Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,319
- 5,074
Hawana timu ya kutufunga Bayern, labda Arsenal wenyew tuamue tu kufungwa.Timu wanayo. Utajionea
Hawana timu ya kutufunga Bayern, labda Arsenal wenyew tuamue tu kufungwa.Timu wanayo. Utajionea
Last time si umeona ilivyokua?Hawana timu ya kutufunga Bayern, labda Arsenal wenyew tuamue tu kufungwa.
niliangalia ndio, sasa wakati ule hatukuwa vizuri sana kama hivi sasa, kwenye zile game mbili tulizocheza nao eneo la mid tunaanz na jorginho af partey yuko nje na kule nyuma sasa kushoto mara kaanza kiwior mara tomiyasu na kwa upande wa martinelli sasa we mwenyew ulkw unaon mambo alokuwa anafanya, ila kwa timu yetu ya sasa na kama tutaanz na lineup ile ile tulochez nayo jumapili au akaanz gyokeres badala ya merino kwenye ile ile lineup aah i feel sorry for bayern 😄Last time si umeona ilivyokua?
Asante sana mkuuMwaka huu wenu mshindwe tu wenyewe. Jana liverkuku majogoo wamewekwa 3, Mancity pia kapakatwa....mna room nzuri ya kushinda ubingwa mwaka huu. Sisi Chelsea tunawasindikiza tu. Ili na nyie mpate hata kidogo mfurahie kuchukua makombe makubwa na si hayo ya kunywea uji.
Arsenal kila la kheri
Mzee kwa namna hii bora uendelee tu kufuatilia mpira wa bongo.. achana na ligi za mbele.ila game ya bayern naona kama itkuwa vyema arteta awapumzishe saka, eze na trossard then martinelli, ode na madueke wakichafue siku hiyo, hizo silaha azipumzishe kwa ajili ya game ya chelsea mana game ya bayern naona kama sio lazima sana tushinde japo najua bayern hawana timu ya kutufunga saiv.
mm sioni umuhimu wa kujimaliza sana kwenye game ya bayern wakati mwisho wa siku Bado Arsenal tutavuka tu kwenda knockout stage, game ya chelsea ndo yenye umuhimu zaidi kwasasa ikifuatiwa na ya Aston villa away, ila kama Arsenal tutaenda na lineup ile ile ya jumapili kwenye game ya bayern huyo Bayern tunamuua na akijifanya anakuja kucheza mpira wa kufunguka ndo tutamuua vibaya sana.Mzee kwa namna hii bora uendelee tu kufuatilia mpira wa bongo.. achana na ligi za mbele.
Bayern siyo wabaya.niliangalia ndio, sasa wakati ule hatukuwa vizuri sana kama hivi sasa, kwenye zile game mbili tulizocheza nao eneo la mid tunaanz na jorginho af partey yuko nje na kule nyuma sasa kushoto mara kaanza kiwior mara tomiyasu na kwa upande wa martinelli sasa we mwenyew ulkw unaon mambo alokuwa anafanya, ila kwa timu yetu ya sasa na kama tutaanz na lineup ile ile tulochez nayo jumapili au akaanz gyokeres badala ya merino kwenye ile ile lineup aah i feel sorry for bayern 😄
sijasema Bayern wabaya, ila kwa timu yetu ya sasa Bayern hawana timu ya kutufunga tukiamua hiyo game tuichukue kweli pale emirates af hincapie si umemuona juzi ulimiss uwepo wa gabriel pale af pia hao bayern kashacheza nao sana akiwa leverkusen, af na we mwenyew umesema apo sisi tunachez kama unit huoni ni point hiyo na inatupa favor Arsenal dhidi yao ambao wao kuna muda individual brilliance ndo iamue matokeo, sitakatai wana forward nzuri lakini ukuta wao unavuja na wanaruhusu sana tena magoli ya ajabu na timu ndogo wanashinda mechi zao ndio lkn sio kwa dominance ile kama zamani walivokuwa, ila sisi Arsenal tunacheza kwa muundo na interchange ya wachezaji wetu ni ngumu kuzuia mana tunakuwa na rythm ambayo inachosha opponents mentally na saiv tunachz kwa intensity ya juu kwa dk zote 90 yani saiv tuna muundo tuna chemistry na tactical discipline ya hali ya juu.. TUKISEMA TUICHUKUE KWELI HIYO GAME BAYERN HATOKI SALAMA PALE EMIRATES.Bayern siyo wabaya.
Defense yetu haijazoeana kwakua sasa hivi ananza Hincapie, Bayern rekodi yao msimu huu kwa mashindano yote siyo ya kuidharau.
Wana forward nzuri no question. Individual brilliance wanayo, wakati sisi tunacheza kama unit zaidi. Sisemi hatushindi ila haiwezi kua rahisi.
Arsenal tukikoswa sana ni goli mbili!Hawana timu ya kutufunga Bayern, labda Arsenal wenyew tuamue tu kufungwa.
Aisee mmefanya Barca na La Liga zionekane ni wahuni. Nimefurahia ushindi wenu kwakua Lamine bado hajajifunza kua humbleNmewawekea highlight ya Chelsea VS Barca ili angalau mpate idea namna ya kupambana na mabingwa wa dunia
Highlights 👇
View attachment 3507646
Hizi games kwa level hii hazina umuhimu kwakua kuna games zinabaki na games za sasa ni za kuamua nani anaenda 16th.Wanangu wa Arsenali.....nataka niwambie ukweli. Leo mnagemu ngumu na Bayern. Japo mnajinadi kuwa Bayern hana timu nzuri ya kuwafunga, mkaenda mbali na kusema hii mechi ya bayern tuweke kina nani mara kina Saka wapumzike kwa ajili ya mechi ya chelsea.
Kwamba mechi ya bayern haina umuhimu kwenu ila ya Chelsea ndiyo ya muhimu huu ni uzwazwa wa kiwango cha juu.
Kama unajiamini na unatimu nzuri na upo kwenye form weka sila zote uwanjani usije ukapigwa 8 zile za miaka ile ukaanza kuzingizia ohoo niliweka timu B mara hii mechi haikuwa na umuhimu.
Leo nipo macho kuwasapoti mpaka dk za mwisho. Na mechi ya leo ndiyo itaamua kwa kiasi kikubwa nani awe bigwa wa msimu huu.
Kila la kheri arsenali.
Jana Barca alijua anacheza na Madrid akaleta zarau hakujua anacheza na Bigwa wa Dunia. Umeona alivyocharazwa.
Na wewe nenda ukamcharaze Bayern ili zile nane ulizopigwa zifutike na kuondoa uteja kwa bayern.
London is blue
Msimu huu mechi zetu za mwanzo nilizoangalia tulikua tunacheza conservatively. Tulikua rigid hatuendani na mchezo ila tunaendana na mfumo wetu. Hii hufanya magoli kuja kwa kuchelewa na hata tulivyokutana na Bayern tulikua rigid, wakatufunga ila huku tukiamini haikutakiwa. Same tulivyokutana na PSG.sijasema Bayern wabaya, ila kwa timu yetu ya sasa Bayern hawana timu ya kutufunga tukiamua hiyo game tuichukue kweli pale emirates af hincapie si umemuona juzi ulimiss uwepo wa gabriel pale af pia hao bayern kashacheza nao sana akiwa leverkusen, af na we mwenyew umesema apo sisi tunachez kama unit huoni ni point hiyo na inatupa favor Arsenal dhidi yao ambao wao kuna muda individual brilliance ndo iamue matokeo, sitakatai wana forward nzuri lakini ukuta wao unavuja na wanaruhusu sana tena magoli ya ajabu na timu ndogo wanashinda mechi zao ndio lkn sio kwa dominance ile kama zamani walivokuwa, ila sisi Arsenal tunacheza kwa muundo na interchange ya wachezaji wetu ni ngumu kuzuia mana tunakuwa na rythm ambayo inachosha opponents mentally na saiv tunachz kwa intensity ya juu kwa dk zote 90 yani saiv tuna muundo tuna chemistry na tactical discipline ya hali ya juu.. TUKISEMA TUICHUKUE KWELI HIYO GAME BAYERN HATOKI SALAMA PALE EMIRATES.
Mara ya mwisho mmeifunga Arsenal lini?Nawaona mnakwenda kufungwa mechi mbili mfululizo, vs bayern na vs Chelsea 😂
Mkuu mi naamini gemu ya leo itakuwa na mvuto na itakuwa gemu murua kabisa. Leo wote wote wapo attention na mechi ya Arsenal na Bayern kama ilivyokuwa jana kwa Barcelona na Chelsea.Msimu huu mechi zetu za mwanzo nilizoangalia tulikua tunacheza conservatively. Tulikua rigid hatuendani na mchezo ila tunaendana na mfumo wetu. Hii hufanya magoli kuja kwa kuchelewa na hata tulivyokutana na Bayern tulikua rigid, wakatufunga ila huku tukiamini haikutakiwa. Same tulivyokutana na PSG.
Rigidness msimu huu ikasababisha tuwe tunashinda 1, 2, 1. Kama ni kweli tumekua na intensity basi inamaanisha tunarely kwenye individual brilliance pia which is good. Na ni kweli Bayern wanavuja magoli, mwingine anayevuja magoli ni Liver na hatukuscore. Why? Rigidness.
Ngoja tuenjoy hii mechi leo
Kwa muundo mpya ulivyo mtu wa 1 hadi wa 8 wanaingia hatua ya 16 bora na kuwasubiri wanaocheza playoffs. Na kwa sasa Bayern na Arsenal wanashika nafasi ya kwanza na ya pili na points sawa.Mkuu mi naamini gemu ya leo itakuwa na mvuto na itakuwa gemu murua kabisa. Leo wote wote wapo attention na mechi ya Arsenal na Bayern kama ilivyokuwa jana kwa Barcelona na Chelsea.
Watazamaji wengi wataangalia mechi hii kama ilivyokuwa jana kwa Chelsea na Baca
So kwangu naona kabisa ni mechi muhimu tofauti na ninyi mnavyoichukulia.
Mfano ikatokea mmemfunga Bayern mtakuja na kujisifu na kusifu timu yenu ilivyobora. Lakini Bayern ikiwafunga mtakuja na sababu ohoo eee hii mechi haikuwa na umuhimu kwetu, hata ivo tumeshavuzu top 16. Hizi zote blabla tu
Binafsi nataka nione mnavyomchakaza Bayern.
ALl in all nawatakia heri kwenye gemu yenu
Huo msatari wa Mwisho ndiyo ya muhimu chief......mimi napenda Boli na mara nyingi penda pale penye Mvuto mfano leo akili zangu zote nitaelekeza kwenye mechi ya arsenal na Bayern.Kwa muundo mpya ulivyo mtu wa 1 hadi wa 8 wanaingia hatua ya 16 bora na kuwasubiri wanaocheza playoffs. Na kwa sasa Bayern na Arsenal wanashika nafasi ya kwanza na ya pili na points sawa.
Baada ya hii mechi wote tutabakiwa na mechi 3 kati ya Bayern na Arsenal Bayern ana mechi 3 zilizobaki nyepesi wakati Arsenal ana mbili nyepesi na moja ngumu dhidi ya Inter.
Ndiyo sababu nasema yeyote atayefungwa leo haitakua ajabu kukutana naye kwenye 16 bora. Hii mechi ni nzuri kuitazama, siyo uongo, ila haina umuhimu kwasababu matokeo yake ni hayohayo unayoweza kuyapata hata ukifungwa.
Ila for confidence na bragging rights inabidi tukomae tushinde.