DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 5,579
- 10,272
Mi mwenyewe Arsenal lakini leo tunafungwa... Wale Bayern wanatufunga vizuri tu.. wakitukosa sana goli mbilingoja ushangazwe leo.
Mi mwenyewe Arsenal lakini leo tunafungwa... Wale Bayern wanatufunga vizuri tu.. wakitukosa sana goli mbilingoja ushangazwe leo.
Game ya man u nikwasababu ya red card yamapema ndio ilituua pamoja na huyo red tulitoa ushindani as if tupo 11 na ukitaka kuona kuwa wamebahatisha si watakuja darajani utaonaMmepigwa na Manchester mbovu, mmepigwa na Sunderland iliyopanda daraja kisha unasema mnapiga timu yoyote
Mkuu Maresca ni masterclass huwa kwake kila game na approach yake na ndio maana tulivyocheza dhidi ya PSG ni tofauti na tulivyocheza na Barca na spurs pia tulivyomkanda pale pale uwanja wake.ndio maana team zingine watuambia huwa hatutabilikiChelsea wakicheza na sisi kama walivyocheza na Barca wanakufa tena tano
Tulikutana FA ukapasuka. Ni kweli, kila kombe mtu unatakiwa kukomaa. Sasa kile kikosi cha fainali ya Europa ni kikosi kizazi cha nyoka.Wewe tulikutana ueropa league nikakukanda 4 safi kabisa we mara ngapi umeingia ueropa league na umeshindwa kuchukua? Sifa ya team yoyote haijalishi upo kombe gani lakini unatakiwa udeliver kwa kumpata kombe ndio maana tumeweka record ya kuwa team ya Kwanza kuchukua makombe yote ya ulaya
KAtika harakati za kutuzuia Arsenal kuchukua ubingwa tushagewa red za kishenzi dhidi ya Wolves na City. Sikuambii matokeo nenda kaangalieGame ya man u nikwasababu ya red card yamapema ndio ilituua pamoja na huyo red tulitoa ushindani as if tupo 11 na ukitaka kuona kuwa wamebahatisha si watakuja darajani utaona
Hii masterclass ilibidi aionyeshe wakati mnashindwa ingia top four huku kikosi ni cha billion.Mkuu Maresca ni masterclass huwa kwake kila game na approach yake na ndio maana tulivyocheza dhidi ya PSG ni tofauti na tulivyocheza na Barca na spurs pia tulivyomkanda pale pale uwanja wake.ndio maana team zingine watuambia huwa hatutabiliki
Kwamba sisi Arsenal kule nyuma ni uchochoro kama wao.Mi mwenyewe Arsenal lakini leo tunafungwa... Wale Bayern wanatufunga vizuri tu.. wakitukosa sana goli mbili
ila mimi sishangai nakumbuka hata baadhi ya Arsenal wenzangu msimu ulopita kwenye Uefa dhidi ya Madrid walisema maneno kama yako, ila kilichoenda kutokea wenyew hawakuamini.Mi mwenyewe Arsenal lakini leo tunafungwa... Wale Bayern wanatufunga vizuri tu.. wakitukosa sana goli mbili
Kocha Maresca huu ni msimu wake wa pili wa Kwanza ndio huo kachukua conference cup na kombe la Dunia la vilabu na ameingia top 4 Sasa sijui wewe unazungumzia msimu ambao hajaingia big 4?Hii masterclass ilibidi aionyeshe wakati mnashindwa ingia top four huku kikosi ni cha billion.
Unakumbuka kuna wachezaji watano mliwasajili kwa pamoja wengine hata hawakucheza? Hivi Xavier na Malang wapo wapi?
Ni Pochetino. Mnabadili sana makocha hadi wavimba macho tunapitiwaKocha Maresca huu ni msimu wake wa pili wa Kwanza ndio huo kachukua conference cup na kombe la Dunia la vilabu na ameingia top 4 Sasa sijui wewe unazungumzia msimu ambao hajaingia big 4?
Pochetino amesaidia kuijenga team ilivyoleo alafu Maresca akaboresha Enzo, Caicedo na Palmer wamenunuliwa msimu wake ndio amewafanya Leo walivyo so mchango wake sio wakubeza Team aliikuta inashika nafasi ya 12 akaipandisha mpaka nafasi ya 6Ni Pochetino. Mnabadili sana makocha hadi wavimba macho tunapitiwa
On paper Chelsea hamjawahi kua na kikosi kibayaPochetino amesaidia kuijenga team ilivyoleo alafu Maresca akaboresha Enzo, Caicedo na Palmer wamenunuliwa msimu wake ndio amewafanya Leo walivyo so mchango wake sio wakubeza Team aliikuta inashika nafasi ya 12 akaipandisha mpaka nafasi ya 6
Ushindi wao ni draw si zaidi ya hapoMi mwenyewe Arsenal lakini leo tunafungwa... Wale Bayern wanatufunga vizuri tu.. wakitukosa sana goli mbili
Kama unatumia simu download app inaitaa cricfy kama computer ingia koraliveNaomba link ya Livestreaming ya mechi hii
Hilo ni kweli changamoto idadi ya wachezaji ilikuwa kubwa na ipunguzwe iwe chache itayoendana na mfumo wake hapa ndipo Maresca alipowinOn paper Chelsea hamjawahi kua na kikosi kibaya
Hivi shemeji anakuheshimu kweli?Urefu wa Saka na Neuer kama wa mimi na shemeji yenu. Shemeji yenu ni tall aisee