Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Labda Martinell ila Saka kusema ni average kwasababu kacheza vibaya mechi 2 & 3 siyo kweli.

Mlikuwa mnakataa Odegard kuna kipindi, sasa hivi mmeanza kujirudi.
Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,

Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..

Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?
 
Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,

Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..

Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?
Kwangu Saka kwenye ubora wake ni world class. Hivi karibuni amekuwa na uchoyochoyo flani, ila akiamuaga ajitoe acheze Kwa ajili ya timu, anajitoaga sana.

Me nilikuwa nasemaga, form mbaya ya baadhi ya wachezaji, inatokana na kucheza mechi nyingi mfululizo bila kupumzika, mwili ukiwa na fatigue, hata kama una potential kubwa kiasi Gani, lazima utadrop tu

Kwa Martinell tu ndo sikupingi
 
J4 ntakutafuta mkuu.....walijichanganya sana wale vijana siku Ile kutufunga dk za jiooooni🤠🤠🤠....hivi tunavyocheza sasahivi ndo tunapitia kipindi kigumu kama kawaida yetu December ila tunapata matokeo....kuanzia January kazi inaanza upya....clean sheet na goli moja tu la ushindi....af ungekuwa unatumia muda mwingi kumshauri Howe acheze bolu safi sio vurugu Kila siku na matokeo ya tia maji tia maji
Nakukumbusha tu umtafute uyo mtoto wa howe
 
Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,

Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..

Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?
Mm nakosana na Arteta sehemu moja tu....Huwa simuelewi yule Merino pale kwny kiungo anampendea nn hasa....jamaa Yuko very slow....yule kama Rice hayupo Bora Norgaard azime 6 halafu Zubimendi azime 8 na jana ilionekana kabisa alivyoingia Norgaard...lqkini Arteta yy anamkumbatia Merino mgumu kugeuka kupiga pasi kama trekta
 
Kwangu Saka kwenye ubora wake ni world class. Hivi karibuni amekuwa na uchoyochoyo flani, ila akiamuaga ajitoe acheze Kwa ajili ya timu, anajitoaga sana.

Me nilikuwa nasemaga, form mbaya ya baadhi ya wachezaji, inatokana na kucheza mechi nyingi mfululizo bila kupumzika, mwili ukiwa na fatigue, hata kama una potential kubwa kiasi Gani, lazima utadrop tu

Kwa Martinell tu ndo sikupingi
Sawa haina tabu mkuu, ni maoni yako, haina haja ya kupigizana kelele, naheshimu unachokiona
 
Mm nakosana na Arteta sehemu moja tu....Huwa simuelewi yule Merino pale kwny kiungo anampendea nn hasa....jamaa Yuko very slow....yule kama Rice hayupo Bora Norgaard azime 6 halafu Zubimendi azime 8 na jana ilionekana kabisa alivyoingia Norgaard...lqkini Arteta yy anamkumbatia Merino mgumu kugeuka kupiga pasi kama trekta
😂🤣🤣
Hata mimi nilimkumbuka rice.. ila merino ubongo wake unafanya kazi vizuri, japo kimwili yupo slow, anakaa na mali ana jicho la pasi, nadhani hii inampa sifa mbele ya norgaard.. ana mchango kwenye kukaba, kuchezesha timu na kushambulia.
 
Tumemaliza nusu ya msimu tukiwa kileleni kwa hiyo vijana wa Arteta waendeleze Moto huu mpaka tubebe kombe.
The title is ours to loose
 
Kwangu Saka kwenye ubora wake ni world class. Hivi karibuni amekuwa na uchoyochoyo flani, ila akiamuaga ajitoe acheze Kwa ajili ya timu, anajitoaga sana.

Me nilikuwa nasemaga, form mbaya ya baadhi ya wachezaji, inatokana na kucheza mechi nyingi mfululizo bila kupumzika, mwili ukiwa na fatigue, hata kama una potential kubwa kiasi Gani, lazima utadrop tu

Kwa Martinell tu ndo sikupingi
Yaan Saka ni world class, upo serious ww??
 
Mimi kila msimu nawaita wazee wa false hope sababu nakuwa na uhakika hawachukui lakini msimu ni tofauti arsenal kuchukua ubingwa sio suala kubwa Nampa asilimia 90%
Bila shaka yoyote mkuu. Mwaka huu lazima tunyanyue makwapa yaliyojaa nywele.
 
😂🤣🤣
Hata mimi nilimkumbuka rice.. ila merino ubongo wake unafanya kazi vizuri, japo kimwili yupo slow, anakaa na mali ana jicho la pasi, nadhani hii inampa sifa mbele ya norgaard.. ana mchango kwenye kukaba, kuchezesha timu na kushambulia.
Merino kucheza kiungo ni kudanganyana...awe super sub tu....yule Norgaard mtu sana ila ndo hvyo hatumtumii ipasavyo....
 
Back
Top Bottom