ndengisivilii
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 709
- 868
Arsenal mwaka wetu huuu
Huyo Evra ndo nani, msikilize the GOAT Ronaldo, achana na hao wachezaji wa kawaida🤣🤣🤣 Bagabeach nahisi utakua mgeni na Arsenyau, Ni rahisi Sunderland kushinda ligi msimu huu kuliko Arsenyo, Arsenyau sio timu ya kuitilia maanani sana linapokuja suala la kubeba makombe, Arsenyau chini ya Tetea kiwigi misimu yote hua wanaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Washawahi kuongoza ligi siku 258 halafu zimebaki siku 17 ligi iishe wakatupa taulo chini.
Hawa Evra aliwafananisha na Netflix, wazee wa next season kila msimu.
#Arsenyau fungu la kukosa.
Kwa haya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na hawa watu, inabidi tuanze kutafutana/roll callKwa yanayo endelea Nchini kwetu Kwa sasa, yananipunguzia hamu ya kufurahia mpira
Hizi takataka mwaka huu naona kama wanaeleweka.🤣🤣🤣 Bagabeach nahisi utakua mgeni na Arsenyau, Ni rahisi Sunderland kushinda ligi msimu huu kuliko Arsenyo, Arsenyau sio timu ya kuitilia maanani sana linapokuja suala la kubeba makombe, Arsenyau chini ya Tetea kiwigi misimu yote hua wanaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Washawahi kuongoza ligi siku 258 halafu zimebaki siku 17 ligi iishe wakatupa taulo chini.
Hawa Evra aliwafananisha na Netflix, wazee wa next season kila msimu.
#Arsenyau fungu la kukosa.
🤣🤣🤣 Bagabeach nahisi utakua mgeni na Arsenyau, Ni rahisi Sunderland kushinda ligi msimu huu kuliko Arsenyo, Arsenyau sio timu ya kuitilia maanani sana linapokuja suala la kubeba makombe, Arsenyau chini ya Tetea kiwigi misimu yote hua wanaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Washawahi kuongoza ligi siku 258 halafu zimebaki siku 17 ligi iishe wakatupa taulo chini.
Hawa Evra aliwafananisha na Netflix, wazee wa next season kila msimu.
#Arsenyau fungu la kukosaok
Bila kumsahau Estevao Willian ..ni moto fire 🔥 😍 😫nafurahia uwepo wa gyokeres, na jinsi timu nzima inavyo saka magoli.
ila huyu halaand, kane na mbape hawa ni majini.