Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,030
- 111,617
Tukipoteza gemu ya leo itakuwa mbaya sanaNa washapost goli tatu walizotufunga. Wakishinda itakua timu ya kwanza kututania na kutufunga
Tukipoteza gemu ya leo itakuwa mbaya sanaNa washapost goli tatu walizotufunga. Wakishinda itakua timu ya kwanza kututania na kutufunga
Unaongoza ligi lakini huchukui ligi, unaongoza CL lakini huchukui CL, upo nusu carabao kwanini usipewe lecture na mtu aliyebeba carabao wakati huo haujawahi kubeba kabisa carabao.Yaani unaongoza ligi, unaongoza CL, upo nusu Carabao, upo FA.
Anatokea pimbi mmoja anakaa Ujiji kwa Ali Maua anakuja kutoa lecture.
😂😂😂 ila arsenal yaani morali ya timu inatokana na tweet za admin wa Brighton, kuna kuchukua ubingwa kweli hapa ndugu zangu? Ubingwa hauchukuliwi kwa morali za twitter au facebook.Sasa Rice kua RB nayo inafikirisha. Ila siyo ajabu DM kua beki. Let's see kama ile tweet ya Brighton itatumika kutia watu morali
DuuhJana nilikua naona mashabiki wa Newcastle wanasema Howe aondoke uwezo wake umefika mwisho.
Something I said two years back. Nafikiri kufungwa na United mbovu ndiyo kitu wameshindwa kuvumilia
Wewe tupe matokeo ya nyukesto yako na UnitedUnaongoza ligi lakini huchukui ligi, unaongoza CL lakini huchukui CL, upo nusu carabao kwanini usipewe lecture na mtu aliyebeba carabao wakati huo haujawahi kubeba kabisa carabao.
Wewe lazima upewe lecture tena ya maana , kaa siti ya mbele na ream pepa kubwa 3 tuanze kushusha lecture false hoper.
Villa hapambanii 3 place anakushusha rasmi hapo juu tarehe 30 kama kawaida yakeVilla na Chelsea wanapambania nafasi ya tatu leo. For the past week haujasikia maswala ya clean sheets, kuna kitu kinaviziwa ila hakiwezi tokea leo
Howe katupa carabao inatosha, tupo tunasuka mipango anakuja xavi pale kutupa makombe yaliyobaki.Jana nilikua naona mashabiki wa Newcastle wanasema Howe aondoke uwezo wake umefika mwisho.
Something I said two years back. Nafikiri kufungwa na United mbovu ndiyo kitu wameshindwa kuvumilia
J4 ntakutafuta mkuu.....walijichanganya sana wale vijana siku Ile kutufunga dk za jiooooni🤠🤠🤠....hivi tunavyocheza sasahivi ndo tunapitia kipindi kigumu kama kawaida yetu December ila tunapata matokeo....kuanzia January kazi inaanza upya....clean sheet na goli moja tu la ushindi....af ungekuwa unatumia muda mwingi kumshauri Howe acheze bolu safi sio vurugu Kila siku na matokeo ya tia maji tia majiVilla hapambanii 3 place anakushusha rasmi hapo juu tarehe 30 kama kawaida yake