Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 51,054
- 123,120
Subir, hamtoamini.Ina sikitisha sana, amka usije uka kojolea godoro la mochwari
Subir, hamtoamini.Ina sikitisha sana, amka usije uka kojolea godoro la mochwari
Ngoja tuwakande kono la nyani dume, litumikalo kuukwea mnazi.Hapo ulipoandika Chelsea ongezea mabingwa wa dunia
gyokeres 🔥 🔥Subir, hamtoamini.
Ngojeni mfanyiwe surprise na Robert Sanchez 😂View attachment 3506524
Hii pazia tutaisogeza kama ya gesti.
Ushasema msimu uliopita 😂Ngoja tuwakande kono la nyani dume, litumikalo kuukwea mnazi.
Umesahau kilichowatokea msimu ulipita?
Eze a.k.a Izrael.Jiandaeni kumkataa Eze 😂
Ya msimu ni Kubwa kuliko (XXL)Ushasema msimu uliopita 😂
Kumbuka this time mnakutana na mabingwa wa dunia, hvy itakuwa n jambo la furaha sana kwenu kupata hy bahatiYa msimu ni Kubwa kuliko (XXL)
Itakuwa busara mkiweka Mpira kwapani siku hiyo ili ihesabike mmechakazwa magolo 3-0, kuliko kushupaza shingo ndani ya dakika 90 mkachapika pasina huruma.Kumbuka this time mnakutana na mabingwa wa dunia, hvy itakuwa n jambo la furaha sana kwenu kupata hy bahati
Chelsea sio Tot 😂Itakuwa busara mkiweka Mpira kwapani siku hiyo ili ihesabike mmechakazwa magolo 3-0, kuliko kushupaza shingo ndani ya dakika 90 mkachapika pasina huruma.
Kwa arsenal hii mpinzani hana budi kuingia mtini Ili kukwepa dhahama mkuu.
Muulize, tunamlambisha mchanga Kila tukikutana naeHotspurs ni bora, siyo? 😂.
Haya!
Tot ni mtoto mdogo lakini bado anawasumbua, sasa kwa sisi mtatokaje.Muulize, tunamlambisha mchanga Kila tukikutana nae
Hatimae keka likatiki kwa ukatili kabisa, kuku aka acha point 12/15.Kwenye hizi point 15, liver aache 6 tu.
Trh 4 Chelsea,
Trh 19 man u
Trh 25 Brentford
Trh 1 Aston villa
Trh 4 madrid(uefa )
Trh 9 man city