999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 910
- 1,687
Kwangu Saka kwenye ubora wake ni world class. Hivi karibuni amekuwa na uchoyochoyo flani, ila akiamuaga ajitoe acheze Kwa ajili ya timu, anajitoaga sana.Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,
Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..
Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?
Me nilikuwa nasemaga, form mbaya ya baadhi ya wachezaji, inatokana na kucheza mechi nyingi mfululizo bila kupumzika, mwili ukiwa na fatigue, hata kama una potential kubwa kiasi Gani, lazima utadrop tu
Kwa Martinell tu ndo sikupingi