momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,049
- 2,164
Kwa miaka mingi mechi aina hii ambayo wapinzani wetu wengi wamepoteza mechi zao tunapotakiwa kushinda tuwaruke zaidi mara nyingi tumekua tukipoteza alama ata hii ya leo ikitokea sitoshangaa. Japo ni matarajio yangu timu ipambane kama fainali na kushinda