arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mkuu tunashukuru kwa msaada wenu janaš¤ š¤ ....ila tukikutana safari hii kuwadunda kupo palepaleAisee kumbe humu tupo na watoto, yaani 2008!! upo darasa la kwanza mi ndio napata mtoto wa kwanza, achana na zilizonywewa P2 kipindi nasoma, kama sivo ungeweza kuwa umri wa mwanangu.
