Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tutapiga kila atakaesimama mbele yetu
IMG-20250727-WA0034.jpg
 
1. Arsenal
2.
3.
4
5.
6.
7.
8.
9.
10.
11.
12.
13.
14.
15. Nyumbu
16.
17.

Tutapiga kila atakae simama mbele yetu alafu kombe tutawapa nyumbu
chat gpt anajaribu kuchambua mambo kuna namna admin wa chat gpt ni arsenal fan au hujamaa mkorea ndio anaiendesha chat gpt

inatabiri crown arsenal
 

Attachments

  • Screenshot_20250728-150630_ChatGPT.jpg
    Screenshot_20250728-150630_ChatGPT.jpg
    239.1 KB · Views: 9
  • Screenshot_20250728-150904_ChatGPT.jpg
    Screenshot_20250728-150904_ChatGPT.jpg
    259.9 KB · Views: 12
  • Screenshot_20250728-151349_ChatGPT.jpg
    Screenshot_20250728-151349_ChatGPT.jpg
    238.4 KB · Views: 5
Mpira ni mchezo wa wazi mkuu na Hauhitaji ramli au tabiri za wanajimu wakuambie kwamba msimu huu arsenal ni shida

View attachment 3421694
Ni kweli kabisa ndugu yangu mkorea Mpira ni mchezo wa wazi na wala hauhitaji ramli au tabiri za wanajimu wakuambie msimamo wa ligi 2025/2026 utakua kinyume na hivi.

1.
2. Arsenyo
3.
4.
5.
6.
25703705.jpg
 
Arseanal wajanja sana, yaani wao ukishachukua medali za makombe mbalimbali basi wao wanakuchukua kidogo waweke kwenye kumbukumbu zao...washachukua madueke na CWC medal, harvets na uefa medal, Glock na Portugal medals, zubmend na uefa nation league medal.

Oya arteta akili sana, arteta akili mingi mingi
 
Arseanal wajanja sana, yaani wao ukishachukua medali za makombe mbalimbali basi wao wanakuchukua kidogo waweke kwenye kumbukumbu zao...washachukua madueke na CWC medal, harvets na uefa medal, Glock na Portugal medals, zubmend na uefa nation league medal.

Oya arteta akili sana, arteta akili mingi mingi
Usisahau na kombe lao la Pre-season tayari wameshabeba, hivyo Tetea Kiwigi hana deni lolote kwa mashabiki wa Arsenyau.
images-32.jpg
 
Back
Top Bottom