Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

TImu imeshinda mechi 7 mfululizo unasema ni false hopes?! Dude?!
Tatizo sio kushinda match 7 tatizo linakuja arsenal ni false hope team :
Ushindi wa jana vs inter ndo false hope yenyewe , jana match haikua na umuhimu wowote maana mlishafuzu 16bora.
Match za muhimu ilikua Nottingham na liverpool na bado mkaonyesha uhalisia wenu mkashindwa kushinda.

Ushindi wa jana kina castr , mkorea na arsenal fans wengine meno yote nje kwa kulishwa false hope , meno mlitakiwa mtoe nje kwenye game vs Liverpool emirates au Nottingham pale city ground.
 
Tatizo sio kushinda match 7 tatizo linakuja arsenal ni false hope team :
Ushindi wa jana vs inter ndo false hope yenyewe , jana match haikua na umuhimu wowote maana mlishafuzu 16bora.
Match za muhimu ilikua Nottingham na liverpool na bado mkaonyesha uhalisia wenu mkashindwa kushinda.

Ushindi wa jana kina castr , mkorea na arsenal fans wengine meno yote nje kwa kulishwa false hope , meno mlitakiwa mtoe nje kwenye game vs Liverpool emirates au Nottingham pale city ground.
Timu karibia zote zimeadapt mbinu ya " low block" zinapocheza na Arsenal, ndo maana inakuwa vigumu Sana Arsenal kuzifunga.

Liverpool na Nottingham hawakupata short on target hata moja Jambo ambao sio la kawaida.

Nachojaribu kusema hapa ni kwamba timu yoyote ikitaka kupata angalau Sare kwa Arsenal lazima Iswitch kwenye mfumo WA low block.Na ndo maana unaona Arsenal inapata ushindi kirahisi inapocheza na timu za nje
 
Timu karibia zote zimeadapt mbinu ya " low block" zinapocheza na Arsenal, ndo maana inakuwa vigumu Sana Arsenal kuzifunga.

Liverpool na Nottingham hawakupata short on target hata moja Jambo ambao sio la kawaida.

Nachojaribu kusema hapa ni kwamba timu yoyote ikitaka kupata angalau Sare kwa Arsenal lazima Iswitch kwenye mfumo WA low block.Na ndo maana unaona Arsenal inapata ushindi kirahisi inapocheza na timu za nje
Notts forest au Liverpool Hawawezi kucheza deep kumzidi Inter, the issue ni kwamba we dont have someone to unlock those packed defenses, Man city wanaye cherki, what do we have? Odegaard? ndio maana tunahitaji combination ya ballers upfront (Saka-Eze-Trossard) kinyume na hapo ujue hiyo selection ni usenge and it's a boring game.
 
Narudia Tena....tukishanyanyua kwapa May....binafsi ntakutumia barua ya mualiko uje ule ubwabwa ikibidi nyumbani kwangu tufurahie ubingwa.....maana nahisi mara ya mwisho tunabeba hii EPL itakuwa ulikuwa hujazaliwa bwana mdgo🤠🤠
Unanikosea sana mkuu yaani 2004 mm niwe sijazaliwa!
2003-2009 mm nilikua niko kwenye peak ya ushabiki wa arsenal, yaani kina lauren maya , pascal cygan, cole, gilberto kina edu hata uniamshe usiku wa manane nakutajia namba zao mgongoni sio tu arsenal mpaka kina portsmouth na wigan kule Blackburn unakutana na perdesen , kina bolton sijui spurs mpaka wachezaji wa charlton nilikua nakutajia
 
Narudia Tena....tukishanyanyua kwapa May....binafsi ntakutumia barua ya mualiko uje ule ubwabwa ikibidi nyumbani kwangu tufurahie ubingwa.....maana nahisi mara ya mwisho tunabeba hii EPL itakuwa ulikuwa hujazaliwa bwana mdgo🤠🤠
Siku ya kwanza nashabikia arsenal hio match nakumbuka ilifungwa , mm nilikua arsenal lialia kabisa nishawahi kulia kisa arsenal vs middlesbrough sikumbuki mwaka gani , kina cygan wanajifunga magoli ya vichwa nipo, nakumbuka ilipigwa game mmoja usiku man utd walikuwa wamevaa jezi vodafone nyeusi ile game tulikufa 4:2 mtaani mashabiki wa arsenal walihama mpaka team ile mm nikakomaa nayo.

Arsenal naijua nje ndani mkuu nishawahi kukataa full jezi ya barcelona nikaamua kununua tu tishrt ya arsenal kuliko kupewa full jersey.
 
Siku ya kwanza nashabikia arsenal hio match nakumbuka ilifungwa , mm nilikua arsenal lialia kabisa nishawahi kulia kisa arsenal vs middlesbrough sikumbuki mwaka gani , kina cygan wanajifunga magoli ya vichwa nipo, nakumbuka ilipigwa game mmoja usiku man utd walikuwa wamevaa jezi vodafone nyeusi ile game tulikufa 4:2 mtaani mashabiki wa arsenal walihama mpaka team ile mm nikakomaa nayo.

Arsenal naijua nje ndani mkuu nishawahi kukataa full jezi ya barcelona nikaamua kununua tu tishrt ya arsenal kuliko kupewa full jersey.
Naona unajirudisha kundini kijanja. We SEMA tu Arsenal akichukua ubingwa, narudi kuwa shabiki wa arsenal
 
Nilikua X jana nikakuta shabiki wa Barcelona anasema itapendeza kama Arsenal itakutana na Barcelona kwenye hatua ya nusu fainali au mtoano.

Mashabiki wenzake wakaanza kumjibu "This Arsenal team should be avoided at any cost" mwingine akamjibu "Hatuna defense nzuri na Arsenal ina defense nzuri, wanashambulia vizuri na wazuri kwenye set pieces ambazo Inter alitusumbua nazo. Kwa kifupi Arsenal hii ni Inter ya mwaka jana inayotumia steroids"

Mwingine akajibu "At best tuingie na suicide mode kama ile ya Inter, piga nikupige tutakapoishia ndiyo hapo hapo"

Mwingine akasema "Hatuna defense ya kuizuia Arsenal wakati defense yao ni best in the world kwa sasa"

Generally ilikua ni mashabiki wa Barcelona kupoint kwamba hawana defense nzuri wanategemea mno attack ishinde nyingi.

Matokeo ya jana ya Slavia vs Barcelona na rekodi yao ya kuconcede inaonyesha jinsi gani mashabiki wa Barcelona walikua wakweli katika kuichambua timu yao.

Nikiwa X pia nikakuta kuna shabiki wa Liverpool amesema Arsenal akichukua kombe atakua the worst champion in history. Kisha mwenzake akamtumia screenshot akiwa anatoa remarks kipindi kile Liverpool inaongoza ligi, alisema kwamba "Huu ni msimu wetu, tukipoteza ni sisi wenyewe kwa sababu City ipo hovyo msimu huu anayeweza kututisha kidogo labda Arsenal"

Chid Benz kwenye ngoma yake kali kabisa inaitwa "Ngoma itambae" maarufu kama "Dar es Salaam Stand Up" alikua ana kionjo kinasema "Wanakubali kiaina"
 
Kwa kawaida timu kubwa kabla ya msimu hua zinaproject trophies kwa vipaumbele, vipaumbele hutegemea zaidi ni kitu gani timu imemiss.

Mfano kwa timu kama Arsenal priority ni CL na kupambania ligi.

Timu ya kariba ya Brentford priority ni kubaki ligi kuu. United priority kwa sasa ni kumaliza ndani ya top four.

Newcastle miaka michache nyuma priority ilikua ni kubaki ligi kuu, baada ya uwekezaji priority ni kumaliza ndani ya top four.

So kuna timu mbili, moja kipaumbele ni ligi na CL nyingine ni kumaliza ndani ya top four. Shabiki anagewa chance ya kuchagua timu ya kushabikia anaamua kushabikia Newcastle.

Kwa trend hii Newcastle itashindwa hata kumaliza ndani ya top four kwakua ni timu haiwezi hata kushinda mechi tatu mfululizo.

Kimalengo na perceptions hizi ni timu mbili tofauti bado haijafikia muda wa shabiki wa Arsenal kuyazingatia maoni ya shabiki wa Newcastle. Hii timu inaweza fungwa mechi mbili mfululizo na hakuna anayejali, hata shabiki wake hatojali. Atakuja kujali Arsenal kutoa suluhu.

Games tano za ligi zilizopita kwa timu tatu zenye chance ya kupambania ubingwa yaani Arsenal, City na Villa kila mmoja alidrop point. City kadrop points 9, Villa kadrop points 8, Arsenal kadrop points 4.

Kisha kocha wa Villa akaenda kutema mbovu kwa mabosi wake.

Shabiki wa timu inayowaza kumaliza ndani ya top four unahisi ana akili ya kuangalia hivi? Obsession ni Arsenal. Na ni kila mtu inapofikia Arsenal inatajwa anakua mjinga Enzo, Akanji, Kimmich, Simeone et al. Watatishia kuwafunga mnakutana mnawafunga wanaanza visingizio.

Focus
 
Siku ya kwanza nashabikia arsenal hio match nakumbuka ilifungwa , mm nilikua arsenal lialia kabisa nishawahi kulia kisa arsenal vs middlesbrough sikumbuki mwaka gani , kina cygan wanajifunga magoli ya vichwa nipo, nakumbuka ilipigwa game mmoja usiku man utd walikuwa wamevaa jezi vodafone nyeusi ile game tulikufa 4:2 mtaani mashabiki wa arsenal walihama mpaka team ile mm nikakomaa nayo.

Arsenal naijua nje ndani mkuu nishawahi kukataa full jezi ya barcelona nikaamua kununua tu tishrt ya arsenal kuliko kupewa full jersey.
Bdo inaonekana ww ni dogo sana....hukuikuta Arsenal ya kina Marc Overmars...kina Davor suker baadae kina Nicolas anelka....ww kama umewahi kushabikia maana yake umekuja kipindi Cha Henry ndo kaja kutokea Juventus....bdo ww ni bwana mdgo sana....mechi ya 4-2 ilipigwa Highbury pale O'shea na Ronaldo waliingia kambani
 
Nilikua X jana nikakuta shabiki wa Barcelona anasema itapendeza kama Arsenal itakutana na Barcelona kwenye hatua ya nusu fainali au mtoano.

Mashabiki wenzake wakaanza kumjibu "This Arsenal team should be avoided at any cost" mwingine akamjibu "Hatuna defense nzuri na Arsenal ina defense nzuri, wanashambulia vizuri na wazuri kwenye set pieces ambazo Inter alitusumbua nazo. Kwa kifupi Arsenal hii ni Inter ya mwaka jana inayotumia steroids"

Mwingine akajibu "At best tuingie na suicide mode kama ile ya Inter, piga nikupige tutakapoishia ndiyo hapo hapo"

Mwingine akasema "Hatuna defense ya kuizuia Arsenal wakati defense yao ni best in the world kwa sasa"

Generally ilikua ni mashabiki wa Barcelona kupoint kwamba hawana defense nzuri wanategemea mno attack ishinde nyingi.

Matokeo ya jana ya Slavia vs Barcelona na rekodi yao ya kuconcede inaonyesha jinsi gani mashabiki wa Barcelona walikua wakweli katika kuichambua timu yao.

Nikiwa X pia nikakuta kuna shabiki wa Liverpool amesema Arsenal akichukua kombe atakua the worst champion in history. Kisha mwenzake akamtumia screenshot akiwa anatoa remarks kipindi kile Liverpool inaongoza ligi, alisema kwamba "Huu ni msimu wetu, tukipoteza ni sisi wenyewe kwa sababu City ipo hovyo msimu huu anayeweza kututisha kidogo labda Arsenal"

Chid Benz kwenye ngoma yake kali kabisa inaitwa "Ngoma itambae" maarufu kama "Dar es Salaam Stand Up" alikua ana kionjo kinasema "Wanakubali kiaina"
Aisee 😅
 
Back
Top Bottom