Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

TTumelamba dumee
1000209299.jpg
 
Nilikuwa nawaza pia kupoteza dhidi ya chelsea nadhani ilikuwa kipindi cha Tuchel, meanwhile Arteta kapoteza mechi mbili tu dhidi ya chelsea, lampard 2-1, Tuchel 2-0, naona wakicheza kwa kujitahidi sana km ile mechi waliyomfunga liverpool kwetu watapata draw, na hii ni sababu ya home advantage, km mechi ingekuwa Emirates ningetia laki kwa Arsenal sasa hivi
Hiyo mechi hawatoki Mzee, tia laki utaniambia

Hawana defence ya kusa stain msako na mbinyo

Kumbuka Ø,Gyko ,Jesus na martinell ndani ya nyumba

Anakosekana Magalhaes tu ,
 
Eze 9.7 approaching to perfection

Odegard sasa sijui itakuaje?
Screenshot_20251124_095706_FotMob.jpg
 
ila game ya bayern naona kama itkuwa vyema arteta awapumzishe saka, eze na trossard then martinelli, ode na madueke wakichafue siku hiyo, hizo silaha azipumzishe kwa ajili ya game ya chelsea mana game ya bayern naona kama sio lazima sana tushinde japo najua bayern hawana timu ya kutufunga saiv.
 
Ila waafrika tuna shida. Dakika ya 13 unampiga mchezaji wa timu yako mwenyewe halafu unagewa red unawaacha wenzako pungufu.

Hapa ndiyo nasema bahati muhimu. Timu gani itacheza na Arsenal halafu itajitafutia red makusudi?
 
ila game ya bayern naona kama itkuwa vyema arteta awapumzishe saka, eze na trossard then martinelli, ode na madueke wakichafue siku hiyo, hizo silaha azipumzishe kwa ajili ya game ya chelsea mana game ya bayern naona kama sio lazima sana tushinde japo najua bayern hawana timu ya kutufunga saiv.
Timu wanayo. Utajionea
 
Ila waafrika tuna shida. Dakika ya 13 unampiga mchezaji wa timu yako mwenyewe halafu unagewa red unawaacha wenzako pungufu.

Hapa ndiyo nasema bahati muhimu. Timu gani itacheza na Arsenal halafu itajitafutia red makusudi?
Ninachoshangaa ni kuwa hawa everton bado wanaonana na wanafungua vyumba vizuri tu

Hadi dakika hii 45, nyumbu ndio amekufa moja bila ingawa everton wamepata red ya mapema sana
 
Last time si umeona ilivyokua?
niliangalia ndio, sasa wakati ule hatukuwa vizuri sana kama hivi sasa, kwenye zile game mbili tulizocheza nao eneo la mid tunaanz na jorginho af partey yuko nje na kule nyuma sasa kushoto mara kaanza kiwior mara tomiyasu na kwa upande wa martinelli sasa we mwenyew ulkw unaon mambo alokuwa anafanya, ila kwa timu yetu ya sasa na kama tutaanz na lineup ile ile tulochez nayo jumapili au akaanz gyokeres badala ya merino kwenye ile ile lineup aah i feel sorry for bayern 😄
 
Mwaka huu wenu mshindwe tu wenyewe. Jana liverkuku majogoo wamewekwa 3, Mancity pia kapakatwa....mna room nzuri ya kushinda ubingwa mwaka huu. Sisi Chelsea tunawasindikiza tu. Ili na nyie mpate hata kidogo mfurahie kuchukua makombe makubwa na si hayo ya kunywea uji.

Arsenal kila la kheri
Asante sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom