HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Aje kumpa ushindani Odegaard. RCM au LCM panamfaa zaidi ila nasema RCM ili awe na Rice kama LCM wake. LW nasikia anaiweza vizuri tu ila katikati ndiyo kwake zaidi.Eze akija anakuja kuchukua namba ya Martinell & Trossard
Hata hivyo, wachezaji huwa wanabadilisha namba mara kibao tu. Sikuwahi kudhani kama Ashley Young atakuja kuwa beki. Rice mwenyewe katoka kuwa CB mpaka DM na kwetu sasa ni LCM...
