Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

na timu pekee ambayo mashabiki wenzangu wa Arsenal tunapaswa kuihofia kwasasa ni ASTON VILLA, tusipokuwa makini kwa villa tutaacha alama ila sio hawa wengine waliobaki bhn 😂😂😂😂😂
 
Flano na Mbaga Jr wata dhani hii ni ai 😂😂
FB_IMG_17641965064519043.jpg
 
Kila tulipofanya kitu ambacho ni nje ya ile rigidness tulikua threat. Rice kudribble ni nje ya rigidness inayotaka asimame atoe pasi.

Cross ya Calafiori, long ball ya Eze. Tumekua encouraged kucheza vile kutokana na Bayern kuamua kutupress na high line.

Hii mechi aliyehisi hatushindi yupo sahihi, tutashinda ila kwa ugumu yupo sahihi na tutashinda tukiamua yupo sahihi pia.

Bado Chelsea
 
Sasa hivi kila mmoja anaona City ilifanya uamuzi sahihi kupaki basi
 
Ndiyo nikasema Chelsea akicheza kama alivyocheza jana anakufa tano tena
Mkuu Chelsea ni mwanaume asiye tabilika huwa tunacheza kulingana na mpinzani alivyo nakuambia hivi jumapili mtatupa heshima
 
Bado sitaki kUshangilia saaana!
Bado hatujatwaa kikombe cha aina yoyote!
Ila inshallah
C O Y G
 
Arsenal sheria yetu msimu huu ni rahisi sana, ukikaa nyuma tutakufunga kwa set pieces na ukijifanya unajua sana kutushambulia ndo tutakuua kabisaa tutakufunga kwa set pieces na kwenye open play, kwaio mtachagua wenyewe mnatakaje 😂😂😂
Msitoe siri wakuu
 
Back
Top Bottom