Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,009
- 95,512
Chelkenge mme pigwa 2 huko, bado una hangaika na sisi😁😂Tusishangae gooners bado wakashindwa kuchukua ubingwa 😂
Chelkenge mme pigwa 2 huko, bado una hangaika na sisi😁😂Tusishangae gooners bado wakashindwa kuchukua ubingwa 😂
Chelkenge n chelkenge tuu mkuu 😂Chelkenge mme pigwa 2 huko, bado una hangaika na sisi😁😂
ARsenal hategemei mtu. Naona mmeshaanza kukata tamaa. Wote tulianza hatuna point.. nakukumbusha tu mjumbeTusishangae gooners bado wakashindwa kuchukua ubingwa 😂
Hii kauli ungeitoa Sept huko. Ushaona mmelekea kibra mnaanza kuwanga.Arteta akikosa EPL msimu huu lazima aliwe kichwa
Dogo mimi nime anza kuangalia mpira nyumbani since 2003, mzee ali leta tv za hitachi na Panasonic.
2010 nime angalia fainali za kombe la dunia mwenyewe, nikiwa sebuleni.
Leo hii 2026 naangalia nitakacho, arsenal sio ya maduwanzi boya wee.
Dogo kumbe wakishua enzi hizo unacheki Tv kwenu mna mpaka madishi wakati wengi wakiwa analog na Tv mpaka kwa jirani wachache.
Mimi nimeanza 2008 enzi hizo nipo darala la kwanza
Acha uloziTusishangae gooners bado wakashindwa kuchukua ubingwa 😂
Wewe ni wa kupuuzwa tu huna loloteLeo Arsenal anapigwa na Liverpool
Sisi Huwa hatuna mqneno mengi....siku ya tukio utachagua namna ya kutoa....kwa mbinde au kistaarabuKiukweli alichokifanya Enzo jana cjapenda, hivi kwalile pira zito tuliowapgia round y kwanza mungu akawa upande wenu mkadroo, safari hii mtaweza kuhimili kweli?
Kinachotakiwa ni sisi kujaribu kushinda Kila mechi mpk mwisho wa ligi....tukifika May watachagua wa kumpa kombe wenyewe🤠🤠Ushindi wa leo utaanza kuwakatisha tamaa wapinzani..
Uzuri sisi tunataka kuwa namba 1 pale baaasiiiii. Kombe apewe yeyote yule.