Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo tunaweka gape la points 9 clear

Man city tutambomoa pale pale etihad

#ArsenalNDOO
Usishangae Arsenal mnafungwa, Man city alidroo na Chelsea advantage ikawa kwenu mkadroo na Liverpool hii inayotoa droo mpk na timu ya kushuka daraja
 
Usishangae Arsenal mnafungwa, Man city alidroo na Chelsea advantage ikawa kwenu mkadroo na Liverpool hii inayotoa droo mpk na timu ya kushuka daraja
Kwani Liverpool unamchukuliaje? Hiyo ni big match mzee. Wote wakubwa

Sasa N. Forest hii utaiita big game? Game hii nani anaingia kama underdog?

#ArsenalNDOO
 
Huko Nottinghamshire kuna mbungi moja la hatari sana.
Hadi dakika hii N. Forest 0 vs 0 ArsenalNDOO

Points 3 zipo pale pale, iwe jua iwe mvua
 
Hii game mhhh hawa Notigham namna wanavyocheza wasingekuwa katika hati hati ya kusha daraja.

Wameikamia sana game.
 
Arteta alaumiwe kwa hii game,
Yani unatafuta ubingwa alafu unaanzisha kikosi cha akina madueke
 
Msimu huu wote Arsenal ilikua haijascore kwenye mechi mbili, zote zilikua dhidi ya Liverpool.

Leo inaongezeka mechi ya tatu. Safari hii ni dhidi ya Nottingham Forest.
 
Arteta alaumiwe kwa hii game,
Yani unatafuta ubingwa alafu unaanzisha kikosi cha akina madueke
Jamaa huwa anaujinga sana. Ona sasa anavyoigharimu timu.

Huyu asipobeba kombe msimu huu aende zake tu.

Ajinfunze kucheza game za nguvu dhidi ya hizi mid table timu zinazocheza kufa na kupona.
 
Msimu huu wote Arsenal ilikua haijascore kwenye mechi mbili, zote zilikua dhidi ya Liverpool.

Leo inaongezeka mechi ya tatu. Safari hii ni dhidi ya Nottingham Forest.
Mechi na liver

Na hii mechi.

ZInaweza kuja kutupatia majuto huko mbele.
 
Mechi ya leo,Arteta kazingua tangu kipindi Cha kwanza Odegard hakuwa kwenye form,Madueka na Martinel kazi wametukosesha ushindi kipindi Cha kwanza
 
Arteta kukaa juu pale kumemlevya kabisa.
unatafuta points 3 muhimu away unaweka benchi Saka,Trossand,Eze?
Unaanza na Madueke,Martinel Ben White?
kocha pumbavu sana, ameniudhi sana.
 
Jamaa huwa anaujinga sana. Ona sasa anavyoigharimu timu.

Huyu asipobeba kombe msimu huu aende zake tu.

Ajinfunze kucheza game za nguvu dhidi ya hizi mid table timu zinazocheza kufa na kupona.
Arteta hizi game zakuongeza points hajui kuzicheza. Yaan huwa anadondosha points ilimradi anaemfata amfikie. Sasa kikosi gani kile
 
Back
Top Bottom