Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mechi mbovu Mzee, wewe hujui kitu. Nazungumzia level ww unawaza point Nani asiyejua kuwa Liverpool imeshinda?, level ilikuwa chini kabisa.
Nenda kacheze wewe Ili iwe nzuri ulivyo rofa hata danadana 5 huwezi kupiga sisi tunachojua szobslai kapiga bonge la Gori
 
Nenda kacheze wewe Ili iwe nzuri ulivyo rofa hata danadana 5 huwezi kupiga sisi tunachojua szobslai kapiga bonge la Gori
Hahah nilidhani najadiliana na sportsmen kumbe shabiki maandazi ambaye hajui kitu hahah nilikosea Bana kukujibu, Haya tufanye umeshinda.
 
Hahah nilidhani najadiliana na sportsmen kumbe shabiki maandazi ambaye hajui kitu hahah nilikosea Bana kukujibu, Haya tufanye umeshinda.
We ndio shabiki maandazi nenda kacheze wewe kama ni rahisi
 
Hahaha yule jamaa wa Newcastle yupo?
Nipo mkuu , tunahangaika kuweka mambo sawa pale st james kidogo . Mwaka huu transfer imekua ngumu sana kwetu ila mwishoni vijana wanakuja. Nimefurahi kukuona umerudi kwa notification ya eze , hope na mwenyekiti atarudi sijui na notification gani maana ya kombe haitakuepo
 
Nadhani Kepa apewe nafasi, Raya hana nidhamu, ni kipa mzuri lakini anarudia makosa yanayotucost kila siku, hivi ajiulizi kwanini Ramsdale aliondolewa? anadhani Ramsdale alikuwa kilaza?
False hopers bana😂😂 leo raya kafanya kosa gani sasa?? Mnatafuta kumuangushia jumba bovu jamaa wa watu kwamba ile free kick kepa angedaka .
Siku si nyingi gyokeres pia mtamkataa kwa mpira huu wenu usliokosa mtengeneza chance .
 
Arsenal haijawahi kuwa The mighty, katika mechi kama hizi points 3 ni muhimu zaidi kuliko chochote ndo tofauti kati false hopers and champions inavyoonekana .
Arsenal haina ladha kabisa hii pole false hoper, chance creations 0 kuanzia game ya man utd mpaka ya leo pia naona safari ndefu sana ya vilio.
Why msirudie lile pira lenu la inverted midfielder zincheko anasogea juu kidogo ule mwaka kweli false hopers mlitandaza ball 🔥 sio jesus sio odergard wote walikua 🔥.
Zincheko nowdays mmemtenga kabisa dogo janja wa watu wakati yeye ndo alikua kiranja wakuwatuliza na kuwaita pale katikati ya uwanja mkishafungwa.

Eze kweli mtu atleast anaweza kupiga pasi za mwisho na kumtoka mtu nakuachia hilo sikupingi false hoper , zubimendii pale bana mngebaki na partey tu wakuu hamna kazi pale mchezaji anapoteza mipira kila mda au ngoja tumpe muda.
 
Siku hizi sio Mimi mchangiaji kwenye hili jukwaa lakini nitatoa maoni yangu kwa hii timu
Kosa la Arsenal ni kumuacha Partey aondoke, hili linaweza kuwakosesha makombe
Pili, huwezi kupata rhythm ya mchezo kwa kubadilisha midfielder kwa midfielder
Kukosa uoni wa kutafuta striker
Umakini wa goalkeeper
Ujuaji wa coach

Kosa la Partey ni kubwa kuliko linavyotizamwa, huwezi kusubiri mpaka mwaka wa mwisho ndio ujadili mkataba wa mchezaji muhimu, case ya kubaka ya Partey kwa uoni wangu ni kumkomoa Partey kwa kutokubaliana na mkataba
Partey akicheza kati ilikuwa rahisi kwa Rice kufanya majukumu mengine lakini Zubimendi itamchukua muda mrefu na mazoezi magumu ya kuhimili ligi ngumu ya premium

Kubadilisha midfielder inahitaji maarifa kabla ya kubadilisha, ili kuweza kupata rhythm ya mchezo kulikuwa na ulazima kumtoa Martineli na kumuingiza midfielder aweze kucheza na Merino mpaka apate speedy ndio onamtoa Merino

Striker bado ni tatizo kwa Arsenal, Gyokeres sio ufumbuzi na ikiwa Arteta anafikiri amepata suluhisho tutakuja kuona mwisho wa msimu Gyokeres amefunga magoli mangapi

Goalkeeper ni nafasi ina lawama nyingi unapokosa umakini kwa sekunde tu, tayari utoe mpira wavuni, Raya anarejea makosa

Ujuaji wa coach ni mkubwa, binafsi ninampenda Maurinho kwa falsafa zake za ushindi
Hii team akipewa yeye haitochukuwa muda kupata makombe lakini Arteta itategemea bahati, inawezekana falsafa ya uongozi wa team sio kipaumbele chao

Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…