Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 43,981
- 95,421
mkorea, makaveli10 nadhani mme elewa sasa hesabu zangu, nime pita mle mle.Kwenye 9 points sisi 2 wins draw vs Liverpool, yeye kazi anayo kudadadeki 🔥
mkorea, makaveli10 nadhani mme elewa sasa hesabu zangu, nime pita mle mle.Kwenye 9 points sisi 2 wins draw vs Liverpool, yeye kazi anayo kudadadeki 🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nasema hivii Arsenal wakichukua ubingwa niitwe Mbwa koko.
😂😂😂 false hopers bana umemaliziaje hapo chini.Sijawahi kuiangalia hii timu na nikatamani mchezaji wa timu pinzani angekua nafasi ya mchezaji wa Arsenal.
This is how better this team has gotten.
😂😂😂 false hopers bana umemaliziaje hapo chini.Sijawahi kuiangalia hii timu na nikatamani mchezaji wa timu pinzani angekua nafasi ya mchezaji wa Arsenal.
This is how better this team has gotten.
😂😂😂 false hopers bana umemaliziaje hapo chini.
Vipi kuhusu gyokeres? “ana mikimbio flani hivi na kupress sana hata asipofunga anasaidia team kubalance “ hizi sababu za kila false hoper, nyinyi gyokeres afunge au aendelee ku press na kubalance team.
Narudia tena MSIMU HUU ARSENAL ANATOKA BILA KOMBE LOLOTE
Kumbukumbu yoyote bila kombe ni upumbavu, kumbukumbu zenu ni kumfunga madrid robo fainal na matakataka mengine . Arsenal mna standard za chini sana, angalia chelsea marseca kabeba club world cup tena kwa kumpiga bingwa haswa PSG lakini katimuliwa ila nyinyi arteta anasaini mkataba wa milele kwa kumpiga madrid robo fainali na kuwasha glopu na michoro yake ya rabbit au duck dressing room.Nyumbu wanakumbukumbu nzuri sana katika ile misako yetu hadi walikuwa wanaomba poo.