Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,257
- 101,712
Acha dharau mi sio wa kishua, mimi ni raisi wa ma jobless pro maxDogo kumbe wakishua enzi hizo unacheki Tv kwenu mna mpaka madishi wakati wengi wakiwa analog na Tv mpaka kwa jirani wachache.
Mimi nimeanza 2008 enzi hizo nipo darala la kwanza
Yale madishi yalikuwa big deal, geuza huku channel 100, geuza kule wahindi.
