Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

20251231_022627.jpg
 
SAKA na MARTINELLI msimu wa mwaka jana au juzi nilisema hawa ni AVERAGE players, hawawezi endelea na moto ule ule..
Ila kikubwa timu inashinda hamna tabu.
Naona odergard nae sasa hivi kapata akili za kushoot
Labda Martinell ila Saka kusema ni average kwasababu kacheza vibaya mechi 2 & 3 siyo kweli.

Mlikuwa mnakataa Odegard kuna kipindi, sasa hivi mmeanza kujirudi.
 
Back
Top Bottom