Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kuna squad yenye balance kutuzidi sisi EPL, au uwiano upi unaongelea wewe? mechi ya Liverpool muda mwingi walicheza Martinelli, Gyokeres, Merino na Madueke...hii haiwezi kukupa threat sawa na Saka, Eze, Harvertz/ Gyokeres na Odegaard.
Kocha wenu muoga sana akikutana na team kubwa
 
German bila king kai sio german
Screenshot_20250905_090423_FotMob.jpg
 
Mikel Arteta has now spent over €1 BILLION as Arsenal manager and has only one FA Cup to show for it. 😠 😡

Nyama zipo chini, tuendelee kula mtori ,,,,next phase
 
Mikel Arteta has now spent over €1 BILLION as Arsenal manager and has only one FA Cup to show for it. 😠 😡

Nyama zipo chini, tuendelee kula mtori ,,,,next phase
Wanajua kubadilisha mada hawa, utasikia net spending... na blah blah nyingine kama hizo ili kumtoa kiwigi kwenye lawama.
 
Kama Arsenal tutapata kocha mwenye akili timamu basi kombe la maana lazima tubebe.

Ila kama huyu mjuaji basi tumuombee tu ujinga wake umtoke.
 
jichanganyeni kuachana na Arteta muone kama hata top four mutaambulia
Haya ndio mawazo finyu ambayo hata wanachama wengine wa vyama pinzani walikuwa wanayaamini.

Kipindi cha Wenger hizi kauli zilikuwa zinasemwa sana hatimae hadi akaipeleka timu shimoni.

Arsenal kuwa top4 sio mafanikio kwa shabiki hayo ni mafanikio kwa tajiri maana yanamuingizia pesa.

Mafanikio pekee kwa shabiki ni timu kubeba makombe.
 
Haya ndio mawazo finyu ambayo hata wanachama wengine wa vyama pinzani walikuwa wanayaamini.

Kipindi cha Wenger hizi kauli zilikuwa zinasemwa sana hatimae hadi akaipeleka timu shimoni.

Arsenal kuwa top4 sio mafanikio kwa shabiki hayo ni mafanikio kwa tajiri maana yanamuingizia pesa.

Mafanikio pekee kwa shabiki ni timu kubeba makombe.
Arsenyani mubebe kombe mulipeleke wapi!!?. kumaliza runners up ni ubingwa tosha kwenu
 
Arsenyani mubebe kombe mulipeleke wapi!!?. kumaliza runners up ni ubingwa tosha kwenu
Au sio.

Endelea kuishi kwa kukariri.

Hata Liverpool,Chelsea,Tott n.k waliwahi kukaa miaka mingi bila kubeba kombe na wakaja kubeba.
 
Hivi huwa mnashiriki ligi ili mmalize nafasi ya pili au huwa inatokea bahati mbaya tu?
Unajua mmemaintain nafasi ya pili hadi nashindwa kuamini kama ni makusudi au bahati mbaya kwenu!
 
Back
Top Bottom