Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunaangalia achievement? Kwa unavyoona achievement yenu ni kuifunga Arsenal J2?
Msimu uliopita mlitufunga lakini tukabeba makombe mawili conference cup na kombe la Dunia la vilabu we ukaishia kushika nafasi ya pili ya ligi nani ambaye ana mafanikio? Na hapo tulikuwa tupo kwenye phase ya kujijenga tu
 
Nimekuta X shabiki wa City anasema wamefikia hatua wanaomba Mungu Chelsea amzuie Arsenal. Kuna jamaa akapost tu hii picha

20251126_184315.jpg
 
Msimu uliopita mlitufunga lakini tukabeba makombe mawili conference cup na kombe la Dunia la vilabu we ukaishia kushika nafasi ya pili ya ligi nani ambaye ana mafanikio? Na hapo tulikuwa tupo kwenye phase ya kujijenga tu
Lile kombe la dunia la vilabu mbona ni kama Audi cup la Spurs. Conference ni kombe la kiboya kutokana na timu unazokutana nazo kule. Hata FA lina timu ngumu
 
Sio Barca tu sisi tunapiga timu yoyote inayoonekana zinazosumbua team nyingine mfano mzuri PSG tulimgeuzs kama Burnley
Mmepigwa na Manchester mbovu, mmepigwa na Sunderland iliyopanda daraja kisha unasema mnapiga timu yoyote
 
Lile kombe la dunia la vilabu mbona ni kama Audi cup la Spurs. Conference ni kombe la kiboya kutokana na timu unazokutana nazo kule. Hata FA lina timu ngumu
Wewe tulikutana ueropa league nikakukanda 4 safi kabisa we mara ngapi umeingia ueropa league na umeshindwa kuchukua? Sifa ya team yoyote haijalishi upo kombe gani lakini unatakiwa udeliver kwa kumpata kombe ndio maana tumeweka record ya kuwa team ya Kwanza kuchukua makombe yote ya ulaya
 
Back
Top Bottom