secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,208
- 28,288
Mkuu kumbe wewe ni shabiki la Chelsea?Subir next mechi mkicheza na mabingwa wa dunia, ntawakataa wachezaji wenu na kocha
Nimeshtuka sana 🤔
Mkuu kumbe wewe ni shabiki la Chelsea?Subir next mechi mkicheza na mabingwa wa dunia, ntawakataa wachezaji wenu na kocha
Hapo ulipoandika Chelsea ongezea mabingwa wa duniaMkuu kumbe wewe ni shabiki la Chelsea?
Nimeshtuka sana 🤔
Ina sikitisha sana, amka usije uka kojolea godoro la mochwariNaombea kikosi chenu kikamilike vzr ili tuliwalamba msije na kisingizio
Omba gyokeres asiwepo, maana mtakula mkono safari hii.
Subir, hamtoamini.Ina sikitisha sana, amka usije uka kojolea godoro la mochwari
Ngoja tuwakande kono la nyani dume, litumikalo kuukwea mnazi.Hapo ulipoandika Chelsea ongezea mabingwa wa dunia
gyokeres 🔥 🔥Subir, hamtoamini.
Ngojeni mfanyiwe surprise na Robert Sanchez 😂View attachment 3506524
Hii pazia tutaisogeza kama ya gesti.
Ushasema msimu uliopita 😂Ngoja tuwakande kono la nyani dume, litumikalo kuukwea mnazi.
Umesahau kilichowatokea msimu ulipita?
Eze a.k.a Izrael.Jiandaeni kumkataa Eze 😂
Ya msimu ni Kubwa kuliko (XXL)Ushasema msimu uliopita 😂
Kumbuka this time mnakutana na mabingwa wa dunia, hvy itakuwa n jambo la furaha sana kwenu kupata hy bahatiYa msimu ni Kubwa kuliko (XXL)
Itakuwa busara mkiweka Mpira kwapani siku hiyo ili ihesabike mmechakazwa magolo 3-0, kuliko kushupaza shingo ndani ya dakika 90 mkachapika pasina huruma.Kumbuka this time mnakutana na mabingwa wa dunia, hvy itakuwa n jambo la furaha sana kwenu kupata hy bahati
Chelsea sio Tot 😂Itakuwa busara mkiweka Mpira kwapani siku hiyo ili ihesabike mmechakazwa magolo 3-0, kuliko kushupaza shingo ndani ya dakika 90 mkachapika pasina huruma.
Kwa arsenal hii mpinzani hana budi kuingia mtini Ili kukwepa dhahama mkuu.