Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu Liam wanamlisha maneno. Mashabiki tuwe attention tukiwafunga tusitumie quotes ambazo hata kijana wa watu hakuzisema
 
Arsenal line up
FB_IMG_17684211052761014.jpg
 
Arteta kuna muda anazingua sana. Trosard ana kadi hafanyi kitu, abakia hadi sasa kufanya nini.

Timu haina kasi, timber anakimbizwa kimbizwa
 
😂😂😂 false hopers bana umemaliziaje hapo chini.
Vipi kuhusu gyokeres? “ana mikimbio flani hivi na kupress sana hata asipofunga anasaidia team kubalance “ hizi sababu za kila false hoper, nyinyi gyokeres afunge au aendelee ku press na kubalance team.
Narudia tena MSIMU HUU ARSENAL ANATOKA BILA KOMBE LOLOTE
Haya ndio madhara ya kuongea bila kula😂😂
FB_IMG_17684252302870103.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom