Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

20251231_022627.jpg
 
SAKA na MARTINELLI msimu wa mwaka jana au juzi nilisema hawa ni AVERAGE players, hawawezi endelea na moto ule ule..
Ila kikubwa timu inashinda hamna tabu.
Naona odergard nae sasa hivi kapata akili za kushoot
Labda Martinell ila Saka kusema ni average kwasababu kacheza vibaya mechi 2 & 3 siyo kweli.

Mlikuwa mnakataa Odegard kuna kipindi, sasa hivi mmeanza kujirudi.
 
Labda Martinell ila Saka kusema ni average kwasababu kacheza vibaya mechi 2 & 3 siyo kweli.

Mlikuwa mnakataa Odegard kuna kipindi, sasa hivi mmeanza kujirudi.
Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,

Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..

Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?
 
Saka sio mechi hizi 2,3 tu, mie ugomvi na saka toka yupo kwenye ubora wake,

Huyo odergard kwangu ni 50,50 tu sijawahi sema ni bora lakini pia, sijawahi mkandia kihivyo, kikubwa kanifurahisha now days kapata akili ya kupiga..

Nakuuliza wewe SAKA ni world class player?
Kwangu Saka kwenye ubora wake ni world class. Hivi karibuni amekuwa na uchoyochoyo flani, ila akiamuaga ajitoe acheze Kwa ajili ya timu, anajitoaga sana.

Me nilikuwa nasemaga, form mbaya ya baadhi ya wachezaji, inatokana na kucheza mechi nyingi mfululizo bila kupumzika, mwili ukiwa na fatigue, hata kama una potential kubwa kiasi Gani, lazima utadrop tu

Kwa Martinell tu ndo sikupingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom