Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal mtatoboa Leo Kwa wababe wenu, A.Villa maana wanapiga low block ya hatarii possession hawana shida nayo na ubwabwa anaejituma zaidi hayupo leo
 
Unashangaa kwanini inakua ngumu dhidi ya Villa na jibu ni moja tu "Belief" Villa wana imani kwamba hawashindwi kushinda.

We have to learn to punish beliefs za hivi. United wanafungwa na timu ndogo nyingi kwakua nyingi zinaamini zitapata matokeo. And they do.
 
Sema arsenal haya magoli ya setpieces one-day yatakuja kuback fire, kuwe na alternatives nyingi nyingi za ushindi... Sasa hapa sijui wataweza Linda ushindi au kuongeza, villa wasumbfu sn hawa
 
Back
Top Bottom