Okay shukran.Andika chini ya maelezo yake, huwa ina tokea to
Okay shukran.Andika chini ya maelezo yake, huwa ina tokea to
Sikujua kama wamebadilisha hivi.Andika chini ya maelezo yake, huwa ina tokea to
Just an error, huwa ina tokea once in a while.Sikujua kama wamebadilisha hivi.
Mbona mfumo mbovu huu mwanzo haikuwa hivi upande wangu na hata sikuwa najua hlo.
Shukrani kwa kunijuza.
Kwangu inatokea kila siku kiongozi.Just an error, huwa ina tokea once in a while.
Kama ni web update chrome, kama ni app I update uone.Kwangu inatokea kila siku kiongozi.
ThanksKama ni web update chrome, kama ni app I update uone.
ThanksKama ni web update chrome, kama ni app I update uone.
Tatizo sio kushinda match 7 tatizo linakuja arsenal ni false hope team :TImu imeshinda mechi 7 mfululizo unasema ni false hopes?! Dude?!
Timu karibia zote zimeadapt mbinu ya " low block" zinapocheza na Arsenal, ndo maana inakuwa vigumu Sana Arsenal kuzifunga.Tatizo sio kushinda match 7 tatizo linakuja arsenal ni false hope team :
Ushindi wa jana vs inter ndo false hope yenyewe , jana match haikua na umuhimu wowote maana mlishafuzu 16bora.
Match za muhimu ilikua Nottingham na liverpool na bado mkaonyesha uhalisia wenu mkashindwa kushinda.
Ushindi wa jana kina castr , mkorea na arsenal fans wengine meno yote nje kwa kulishwa false hope , meno mlitakiwa mtoe nje kwenye game vs Liverpool emirates au Nottingham pale city ground.
Bado unapumua mkuu🤠🤠...na hyu Kocha wenu mpya mtamfukuza tu....ni suala la mudaKwapa gani mnanyanyua nyie maandazi. Kimahesabu mna nafasi kubwa sana ya kutoka mikono mitupu. Lower your expectations usije ukapata magonjwa. Ni ushauri tu.
Notts forest au Liverpool Hawawezi kucheza deep kumzidi Inter, the issue ni kwamba we dont have someone to unlock those packed defenses, Man city wanaye cherki, what do we have? Odegaard? ndio maana tunahitaji combination ya ballers upfront (Saka-Eze-Trossard) kinyume na hapo ujue hiyo selection ni usenge and it's a boring game.Timu karibia zote zimeadapt mbinu ya " low block" zinapocheza na Arsenal, ndo maana inakuwa vigumu Sana Arsenal kuzifunga.
Liverpool na Nottingham hawakupata short on target hata moja Jambo ambao sio la kawaida.
Nachojaribu kusema hapa ni kwamba timu yoyote ikitaka kupata angalau Sare kwa Arsenal lazima Iswitch kwenye mfumo WA low block.Na ndo maana unaona Arsenal inapata ushindi kirahisi inapocheza na timu za nje
Unataka kumbandua mwenzako. Akijichanganya kaishaNarudia Tena....tukishanyanyua kwapa May....binafsi ntakutumia barua ya mualiko uje ule ubwabwa ikibidi nyumbani kwangu tufurahie ubingwa.....maana nahisi mara ya mwisho tunabeba hii EPL itakuwa ulikuwa hujazaliwa bwana mdgo🤠🤠
Unanikosea sana mkuu yaani 2004 mm niwe sijazaliwa!Narudia Tena....tukishanyanyua kwapa May....binafsi ntakutumia barua ya mualiko uje ule ubwabwa ikibidi nyumbani kwangu tufurahie ubingwa.....maana nahisi mara ya mwisho tunabeba hii EPL itakuwa ulikuwa hujazaliwa bwana mdgo🤠🤠
Siku ya kwanza nashabikia arsenal hio match nakumbuka ilifungwa , mm nilikua arsenal lialia kabisa nishawahi kulia kisa arsenal vs middlesbrough sikumbuki mwaka gani , kina cygan wanajifunga magoli ya vichwa nipo, nakumbuka ilipigwa game mmoja usiku man utd walikuwa wamevaa jezi vodafone nyeusi ile game tulikufa 4:2 mtaani mashabiki wa arsenal walihama mpaka team ile mm nikakomaa nayo.Narudia Tena....tukishanyanyua kwapa May....binafsi ntakutumia barua ya mualiko uje ule ubwabwa ikibidi nyumbani kwangu tufurahie ubingwa.....maana nahisi mara ya mwisho tunabeba hii EPL itakuwa ulikuwa hujazaliwa bwana mdgo🤠🤠
Naona unajirudisha kundini kijanja. We SEMA tu Arsenal akichukua ubingwa, narudi kuwa shabiki wa arsenalSiku ya kwanza nashabikia arsenal hio match nakumbuka ilifungwa , mm nilikua arsenal lialia kabisa nishawahi kulia kisa arsenal vs middlesbrough sikumbuki mwaka gani , kina cygan wanajifunga magoli ya vichwa nipo, nakumbuka ilipigwa game mmoja usiku man utd walikuwa wamevaa jezi vodafone nyeusi ile game tulikufa 4:2 mtaani mashabiki wa arsenal walihama mpaka team ile mm nikakomaa nayo.
Arsenal naijua nje ndani mkuu nishawahi kukataa full jezi ya barcelona nikaamua kununua tu tishrt ya arsenal kuliko kupewa full jersey.
Bdo inaonekana ww ni dogo sana....hukuikuta Arsenal ya kina Marc Overmars...kina Davor suker baadae kina Nicolas anelka....ww kama umewahi kushabikia maana yake umekuja kipindi Cha Henry ndo kaja kutokea Juventus....bdo ww ni bwana mdgo sana....mechi ya 4-2 ilipigwa Highbury pale O'shea na Ronaldo waliingia kambaniSiku ya kwanza nashabikia arsenal hio match nakumbuka ilifungwa , mm nilikua arsenal lialia kabisa nishawahi kulia kisa arsenal vs middlesbrough sikumbuki mwaka gani , kina cygan wanajifunga magoli ya vichwa nipo, nakumbuka ilipigwa game mmoja usiku man utd walikuwa wamevaa jezi vodafone nyeusi ile game tulikufa 4:2 mtaani mashabiki wa arsenal walihama mpaka team ile mm nikakomaa nayo.
Arsenal naijua nje ndani mkuu nishawahi kukataa full jezi ya barcelona nikaamua kununua tu tishrt ya arsenal kuliko kupewa full jersey.
Aisee 😅Nilikua X jana nikakuta shabiki wa Barcelona anasema itapendeza kama Arsenal itakutana na Barcelona kwenye hatua ya nusu fainali au mtoano.
Mashabiki wenzake wakaanza kumjibu "This Arsenal team should be avoided at any cost" mwingine akamjibu "Hatuna defense nzuri na Arsenal ina defense nzuri, wanashambulia vizuri na wazuri kwenye set pieces ambazo Inter alitusumbua nazo. Kwa kifupi Arsenal hii ni Inter ya mwaka jana inayotumia steroids"
Mwingine akajibu "At best tuingie na suicide mode kama ile ya Inter, piga nikupige tutakapoishia ndiyo hapo hapo"
Mwingine akasema "Hatuna defense ya kuizuia Arsenal wakati defense yao ni best in the world kwa sasa"
Generally ilikua ni mashabiki wa Barcelona kupoint kwamba hawana defense nzuri wanategemea mno attack ishinde nyingi.
Matokeo ya jana ya Slavia vs Barcelona na rekodi yao ya kuconcede inaonyesha jinsi gani mashabiki wa Barcelona walikua wakweli katika kuichambua timu yao.
Nikiwa X pia nikakuta kuna shabiki wa Liverpool amesema Arsenal akichukua kombe atakua the worst champion in history. Kisha mwenzake akamtumia screenshot akiwa anatoa remarks kipindi kile Liverpool inaongoza ligi, alisema kwamba "Huu ni msimu wetu, tukipoteza ni sisi wenyewe kwa sababu City ipo hovyo msimu huu anayeweza kututisha kidogo labda Arsenal"
Chid Benz kwenye ngoma yake kali kabisa inaitwa "Ngoma itambae" maarufu kama "Dar es Salaam Stand Up" alikua ana kionjo kinasema "Wanakubali kiaina"