Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Namna jinsi Sunderland anavyoenda sahani moja na city, hauwezi kujiliuza kwanini tuliangusha points 2 kwa hawa wajuba

So far Sunderland hajapoteza mchezo akiwa nyumbani
 
Namna jinsi Sunderland anavyoenda sahani moja na city, hauwezi kujiliuza kwanini tuliangusha points 2 kwa hawa wajuba

So far Sunderland hajapoteza mchezo akiwa nyumbani
Viazi vilipigwa na United mbovu.
 
Mgeeni timu yenu sasa.
Hapo mnabana mbupu asipewe mana mtasaga meno. Ombeeni hivyo hivyo apewe yule tapeli wa strasbourg.
Humu nishaonyesha jinsi huyu jamaa anaburuzwa na Arsenal nzima kiasi magoli yetu yanaanzia kwake.

Saka kashatoa assist upande wa Cucurella.

Niliandika kabla ya mechi. Mechi ikafika hili pimbi likajipatia yellow mapema na goli likatokea upande wake
Ushasema Cucurella mwenye Yellow, baasiii case closed.
 
Namna jinsi Sunderland anavyoenda sahani moja na city, hauwezi kujiliuza kwanini tuliangusha points 2 kwa hawa wajuba

So far Sunderland hajapoteza mchezo akiwa nyumbani
Hii game niliiona mapema sana, Sunderland wamepaheshimisha sana uwanja wao wa nyumban.
Arsenal alivyodontosha 2 points nilijua tu na wakubwa wataofuata kazi wanayo

Still city bado ni wamoto
 
Thank you xhaka
FB_IMG_17673065672272761.jpg
 
Hapo mnabana mbupu asipewe mana mtasaga meno. Ombeeni hivyo hivyo apewe yule tapeli wa strasbourg.
Ushasema Cucurella mwenye Yellow, baasiii case closed.
Mzee itakua haujaelewa nilivyosema nimeonyesha magoli. Kwani kwenye yellow si goli moja tu ndiyo lilipatikana?

Hujiulizi kwanini nimesema magoli na siyo goli?

Kila tukicheza na nyinyi magoli yetu yanatokea kwake, tafuta mechi ambayo Cucurella kacheza na Arsenal halafu akapata rating ya 7/10. Akijitahidi 6/10
 
Sunderland ni vyura.

Wananyooshwa na United mbovu wanamkazia City.

Huoni watu wakisema City kashapotea, utaona wanasema mechi bado nyingi.
 
Sunderland ni vyura.

Wananyooshwa na United mbovu wanamkazia City.

Huoni watu wakisema City kashapotea, utaona wanasema mechi bado nyingi.
Sunderland kapigwa na nyumbu akiwa ugenini, tumsubiri nyumbu na yeye aende pale kikaangoni
Binafsi naona nyumbu anaenda kufa

Kuhusu city kupoteana tusubiri hiyo jpil kenge watusaidie kumvuta shati labda ndio wataanza kuongea.
Ila mashabiki wa kenge wao wataka kufungwa sio chini ya chuma 5 wakiamini wanamkomoa Arsenal
 
Back
Top Bottom