makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,716
- 103,566
Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,Labda Martinell ila Saka kusema ni average kwasababu kacheza vibaya mechi 2 & 3 siyo kweli.
Mlikuwa mnakataa Odegard kuna kipindi, sasa hivi mmeanza kujirudi.
Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..
Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?