Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 43,808
- 103,704
Then baada ya kushindwa kuwafunga mkapata kombe gani?Mara ya mwisho mmeifunga Arsenal lini?
Then baada ya kushindwa kuwafunga mkapata kombe gani?Mara ya mwisho mmeifunga Arsenal lini?
Kukusaidia.Then baada ya kushindwa kuwafunga mkapata kombe gani?
Tuongelee mafanikio baada ya kuifunga ChelseaKukusaidia.
Chagua tuongelee makombe au tuongelee nilichouliza?
Enhe anzaTuongelee mafanikio baada ya kuifunga Chelsea
Tunaangalia mkuu achievement ndio ina matter na jumapili nakukandaKukusaidia.
Chagua tuongelee makombe au tuongelee nilichouliza?
Baada ya kumfunga Chelsea, mkapata kombe gani?Enhe anza
Tunaangalia achievement? Kwa unavyoona achievement yenu ni kuifunga Arsenal J2?Tunaangalia mkuu achievement ndio ina matter na jumapili nakukanda
Tuanzie mwaka gani?Baada ya kumfunga Chelsea, mkapata kombe gani?
Leta Mwaka wako na mm nije na mwaka wangu?Tuanzie mwaka gani?
Mmewapiga Barca mmekua na jeuri mnakuja kutishia kila mtu. Siyo?Leta Mwaka wako na mm nije na mwaka wangu?
Next ni arsenyetoMmewapiga Barca mmekua na jeuri mnakuja kutishia kila mtu. Siyo?
ngoja ushangazwe leo.Arsenal tukikoswa sana ni goli mbili!
Msimu uliopita mlitufunga lakini tukabeba makombe mawili conference cup na kombe la Dunia la vilabu we ukaishia kushika nafasi ya pili ya ligi nani ambaye ana mafanikio? Na hapo tulikuwa tupo kwenye phase ya kujijenga tuTunaangalia achievement? Kwa unavyoona achievement yenu ni kuifunga Arsenal J2?
Sio Barca tu sisi tunapiga timu yoyote inayoonekana zinazosumbua team nyingine mfano mzuri PSG tulimgeuzs kama BurnleyMmewapiga Barca mmekua na jeuri mnakuja kutishia kila mtu. Siyo?
Lile kombe la dunia la vilabu mbona ni kama Audi cup la Spurs. Conference ni kombe la kiboya kutokana na timu unazokutana nazo kule. Hata FA lina timu ngumuMsimu uliopita mlitufunga lakini tukabeba makombe mawili conference cup na kombe la Dunia la vilabu we ukaishia kushika nafasi ya pili ya ligi nani ambaye ana mafanikio? Na hapo tulikuwa tupo kwenye phase ya kujijenga tu
Mmepigwa na Manchester mbovu, mmepigwa na Sunderland iliyopanda daraja kisha unasema mnapiga timu yoyoteSio Barca tu sisi tunapiga timu yoyote inayoonekana zinazosumbua team nyingine mfano mzuri PSG tulimgeuzs kama Burnley
Wewe tulikutana ueropa league nikakukanda 4 safi kabisa we mara ngapi umeingia ueropa league na umeshindwa kuchukua? Sifa ya team yoyote haijalishi upo kombe gani lakini unatakiwa udeliver kwa kumpata kombe ndio maana tumeweka record ya kuwa team ya Kwanza kuchukua makombe yote ya ulayaLile kombe la dunia la vilabu mbona ni kama Audi cup la Spurs. Conference ni kombe la kiboya kutokana na timu unazokutana nazo kule. Hata FA lina timu ngumu