Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,389
Kwa haya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na hawa watu, inabidi tuanze kutafutana/roll callKwa yanayo endelea Nchini kwetu Kwa sasa, yananipunguzia hamu ya kufurahia mpira
Kwa haya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na hawa watu, inabidi tuanze kutafutana/roll callKwa yanayo endelea Nchini kwetu Kwa sasa, yananipunguzia hamu ya kufurahia mpira
Hizi takataka mwaka huu naona kama wanaeleweka.🤣🤣🤣 Bagabeach nahisi utakua mgeni na Arsenyau, Ni rahisi Sunderland kushinda ligi msimu huu kuliko Arsenyo, Arsenyau sio timu ya kuitilia maanani sana linapokuja suala la kubeba makombe, Arsenyau chini ya Tetea kiwigi misimu yote hua wanaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Washawahi kuongoza ligi siku 258 halafu zimebaki siku 17 ligi iishe wakatupa taulo chini.
Hawa Evra aliwafananisha na Netflix, wazee wa next season kila msimu.
#Arsenyau fungu la kukosa.
🤣🤣🤣 Bagabeach nahisi utakua mgeni na Arsenyau, Ni rahisi Sunderland kushinda ligi msimu huu kuliko Arsenyo, Arsenyau sio timu ya kuitilia maanani sana linapokuja suala la kubeba makombe, Arsenyau chini ya Tetea kiwigi misimu yote hua wanaishia kua wapenzi wasindikizaji.
Washawahi kuongoza ligi siku 258 halafu zimebaki siku 17 ligi iishe wakatupa taulo chini.
Hawa Evra aliwafananisha na Netflix, wazee wa next season kila msimu.
#Arsenyau fungu la kukosaok
Bila kumsahau Estevao Willian ..ni moto fire 🔥 😍 😫nafurahia uwepo wa gyokeres, na jinsi timu nzima inavyo saka magoli.
ila huyu halaand, kane na mbape hawa ni majini.
Bingwa man city, arsenal ndio basi tena... project yenu inazeeka bila kombe, na project ya man city inakaribia kuiva, man u inakuja, Chelsea anakuja, Liverpool yupo vizuri ni kocha tu....kocha emery yupo sokoni, arteta mzuri lkn Kwa makombe badoToka waanzishe hili jukwaa lao hili (2006) hawajawahi kuchukua EPL. Maana yake katika umri wa miaka 20 ya jukwaa lao hili hawajawahi kupost hapa kombe lolote la maana.
Kuna mjinga bado anaita hii ni timu kubwa.