🤣🤣🤣🤣Nashauri
Ubadilishwe uwe Arsenal women FC special Thread
Maaana focus yao kwa sasa ipo huko kwenye Arsenal ya akina Mama.
Mwaka huu wenu mshindwe tu wenyewe. Jana liverkuku majogoo wamewekwa 3, Mancity pia kapakatwa....mna room nzuri ya kushinda ubingwa mwaka huu. Sisi Chelsea tunawasindikiza tu. Ili na nyie mpate hata kidogo mfurahie kuchukua makombe makubwa na si hayo ya kunywea uji.game dhidi ya tote ni zaidi ya fainali
Ina sikitisha sana, Chelkenge na nyumbu hamjawahi kuwa na akiliLeo mpigwe, na wote tuseme tawire
Bahatisheni na nyinyi, Thomas frank kocha wa tote alisema hamjui eze.
Subir next mechi mkicheza na mabingwa wa dunia, ntawakataa wachezaji wenu na kochaIna sikitisha sana, Chelkenge na nyumbu hamjawahi kuwa na akili
View attachment 3506484
Omba gyokeres asiwepo, maana mtakula mkono safari hii.Subir next mechi mkicheza na mabingwa wa dunia, ntawakataa wachezaji wenu na kocha
Omba gyokeres asiwepo, maana mtakula mkono safari hii.


hizi kenge huwa tunajipigia tu sio chini ya chuma 3naomba ordegard na gyokeres warudi chap, maana mkono ni haki Yao.hizi kenge huwa tunajipigia tu sio chini ya chuma 3
Naombea kikosi chenu kikamilike vzr ili tuliwalamba msije na kisingizioOmba gyokeres asiwepo, maana mtakula mkono safari hii.