Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Flano usilie Sana
FB_IMG_17623759797754184.jpg
 
🤣🤣🤣 Bagabeach nahisi utakua mgeni na Arsenyau, Ni rahisi Sunderland kushinda ligi msimu huu kuliko Arsenyo, Arsenyau sio timu ya kuitilia maanani sana linapokuja suala la kubeba makombe, Arsenyau chini ya Tetea kiwigi misimu yote hua wanaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Washawahi kuongoza ligi siku 258 halafu zimebaki siku 17 ligi iishe wakatupa taulo chini.
Hawa Evra aliwafananisha na Netflix, wazee wa next season kila msimu.

#Arsenyau fungu la kukosa.
Hizi takataka mwaka huu naona kama wanaeleweka.

Sema yanakuwaga na akili mbovu sometime.
Lakini nawapa asilimia kubwa.
Tukiongelea mpira Wana nafasi kubwa, lakini kiushabiki arsenal wameumbwa tofauti sana na sisi binadam wa kawaida na wengi wao ni Wana CCM ndio maana akili zao zinatia shaka
 
Toka waanzishe hili jukwaa lao hili (2006) hawajawahi kuchukua EPL. Maana yake katika umri wa miaka 20 ya jukwaa lao hili hawajawahi kupost hapa kombe lolote la maana.

Kuna mjinga bado anaita hii ni timu kubwa.
🤣🤣🤣 Bagabeach nahisi utakua mgeni na Arsenyau, Ni rahisi Sunderland kushinda ligi msimu huu kuliko Arsenyo, Arsenyau sio timu ya kuitilia maanani sana linapokuja suala la kubeba makombe, Arsenyau chini ya Tetea kiwigi misimu yote hua wanaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Washawahi kuongoza ligi siku 258 halafu zimebaki siku 17 ligi iishe wakatupa taulo chini.
Hawa Evra aliwafananisha na Netflix, wazee wa next season kila msimu.

#Arsenyau fungu la kukosaok
 
Toka waanzishe hili jukwaa lao hili (2006) hawajawahi kuchukua EPL. Maana yake katika umri wa miaka 20 ya jukwaa lao hili hawajawahi kupost hapa kombe lolote la maana.

Kuna mjinga bado anaita hii ni timu kubwa.
Bingwa man city, arsenal ndio basi tena... project yenu inazeeka bila kombe, na project ya man city inakaribia kuiva, man u inakuja, Chelsea anakuja, Liverpool yupo vizuri ni kocha tu....kocha emery yupo sokoni, arteta mzuri lkn Kwa makombe bado
 
Back
Top Bottom