Mkuu Maresca ni masterclass huwa kwake kila game na approach yake na ndio maana tulivyocheza dhidi ya PSG ni tofauti na tulivyocheza na Barca na spurs pia tulivyomkanda pale pale uwanja wake.ndio maana team zingine watuambia huwa hatutabilikiChelsea wakicheza na sisi kama walivyocheza na Barca wanakufa tena tano