Kwenye maisha kuna kitu huitwa bahati nzuri, mimi hu define
when opportunity meets preparation.
Kwa misimu miwili nyuma arsenal tulikuwa tuna anza vizuri na kumaliza vibaya, wapinzani wetu waki anza vibaya na kumaliza vyema.
Injuries na sisi ilikuwa kama upwiru kwa msela, key player's walikuwa wana umia ule muda ambao wana hitajika Sana.
sasa hivi mambo yame change squad yetu ni Pana, huku wapinzani wetu wa top three hasa city kasha poteza beki wake wawili hawa ni nguzo yake muhimu mno.
Since January 2026 top 6 teams zicheze ni arsena pekee kasha shinda game zake, huku wengine waki draw zote au kufungwa.
Leo na kuendelea tuna ihitaji hiyo bahati kwa namna yoyote ile, viva arsenal viva the gunners 🔥.
View attachment 3527138