Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Toka waanzishe hili jukwaa lao hili (2006) hawajawahi kuchukua EPL. Maana yake katika umri wa miaka 20 ya jukwaa lao hili hawajawahi kupost hapa kombe lolote la maana.

Kuna mjinga bado anaita hii ni timu kubwa.
Bingwa man city, arsenal ndio basi tena... project yenu inazeeka bila kombe, na project ya man city inakaribia kuiva, man u inakuja, Chelsea anakuja, Liverpool yupo vizuri ni kocha tu....kocha emery yupo sokoni, arteta mzuri lkn Kwa makombe bado
 
20251109_124422.jpg
 
Bingwa man city, arsenal ndio basi tena... project yenu inazeeka bila kombe, na project ya man city inakaribia kuiva, man u inakuja, Chelsea anakuja, Liverpool yupo vizuri ni kocha tu....kocha emery yupo sokoni, arteta mzuri lkn Kwa makombe bado
Hata km ni ushabiki kuna muda tujaribu kuwa logical, sisi ku draw na Sunderland kwako unaona tayari bingwa Man city ! kwanini bingwa hukusema liverpool au timu yako au hata Chelsea aliye nafasi ya pili au sunderland aliye nafasi ya nne? ukamtaja city kwa kudhani utawatisha Gooners, aisee mbongo ni mtu hatari sana kwenye mambo negative,
 
Hata km ni ushabiki kuna muda tujaribu kuwa logical, sisi ku draw na Sunderland kwako unaona tayari bingwa Man city ! kwanini bingwa hukusema liverpool au timu yako au hata Chelsea aliye nafasi ya pili au sunderland aliye nafasi ya nne? ukamtaja city kwa kudhani utawatisha Gooners, aisee mbongo ni mtu hatari sana kwenye mambo negative,
Upo serious unategemea Arsenal kubeba kombe?!
20251109_124441.jpg
 
Hata km ni ushabiki kuna muda tujaribu kuwa logical, sisi ku draw na Sunderland kwako unaona tayari bingwa Man city ! kwanini bingwa hukusema liverpool au timu yako au hata Chelsea aliye nafasi ya pili au sunderland aliye nafasi ya nne? ukamtaja city kwa kudhani utawatisha Gooners, aisee mbongo ni mtu hatari sana kwenye mambo negative,
Nyie mna timu nzuri sana mkuu, lakini consistency au mfululizo wa kushinda mechi Hadi mechi mpk ligi iishe ndio kitu mnakosa.
Mko top lkn wasiwasi upo kulingana na mpinzani wenu city.
Hakuna bingwa nje ya city au arsenal japo percentage rate kubwa ipo Kwa man city
 
Nafikiri Kufukuzana na pep kwenye ubingwa ni nightmare Kwa arsenal,Pep anatisha linapokuja jambo la ubingwa wa ligi kuku na kaongea zaidi ya mara tatu baada ya January tutaoona.
 
city wana faida ya kuwa na serial winners wengi zaidi kwenye kikosi chao ,ligi bado ni ndefu na kwa hadi michezo 11 mpaka sasa ,bado ukiangalia timu nyingi zinavyocheza ni arsenal pekee ndio unaiona imekamilika zaidi ki muundo.
 
Liverpool upepo umekata ni kama hayupo tena kwenye race. Kwangu city sio kama ile ya miaka mitatu nyuma so wote wawili kuna muda tutadrop points. Hizi mid-table teams ndo kombe lipo hapa hasa atakayedeal nazo vizuri game za away. City kakwaa kisiki kwa Villa na sisi kwa Sunderland. Majibu tutapata May kila mmoja akishinda mechi zake.
Tukichanga karata vizuri naona tutafanya kitu cha tofauti sio tu kwenye ligi bali hata UEFA.
Nitarudi hapa May.
 
Mimi ni Castr.

Nilipotea, nikarudi kulog in nikakuta naambiwa user does not exist. Nikasearch post niliyowahi kupost nikakuta imeandikwa na user anaitwa 'Katotojr26'

Nikawafuata JF Instagram ila hawakujibu. Baada ya kuizindua upya gmail account nimeforgot password nimeomba pia kubadili hili jina kwakua sijawahi kuomba kubadili jina na hata kama ningeomba hili ni jina la kipuuzi sana mwanaume wa 30+ kujiita.

Nafurahi kuona mpo wazee.
Screenshot_20251119-121146~2.jpg
Screenshot_20251119-120238~2.jpg
 
Arsenal kwenye swala la bahati kwenye mbio za kushindania makombe tupo nyuma. Inabidi tutumie juhudi zetu zaidi.

Sikutaraji kuona fan base yetu inashangilia kurudi kwa Kai, na alivyoumia tena fan base ikalaani vibaya mno.
 
Back
Top Bottom