Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Game ya man u nikwasababu ya red card yamapema ndio ilituua pamoja na huyo red tulitoa ushindani as if tupo 11 na ukitaka kuona kuwa wamebahatisha si watakuja darajani utaona
KAtika harakati za kutuzuia Arsenal kuchukua ubingwa tushagewa red za kishenzi dhidi ya Wolves na City. Sikuambii matokeo nenda kaangalie
 
Mkuu Maresca ni masterclass huwa kwake kila game na approach yake na ndio maana tulivyocheza dhidi ya PSG ni tofauti na tulivyocheza na Barca na spurs pia tulivyomkanda pale pale uwanja wake.ndio maana team zingine watuambia huwa hatutabiliki
Hii masterclass ilibidi aionyeshe wakati mnashindwa ingia top four huku kikosi ni cha billion.

Unakumbuka kuna wachezaji watano mliwasajili kwa pamoja wengine hata hawakucheza? Hivi Xavier na Malang wapo wapi?
 
Mi mwenyewe Arsenal lakini leo tunafungwa... Wale Bayern wanatufunga vizuri tu.. wakitukosa sana goli mbili
ila mimi sishangai nakumbuka hata baadhi ya Arsenal wenzangu msimu ulopita kwenye Uefa dhidi ya Madrid walisema maneno kama yako, ila kilichoenda kutokea wenyew hawakuamini.
 
Hii masterclass ilibidi aionyeshe wakati mnashindwa ingia top four huku kikosi ni cha billion.

Unakumbuka kuna wachezaji watano mliwasajili kwa pamoja wengine hata hawakucheza? Hivi Xavier na Malang wapo wapi?
Kocha Maresca huu ni msimu wake wa pili wa Kwanza ndio huo kachukua conference cup na kombe la Dunia la vilabu na ameingia top 4 Sasa sijui wewe unazungumzia msimu ambao hajaingia big 4?
 
Kocha Maresca huu ni msimu wake wa pili wa Kwanza ndio huo kachukua conference cup na kombe la Dunia la vilabu na ameingia top 4 Sasa sijui wewe unazungumzia msimu ambao hajaingia big 4?
Ni Pochetino. Mnabadili sana makocha hadi wavimba macho tunapitiwa
 
Ni Pochetino. Mnabadili sana makocha hadi wavimba macho tunapitiwa
Pochetino amesaidia kuijenga team ilivyoleo alafu Maresca akaboresha Enzo, Caicedo na Palmer wamenunuliwa msimu wake ndio amewafanya Leo walivyo so mchango wake sio wakubeza Team aliikuta inashika nafasi ya 12 akaipandisha mpaka nafasi ya 6
 
Pochetino amesaidia kuijenga team ilivyoleo alafu Maresca akaboresha Enzo, Caicedo na Palmer wamenunuliwa msimu wake ndio amewafanya Leo walivyo so mchango wake sio wakubeza Team aliikuta inashika nafasi ya 12 akaipandisha mpaka nafasi ya 6
On paper Chelsea hamjawahi kua na kikosi kibaya
 
Arsenal vs bayern munich

Usiku wa deni haukawii kukucha
IMG-20251126-WA0002.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom