secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,208
- 28,277
Muulize, tunamlambisha mchanga Kila tukikutana naeHotspurs ni bora, siyo? 😂.
Haya!
Tot ni mtoto mdogo lakini bado anawasumbua, sasa kwa sisi mtatokaje.Muulize, tunamlambisha mchanga Kila tukikutana nae
Hatimae keka likatiki kwa ukatili kabisa, kuku aka acha point 12/15.Kwenye hizi point 15, liver aache 6 tu.
Trh 4 Chelsea,
Trh 19 man u
Trh 25 Brentford
Trh 1 Aston villa
Trh 4 madrid(uefa )
Trh 9 man city
Tulichomfanya liverkideri ndicho tutawafanya Nyie Tena mapema tuuHatimae keka likatiki kwa ukatili kabisa, kuku aka acha point 12/15.
makaveli10, Mad Max, Asante chelkenge Mbaga Jr ila kono la nyani lazima upasuliwe nalo.
Tulichomfanya liverkideri ndicho tutawafanya Nyie Tena mapema tuu
Hiyo mechi hawatoki Mzee, tia laki utaniambiaNilikuwa nawaza pia kupoteza dhidi ya chelsea nadhani ilikuwa kipindi cha Tuchel, meanwhile Arteta kapoteza mechi mbili tu dhidi ya chelsea, lampard 2-1, Tuchel 2-0, naona wakicheza kwa kujitahidi sana km ile mechi waliyomfunga liverpool kwetu watapata draw, na hii ni sababu ya home advantage, km mechi ingekuwa Emirates ningetia laki kwa Arsenal sasa hivi
Ata kikosi cha jana mbona kenge ataelekezwa kibra vizuri tuHiyo mechi hawatoki Mzee, tia laki utaniambia
Hawana defence ya kusa stain msako na mbinyo
Kumbuka Ø,Gyko ,Jesus na martinell ndani ya nyumba
Anakosekana Magalhaes tu ,
Timu wanayo. Utajioneaila game ya bayern naona kama itkuwa vyema arteta awapumzishe saka, eze na trossard then martinelli, ode na madueke wakichafue siku hiyo, hizo silaha azipumzishe kwa ajili ya game ya chelsea mana game ya bayern naona kama sio lazima sana tushinde japo najua bayern hawana timu ya kutufunga saiv.
Ninachoshangaa ni kuwa hawa everton bado wanaonana na wanafungua vyumba vizuri tuIla waafrika tuna shida. Dakika ya 13 unampiga mchezaji wa timu yako mwenyewe halafu unagewa red unawaacha wenzako pungufu.
Hapa ndiyo nasema bahati muhimu. Timu gani itacheza na Arsenal halafu itajitafutia red makusudi?