dah yesu nae kaamua kuwakaza, 4-0Villa tumeanza kurukaruka
Hilo goli la Villa sijapenda kbsaHuu mtindo wa kuconcede magoli dakika za 90 tusipouacha tutakuja kuumbuka
Siku mbaya kazinidah yesu nae kaamua kuwakaza, 4-0
Tume wakaza vibaya sanaSiku mbaya kazini
Mimi kila msimu nawaita wazee wa false hope sababu nakuwa na uhakika hawachukui lakini msimu ni tofauti arsenal kuchukua ubingwa sio suala kubwa Nampa asilimia 90%Arsenal watwaa ubingwa EPL this season.
Mkuu kumbe umerudi??Idadi hii ya magoli ndiyo ingepatikana dhidi ya Brighton kama tungekua clinical
Yeah nimerudi.Mkuu kumbe umerudi??
Nilijua tu utarudi. Yani Arsenal anavyokimbiza alafu usishabie, hicho kitu hakiwezekanikiYeah nimerudi.
Labda Martinell ila Saka kusema ni average kwasababu kacheza vibaya mechi 2 & 3 siyo kweli.SAKA na MARTINELLI msimu wa mwaka jana au juzi nilisema hawa ni AVERAGE players, hawawezi endelea na moto ule ule..
Ila kikubwa timu inashinda hamna tabu.
Naona odergard nae sasa hivi kapata akili za kushoot