ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 713
- 880
Bado chelshit jumapili
Nibonyeze ngap kupata vituko kama hivi?Arsenal tukikoswa sana ni goli mbili!
Hamtoamini macho yenu, mkijitahidi sana mnakula goli mbiliNili kwambia naanza kumkanda Bayern, una kuja wewe dada unaye penda kono la nyani 😂🔥
Mkuu bonyeza namba yoyote ni full comedy 😃 kwa kweli Arsenal imeni prove wrong ndugu yangu.Nibonyeze ngap kupata vituko kama hivi?
Hata bayern na yamal wali anza kwa kelele hizo hizo, zikipungua ni 3 😂😂J2 tunawalipia kisasi wale wote walionyanyaswa na arsenyeto
Kama hivyo imekaa sawa hawa ndugu zetu wanatulizwa na hela ndio maana ufupi wako kwake sio loloteSana. Labda kama kimoyomoyo ananiita andunje mtu mfupi
Mkuu Chelsea ni mwanaume asiye tabilika huwa tunacheza kulingana na mpinzani alivyo nakuambia hivi jumapili mtatupa heshimaNdiyo nikasema Chelsea akicheza kama alivyocheza jana anakufa tano tena
Chelsea ni jabali gumu sana baada ya dk 90 tutawanyamazishaBado chelshit jumapili
Msitoe siri wakuuArsenal sheria yetu msimu huu ni rahisi sana, ukikaa nyuma tutakufunga kwa set pieces na ukijifanya unajua sana kutushambulia ndo tutakuua kabisaa tutakufunga kwa set pieces na kwenye open play, kwaio mtachagua wenyewe mnatakaje 😂😂😂
GT Castr mbona umetoa picha ya Wenger kwenye avatar yako?Kuna timu mbili hata tuwe hovyo vipi hua sihofii.
Hela kanizidi piaKama hivyo imekaa sawa hawa ndugu zetu wanatulizwa na hela ndio maana ufupi wako kwake sio lolote
Akaunti ilipotea imerudi bila pichaGT Castr mbona umetoa picha ya Wenger kwenye avatar yako?
Arsenal hii kufungwa na Chelshit ni dharau....wakikaba kwenye open play tutawafunga kwenye set piecesChelsea ni jabali gumu sana baada ya dk 90 tutawanyamazisha
Kama ni hivyo kweli manzi kakupenda Sasa unasubiri Nini kuchukua jikoHela kanizidi pia