screenshot_20260118_155059_Chrome.jpg


Ukiyakuta yanavyotutambia kwamba wapo nafasi ya kwanza UCL Sasa😀😀😀😀

Next season, wakati huo wametoka Kapa na UCL, watakuja kututambia kwamba waliongoza group state 😀😀😀😀😀

Tunaendelea kuwakumbusha Hawa mayatima

Msimu wa 25/26

FALSE HOPE FOOTBALL CLUB

1. Carabao cup: FALSE HOPE🔞
2:EPL loading: FALSE HOPE🔞
3: UEFA loading: FALSE HOPE🔞
4: FA Cup : FALSE HOPE🔞
 
Ambacho watu hawajui au wanajua ila wanajitia uchizi ni kwamba timu inahitaji consistency. Kama leo umeshinda utaweza kufanya hivyo mara tano baadaye?

Katika points 15, Arsenal kadrop points 4, City kadrop points 9 na Villa kadrop 5. Villa mechi yake ya leo ndiyo ya points 15 so hizo points 5 ni kabla ya hii mechi.

Ila utasikia Arsenal hawezi kubeba kombe. Yaani anadrop points balaa. Ila hajui wanaomkaribia wamezidrop hizo points zaidi ya Arsenal.

City wameliona hilo wamejizatiti wamenunua beki na forward. Villa ni timu ambayo priority ni kubaki ligi kuu, ndiyo sababu watu hawaihesabu so haina mpango wa kujizatiti.

Watu wanakuambia Arsenal atadrop point kwa United. United ambayo haijapata ushindi tangu lini? Ikiwa inaenda kwa Arsenal ambayo hajapoteza game nyumbani, ila mtu yupo kijiweni anatema nyongo nonstop.

Nimependa confidence ya Dorgu yeye anasema wanakuja Emirates kuchukua points 3. I hope tutawakabidhi kama anavyofikiria, even better wana mechi moja tu wiki nzima so wana chance ya kupiga zoezi haswa.
 
Kuna siku tulikua tunaambiana kwamba Arsenal akiachana na Arteta ni fair kwakua anahitaji makombe ila itachukua muda Arsenal kumpata kocha sahihi kuliko Arteta kupata timu nyingine.

Wakati huu Arsenal ipo kwenye mazungumzo na Arteta Madrid imemshortlist Arteta miongoni mwa candidates inawafikiria kuwapa mikoba.
 
Baada ya game ya leo ya Villa na Everton sasa Villa kadrop points 8, City 9 na Arsenal 4.

Kiazi kimoja kilipiga hesabu ya Villa kuifunga Everton ili akae mkiani kwa Arsenal.

Nikisema hawajui mpira wanakasirika
 
Zimebaki mechi 16.

Mfano Villa na City wakachafukwa kila mmoja akashinda games zote zilizobaki Villa na City watapata points 91.

Arsenal akishind mechi 14 atakua na points 92 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote. Start the countdown
 
Mechi ya Kesho na Inter haina muhimu Sana kwetu.Arteta achezeshe kikosi cha pili apumzishe wachezaji muhimu maana jumapili tunahitaji point 3 kwa lazima.

Mechi na Inter tukipoteza hakuna tatizo
 
Hivi arsenal nyinyi nan kawaloga mazee mbona mnafurahisha sana sio timu mpaka mashabiki wanafurahisha, yaani shot on target unaona ni standard 😂😂 vipi na team zilizobeba UCL, EPL, world cup.

Chelsea hakushangilia draw ila alifurahi kuona jinsi timu ilivyopambana watu wapo pungufu lakini wanawapelekea moto.
Kama shot on target unaona ni standard basii mnasafari ndefu sana za kuitwa mabingwa labda 2075 huko.

Tunaiongelea arsenal kwasababu inafurahisha na kuchekesha kitu ambacho ni burudani kwetu, ni kama vile mandoga kwenye ngumi .

Liverpool mwaka jana muda kama huu alikua kawaacha points almost 8 huko na kachukua ubingwa mapema sana, kama unaona points 7 ni nyingi subiri utasimulia vizuri.
Man city utaacha points, man utd utaacha points hapo beki za man city zitakua zisharudiii
labyrinth nilikwambia Haaland asipofunga Man city huwa wanastruggle Sana kupata matokeo bt ukakaza fuvu nadhani mwenyewe umeona kinachowakuta huko.

Kuhusu beki za Man City Josko Guvardiol msimu wake ndo umeisha hivo mpaka next season ndo arudi uwanjani.
Stones sio wa kumtegemea kbsa kwa sababu huyu ni trip moja uwanjani trip nyingine wodini.
Dias atakuwa nje kwa zaidi ya week sita na kabla anarudi nadhani tutakuwa tushacheza na City
 
Hili kombe linatutaka ni ujinga tu wa kocha wetu.

Angetuliza akili au akituliza akili kombe atabeba mapema sana ili awekeze Uefa na makombe mengine.

Mwisho wa msimu ni ngumu sana kupambania makombe yote kama kocha mbinu kisoda.Inahitaji kocha haswaa kuweza kufanya hilo.

Viwango vya wachezaji wa Arsenal eneo la ushambuliaji ni takataka sana hawana muendelezo.

Lingine odegaard sijui kampa nini yule kocha wetu.Kiukweli ni mchezaji wa kawaida hana uhatari huo.

Kama Arsenal tungekuwa na yule njino au sura ya kizezeta Bruno Fernandez lile eneo la Odegaard basi tungewapima vizuri sana kina Gyokeres kama wanajua kupasia au vipi.

Ukiangalia city Halaand anapata nafasi nyingi sana jambo ambalo hauwezi kuliona kwa Gyokeres.Nshaona zaidi ya mara moja jamaa akikaa kwenye eneo zuri lakupiga pasi hawampi.

Sasa sijui ndio maelekezo ya mwalimu hata sijui.

Ule upande wa Trosard na Martinel ndio upande unaotukwamisha zaidi katika kikosi bila kusahau yule captain asiestahili.

Rice ndio mtu anaestahili kuwa captain kikosini na ni aibu Rice kuongozwa uwanjani na kiande aina ya Odegaard.

Kama atabadilika basi na mimi tabadili maoni yangu ila Ode ni miongoni mwa wachezaji waliotukosesha furaha hii misimu iliyopita.
 
Hili kombe linatutaka ni ujinga tu wa kocha wetu.

Angetuliza akili au akituliza akili kombe atabeba mapema sana ili awekeze Uefa na makombe mengine.

Mwisho wa msimu ni ngumu sana kupambania makombe yote kama kocha mbinu kisoda.Inahitaji kocha haswaa kuweza kufanya hilo.

Viwango vya wachezaji wa Arsenal eneo la ushambuliaji ni takataka sana hawana muendelezo.

Lingine odegaard sijui kampa nini yule kocha wetu.Kiukweli ni mchezaji wa kawaida hana uhatari huo.

Kama Arsenal tungekuwa na yule njino au sura ya kizezeta Bruno Fernandez lile eneo la Odegaard basi tungewapima vizuri sana kina Gyokeres kama wanajua kupasia au vipi.

Ukiangalia city Halaand anapata nafasi nyingi sana jambo ambalo hauwezi kuliona kwa Gyokeres.Nshaona zaidi ya mara moja jamaa akikaa kwenye eneo zuri lakupiga pasi hawampi.

Sasa sijui ndio maelekezo ya mwalimu hata sijui.

Ule upande wa Trosard na Martinel ndio upande unaotukwamisha zaidi katika kikosi bila kusahau yule captain asiestahili.

Rice ndio mtu anaestahili kuwa captain kikosini na ni aibu Rice kuongozwa uwanjani na kiande aina ya Odegaard.

Kama atabadilika basi na mimi tabadili maoni yangu ila Ode ni miongoni mwa wachezaji waliotukosesha furaha hii misimu iliyopita.
Style ya uchezaji wa Arsenal ndio inamkwamisha Gyokeres.
Gyokeres akienda Manchester United atashine Sana kwa sababu ya Ile mipasi hatari ya Bruno.Jamaa sio mbaya vile watu wanafikiria
 
Unazungumza kuhusu kombe 😆😆 nadhani tukihesabu kwa miaka 21 hii makombe ya arsenal na arsenal fans walioujiua sababu ya false hopes unahisi idadi itakua vipi?
Narudia Tena....tukishanyanyua kwapa May....binafsi ntakutumia barua ya mualiko uje ule ubwabwa ikibidi nyumbani kwangu tufurahie ubingwa.....maana nahisi mara ya mwisho tunabeba hii EPL itakuwa ulikuwa hujazaliwa bwana mdgo🤠🤠
 
Narudia Tena....tukishanyanyua kwapa May....binafsi ntakutumia barua ya mualiko uje ule ubwabwa ikibidi nyumbani kwangu tufurahie ubingwa.....maana nahisi mara ya mwisho tunabeba hii EPL itakuwa ulikuwa hujazaliwa bwana mdgo🤠🤠
Kwapa gani mnanyanyua nyie maandazi. Kimahesabu mna nafasi kubwa sana ya kutoka mikono mitupu. Lower your expectations usije ukapata magonjwa. Ni ushauri tu.
 
Tupo second leg kwenye EFL dhidi ya Chelsea hatua ya nusu fainali, first leg Chelsea alikufa 3 kwa 2.

Second leg itachezwa Fly Emirates tarehe 3 mwezi wa 2 saa 5 usiku.

Tupo FA dhidi ya Wigan na mechi yetu inayofuata ni tarehe 14 mwezi wa 2 saa 11 jioni.

Tupo CL, mechi ya J4 ni kutafuta bragging rights kwakua tayari tulishafuzu hatua inayofuata hata kabla hatujacheza na Bayern.
Sijui kama mnaelewa ni kazi kiasi gani hii timu imefanya.

Upo kote huko halafu kiazi kimoja kipo Kerema kinaongea upuuzi nonstop.
Tupo second leg kwenye EFL dhidi ya Chelsea hatua ya nusu fainali, first leg Chelsea alikufa 3 kwa 2.

Second leg itachezwa Fly Emirates tarehe 3 mwezi wa 2 saa 5 usiku.

Tupo FA dhidi ya Wigan na mechi yetu inayofuata ni tarehe 14 mwezi wa 2 saa 11 jioni.

Tupo CL, mechi ya J4 ni kutafuta bragging rights kwakua tayari tulishafuzu hatua inayofuata hata kabla hatujacheza na Bayern.
Sijui kama mnaelewa ni kazi kiasi gani hii timu imefanya.

Upo kote huko halafu kiazi kimoja kipo Kerema kinaongea upuuzi nonstop.
YAP! LAKINI END PRODUCT IWE MAKOMBE
 
Zimebaki mechi 16.

Mfano Villa na City wakachafukwa kila mmoja akashinda games zote zilizobaki Villa na City watapata points 91.

Arsenal akishind mechi 14 atakua na points 92 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote. Start the countdown
Kuna mpwa kasema huko juu Arsenal kama timu na mashabiki mna comedy sana, hakika nimeamini.
Kila la kheri mabingwa 25/26 😁😁
 
Back
Top Bottom