Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aisee kumbe humu tupo na watoto, yaani 2008!! upo darasa la kwanza mi ndio napata mtoto wa kwanza, achana na zilizonywewa P2 kipindi nasoma, kama sivo ungeweza kuwa umri wa mwanangu.
Mkuu tunashukuru kwa msaada wenu jana🤠🤠....ila tukikutana safari hii kuwadunda kupo palepale
 
Mkuu tunashukuru kwa msaada wenu jana🤠🤠....ila tukikutana safari hii kuwadunda kupo palepale
Kiukweli alichokifanya Enzo jana cjapenda, hivi kwalile pira zito tuliowapgia round y kwanza mungu akawa upande wenu mkadroo, safari hii mtaweza kuhimili kweli?
 
Dogo kumbe wakishua enzi hizo unacheki Tv kwenu mna mpaka madishi wakati wengi wakiwa analog na Tv mpaka kwa jirani wachache.

Mimi nimeanza 2008 enzi hizo nipo darala la kwanza
Acha dharau mi sio wa kishua, mimi ni raisi wa ma jobless pro max

Yale madishi yalikuwa big deal, geuza huku channel 100, geuza kule wahindi.
 
Damu nzito kuliko maji.

Jana wakati game linaanza, makenge yalikuwa yanaimba wimbo wao ule ule, wafungwe ili watukomoe Arsenal.

Na kweli, yalivyopigwa chuma, makenge yakaanza kushangilia bhana.

Dakika ya 94, wakati Fernandez anarudisha kamba, bhana weee, yasianze kushangilia tena.

Kweli damu nzito kuliko maji!
Shindeni mechi zenu acheni shobo kuwategemea wanaume wa nje.
 
Arsenal Bado mechi 17 tutangaze ubingwa

Ukitoa kenge, nyumbu, spurs, bournemouth, hizo ni must win games technically tutakua tumebakisha michezo 13 kutangazwa ubingwa

Happy new year
Kama kawaida yenu wazee wa Netflix
Mnaendelea mlipoishia Mwaka JanašŸ˜‚
 
Aisee kumbe humu tupo na watoto, yaani 2008!! upo darasa la kwanza mi ndio napata mtoto wa kwanza, achana na zilizonywewa P2 kipindi nasoma, kama sivo ungeweza kuwa umri wa mwanangu.
Noma sana, hatutakiwi kubishana humu. Unaweza kuta unabishana na mwanao
 
2008 la kwanza?

Kumbe ndo maana ni halali yenu kushabikia man city
Nimeanza mwaka huo ila uwezo wangu wa kimpira na uchambuzi zaidi ya aliyeanza miaka ya nyuma .

Historia ya mpira ipo kichwani kipindi nipo mdogo mpaka watu wazima walidhani Mimi mtoto wa maajabu , maana nilikuwa nawachambua mpka Zidane , Delima , Inzaghi , Robert Carlos , Van Nestoroy , Owen , Figo nk

Nilikuwa DVD za mechi nilikuwa nacheki misimu na mechi za nyuma .

Mimi nilikuwa Man U wa kutupwa sasa hivi sina ushabiki Wala muda wa kucheki mpira karibia miaka miaka mitatu sasa sipo active kwenye mpira na ushabiki wake
 
Tunaongoza ligi lakini hakuna mchezaji wa Arsenal kwenye orodha ya wafungaji 20 wa kwanza kwenye ligi.

What a team!
SnapInsta.to_611287711_18550540939022195_5815482764608249587_n.jpg
 
Back
Top Bottom